maskini akipata...
kwahiyo kama ni mwanamke kaongea upumbavu nimsapot sababu ni mwanamke? Never siwezi kuwa kilaza wa kusapoti ujingaWanawake hatupendani daima dumu.
Yeye kama mbunge anaishia wapi? singida au london?
Kwa vyovyote vile huyo atakuwa viti maalum. Alitaka akaishi magogoni?
Hii ndo effect ya emotional thinking!
Mungu atupe uhai mwaka huu tutaona na kusikia mengi