Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

Sasa mkuu tatizo ni watoto kua wengi,au tatizo ni elimu kua bure?
Hakuna tatizo, na kunaweza kuwa na tatizo pia...

Tatizo ##1. Upungufu wa madarasa:

Solution:

Jenga madarasa ya kutosha ili wanafunzi wawe na enough learning space

Tatizo ##2: Kuwajengea dhana potofu wananchi kuwa kuna kuna vya BURE DUNIANI kupitia kitu kinaitwa "ELIMU BURE" kitu ambacho ni uongo kiasi cha kutengeneza ulemavu wa akili na kutowajibika kwa wazazi/walezi kwa watoto wao wenyewe na kubaki kulalamika tu kama ambavyo wewe unalalamika na huyu mwenzako YournameisMINE anavyofanya kwa sababu anaamini katika "BURE"..

Solution:
Watawala waache uongo na wawaambie watu ukweli na serikali iwajibike kwa SEHEMU YAKE ktk maeneo yake ya utoaji huduma kwa wananchi ikiwemo elimu na wakati huohuo wananchi na sisi tutambue kuwa tunapozaa tujue na kutunza watoto wetu na kuwalea sawasawa..

ASANTE,. usiku mwema..
 
Warudishe tu' mfano shule X
2015 idadi ya wanafunzi 240, elimu bure 1M na point,
2022 wanafunzi 450, elimu bure 1M,(still ile ile)
Imewashinda warudishe ada tu'
 
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015..

Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...

Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!

Mtazame na msikilize hapa.

View attachment 2219306
Impact of regime change
 
Kuna Shekhe mmoja aliwahi kusema Ni busara kwenye kila kundi la wenye akili akiwepo Mpuuzi mmoja. Umuhimu wa Mpuuzi huyu huwa ni kule kuropoka kwake, Jambo ambalo linaweza kuwafanya wenye akili kuwa attention zaidi.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Fact
 
Yaani Serikali ikiruhusu hili suala la Elimu na michango lirudi Tena, aisee wananchi maskini wapigwa Sana na hao wanaojiita walimu uchwara, nielewe Mimi mkuu! Kipindi Elimu na michango inafanya kazi ktk hizo Shule za kata kulikuwa na michango ya kipumbavu Sana, yaani unakuta Mzazi anaambiwa achangie Feza kwa ajiri ya maktaba na maktaba yenyewe unakuta Haina vitabu vya kutosha

Serikali yangu pendwa chondechonde msirudi Nyuma Wala msiruhusu hili lirudi Tena Kuna baadhi ya walimu walikopa Hadi Magari kwa kutegemea Michango ya wazazi amini Wananchi maskini na ninawajua Tena wengine baada ya kuibuka kwa Elimu Bure waliachana na Kazi ya kufundisha,

Wananchi wamepigwa Sana kipindi Cha Elimu na michango pia niwaombe walimu kuweni wazalendo hii nchi niyetu sote ukimsaidia mtoto wa mwenzio sawa umelisaidia Taifa kwa ujumla acheni ubinafsi na ukilitimba Walimu. Tuna fahamu mnaumuhumu ila msizue kitimtim Hadi wizara ya Elimu.
 
Cost Sharing, lazima watu wachangie kidogo kwenye huduma za jamii. Hii bure hupelekea huduma mbovu, maana haina motisha wala ushindani, zamani enzi zetu shule ya msingi unalipa kidogo tu, kisha sekondari unalipa 40k kwa day na 70k Bong

Shule zilichangisha michango ya mitihani ya wiki au mwezi wakati mwingine mnachanga mnashindana shule kwa shule. Watoto wanakuwa smart mara nyingi sana.
 
Yaani Serikali ikiruhusu hili suala la Elimu na michango lirudi Tena, aisee wananchi maskini wapigwa Sana na hao wanaojiita walimu uchwara, nielewe Mimi mkuu! Kipindi Elimu na michango inafanya kazi ktk hizo Shule za kata kulikuwa na michango ya kipumbavu Sana, yaani unakuta Mzazi anaambiwa achangie Feza kwa ajiri ya maktaba na maktaba yenyewe unakuta Haina vitabu vya kutosha

Serikali yangu pendwa chondechonde msirudi Nyuma Wala msiruhusu hili lirudi Tena Kuna baadhi ya walimu walikopa Hadi Magari kwa kutegemea Michango ya wazazi amini Wananchi maskini na ninawajua Tena wengine baada ya kuibuka kwa Elimu Bure waliachana na Kazi ya kufundisha,

Wananchi wamepigwa Sana kipindi Cha Elimu na michango pia niwaombe walimu kuweni wazalendo hii nchi niyetu sote ukimsaidia mtoto wa mwenzio sawa umelisaidia Taifa kwa ujumla acheni ubinafsi na ukilitimba Walimu. Tuna fahamu mnaumuhumu ila msizue kitimtim Hadi wizara ya Elimu.
Mbona una hoja dhaifu sana mzee..?

Yaani badala uyatazame mambo ktk upana wa fikra za ubongo wako, wewe unatetea "sera lemavu" kwa akili na uwajibikaji wa watu kwa hoja za kwenye vijiwe vya kahawa..?

Kwa hiyo unataka kuniambia kubwa sera hii ya "elimu bure" ilikuja na kuanza kutekelezwa ili kuzuia walimu waliokuwa wananunua magari..? Really?

If you went to school and got educated, then you're presenting your arguments this way, basi kufikiri kwako kuna mushkeri...!!

I am sorry 😔😔😔 to say this. And I don't mean to insult you...

After all, kwanza una maana gani kuliandika hili hapa..?

Na unadhani solution yake ni udanganyifu wa serikali na kulemaza akili na uwajibikaji wa wananchi wake...?
 
Cost Sharing, lazima watu wachangie kidogo kwenye huduma za jamii. Hii bure hupelekea huduma mbovu, maana haina motisha wala ushindani, zamani enzi zetu shule ya msingi unalipa kidogo tu, kisha sekondari unalipa 40k kwa day na 70k Bong

Shule zilichangisha michango ya mitihani ya wiki au mwezi wakati mwingine mnachanga mnashindana shule kwa shule. Watoto wanakuwa smart mara nyingi sana.
CARDLESS habari za toka juzi. Unakumbuka tulionana kule kwenye uzi wa mafuta juzi na kubishana kidogo? Mimi niko okay na asante, tunaonana tena leo hapa...

Back to business...

Hapa tunakubaliana. Na MUSUKUMA ana maana hii unayoieleza hapa...

Na kwa maoni yangu, tatizo la mbunge Msukuma liko kwenye uwasilishaji wa hoja yake. Hakuweza kuiweka vizuri kwa utetezi ulioshiba. Na kwa mbali ukimtazama vyema ni kama aliitoa akiwa na woga fulani toka kwa wenzake (wanaCCM) maana hii kuileta kwa wananchi, ni ngumu na ni ugomvi kwa sababu "uongo" ndio mtaji wao wa kisiasa..!

Ila the truth remains kuwa, sera ya "ELIMU BURE" ni mradi wa kisiasa tu wa watawala kwa gharama kubwa ya ujinga wa wananchi...

Na kuwajengea dhana ya "BURE" watu kwenye akili zao ni kitu ambacho ni hatari sana kwa sababu inasababisha ulemavu wa fikra na kukataa kuwajibika kwa watu jambo unalowaambia kuwa "wafe na ujinga wao...!"

Na watu (wananchi) wanapokosa walichotakitarajia kwa sbb walidanganywa ni bure, ambacho huja mbele ni malalamiko na kulaumu serikali..!

So I agree with you . Badala ya "Elimu bure" ibadilishwe irudi kuwa "cost sharing policy" si katika elimu tu bali ktk huduma zote na basically ndivyo ilivyo hata sasa kwenye huduma karibu zote za afya, nishati zote, maji, parking za magari nk nk. Lakini cha ajabu huko watu hatulalamiki tunakuja kudai ubure kwenye eneo muhimu ktk maisha ya mtu...
 
CARDLESS habari za toka juzi. Unakumbuka tulionana kule kwenye uzi wa mafuta juzi na kubishana kidogo? Mimi niko okay na asante, tunaonana tena leo hapa...

Back to business...

Hapa tunakubaliana. Na MUSUKUMA ana maana hii unayoieleza hapa...

Na kwa maoni yangu, tatizo la mbunge Msukuma liko kwenye uwasilishaji wa hoja yake. Hakuweza kuiweka vizuri kwa utetezi ulioshiba. Na kwa mbali ukimtazama vyema ni kama aliitoa akiwa na woga fulani toka kwa wenzake (wanaCCM) maana hii kuileta kwa wananchi, ni ngumu na ni ugomvi...

Ila the truth remains kuwa, sera ya "ELIMU BURE" na kuwajengea dhana ya "BURE" kwenye akili za watu ni kusababisha ulemavu wa fikra na uwajibikaji kwa watu hawa na wanapokosa walichotakitarajia, ambacho huja mbele ni malalamiko na kulaumu serikali..

Badala ya "Elimu bure" ibadilishwe irudi kuwa "cost sharing policy" si katika elimu tu bali ktk huduma zote na basically ndivyo ilivyo hata sasa kwenye huduma za afya, nishati zote, maji nk nk. Lakini cha ajabu huko watu hatulalamiki...
Ile sera ni mbovu, kwa nchi yetu hii yenye umasikini uliokithiri hupaswi kujitwisha mizigo ambayo ungeweza kupunguza.

Ilitakiwa serikali wapunguze ada kutoka 20k hadi 10k kwa mwaka kwa sekondari, na shule za msingi unaweka mazingira hata 3k kwa mwaka. Hizo pesa zingetumika kununulia chaki, na hata baadhi ya vitendea kazi. Sasa unakuta kila kitu mpaka ruzuku ya serikali utaweza wapi? Afrka kusini huko wameendelea na huo ujinga haupo.

Ukweli mchungu hii nchi ni MASIKINI SAAAANA YAANI SAAANA.
 
Ile sera ni mbovu, kwa nchi yetu hii yenye umasikini uliokithiri hupaswi kujitwisha mizigo ambayo ungeweza kupunguza.

Ilitakiwa serikali wapunguze ada kutoka 20k hadi 10k kwa mwaka kwa sekondari, na shule za msingi unaweka mazingira hata 3k kwa mwaka. Hizo pesa zingetumika kununulia chaki, na hata baadhi ya vitendea kazi. Sasa unakuta kila kitu mpaka ruzuku ya serikali utaweza wapi? Afrka kusini huko wameendelea na huo ujinga haupo.

Ukweli mchungu hii nchi ni MASIKINI SAAAANA YAANI SAAANA.
Yes. Something like that...

Inashangaza kuwa, sera ya "elimu bure", mafanikio yake yanapimwa kwa kigezo cha NUMBER/QUANTITY of "pupils/students enrollment" in schools badala ya kigezo cha QUALITY EDUCATION...!

Ndiyo maana kuna watu humu arguments za ni; Unajua idadi ya wanafunzi walioenda (kuhudhuria) shule kwa sababu ya elimu bure?

Badala yake swali linapaswa ku - base hapa:

Ni wanafunzi wangapi wanamaliza shule ktk ngazi zote na wana uwezo wa kutumia maarifa waliyoyapata shuleni/vyuoni kuboresha maisha yao..?
 
Ndugu siyo mimi. Ni mbunge wenu wa CCM, Kasheku Msukuma - Geita Vijijini leo bungeni...

Na wala siyo suala la kuota. It's a reality...

Video hiyo hapo akiongea. Sijui kwanini hujailewa na badala yake unani - attack mimi..! Una matatizo siyo...?

By the way, hayo ni maoni ya Mbunge...

Unaweza kukubaliana au unatofautiana naye..

Mimi nimekubaliana naye. What's wrong with that...?

Na wewe unasemaje kuhusu hilo..?

Jitahidi kutoa hoja na siyo kutapika frustrations zako na ku - attack personality za watu hapa....

Unasema CCM wanemtanguliza Msukuma, kisha unageuka kuwa hayo ni maoni ya mbunge…. kisha huoni tatizo lako?
 
Mbona una hoja dhaifu sana mzee..?

Yaani badala uyatazame mambo ktk upana wa fikra za ubongo wako, wewe unatetea "sera lemavu" kwa akili na uwajibikaji wa watu kwa hoja za kwenye vijiwe vya kahawa..?

Kwa hiyo unataka kuniambia kubwa sera hii ya "elimu bure" ilikuja na kuanza kutekelezwa ili kuzuia walimu waliokuwa wananunua magari..? Really?

If you went to school and got educated, then you're presenting your arguments this way, basi kufikiri kwako kuna mushkeri...!!

I am sorry [emoji17][emoji17][emoji17] to say this. And I don't mean to insult you...

After all, kwanza una maana gani kuliandika hili hapa..?

Na unadhani solution yake ni udanganyifu wa serikali na kulemaza akili na uwajibikaji wa wananchi wake...?
Sawa mwalimu hii nchi yenu na usijiaminishe kwamba Kila memba humu ni Educated wengine sisi tuliikosa Elimu kutokana na michango lukuki mlioyoianzisha na lengo ilikuwa kujinufaisha nyinyi na mafamilia yenu na mlivyokuwa wanafiq mlizidi kuilaumu Serikali iwaongeze mishahara ilihali mnawapiga wananchi maskini michango isiyokuwa na tija

Walimu mnahali ngumuuu, walimu, nanyinyi mnaumuhimuuuu, walimu
Msizue kitmutimu walimu
Hadi wizara ya Elimu
 
Sawa mwalimu hii nchi yenu na usijiaminishe kwamba Kila memba humu ni Educated wengine sisi tuliikosa Elimu kutokana na michango lukuki mlioyoianzisha na lengo ilikuwa kujinufaisha nyinyi na mafamilia yenu na mlivyokuwa wanafiq mlizidi kuilaumu Serikali iwaongeze mishahara ilihali mnawapiga wananchi maskini michango isiyokuwa na tija

Walimu mnahali ngumuuu, walimu, nanyinyi mnaumuhimuuuu, walimu
Msizue kitmutimu walimu
Hadi wizara ya Elimu
Asante kwa mchango wako. Naheshimu maoni yako bila kujali ubora wake...
 
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015..

Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...

Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!

Mtazame na msikilize hapa.

View attachment 2219306
Lazima tulipe ada
 
Ile sera ni mbovu, kwa nchi yetu hii yenye umasikini uliokithiri hupaswi kujitwisha mizigo ambayo ungeweza kupunguza.

Ilitakiwa serikali wapunguze ada kutoka 20k hadi 10k kwa mwaka kwa sekondari, na shule za msingi unaweka mazingira hata 3k kwa mwaka. Hizo pesa zingetumika kununulia chaki, na hata baadhi ya vitendea kazi. Sasa unakuta kila kitu mpaka ruzuku ya serikali utaweza wapi? Afrka kusini huko wameendelea na huo ujinga haupo.

Ukweli mchungu hii nchi ni MASIKINI SAAAANA YAANI SAAANA.
Mkuu hivi wewe ni Mtizedi kweli au wewe ni Mkenya? Nani alikwambia Ada ilikuwa tzs20000? Wakati wananchi Walikuwa wanachangia Hadi chakula Cha walimu ilihali wanalipwa mshahara!!!!!! Wewe siyo Mzalendo nahisi, hivi unakumbuka kipindi kile tunapewa daftari na Serikali na nchi ilikuwa Tete iweje Leo suala la Serikali kutoa Elimu Bure iwaume kiasi hicho? Au mnataka muendelee kuwapiga wananchi maskini au mnataka watoto wa maskini wasisome ili waje watawaliwe na watoto wenu?

Mkuu ilifika kipindi hizo Shule za Government walimu wakawa kama wanazimiliki wao yaani wanajipangaia michango hovyohovyo halafu pesa zenyewe wanaenda kulewea na kununulia vimada chips na makuku ya kukaanga.

ELIMU NI HAKI KWA KILA MTOTO KUIPATA, SUALA LA KUFAIL SIJUI KUFAULI IACHIENI SERIKALI ITAJUA CHA KUFANYA OVER.
 
Asante kwa mchango wako. Naheshimu maoni yako bila kujali ubora wake...
Ila ninachowaomba mshike chaki maana Kuna Shule nimepita nikakuta wanafunzi wanaandikiana ubaoni yaani mmoja anawaandikia wenzie, sasa sijui yeye atapata muda wapi wakuandika kwenye Daftari lake.

Msizue kitmutimu Hadi wizara ya Elimu[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Asante kwa maoni yako. Nayaheshimu kwa 100%...

Lakini this is my [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117] point, kwamba, it doesn't matter chama gani kipya kitaanza kutawala baada ya CCM...

Na haijalishi CCM kitaondokaje ktk ramani ya siasa za Tanzania...

Ukweli ni kuwa, CCM has to go..

Atakuja CHADEMA, sijui ACT Wazalendo au nchi itakuwa no political party state, kwangu it's ok. We are tired with this trash called CCM...
Taja vyote lakini sio hao ACT apo apana tutakuwa tumeuza nchi wenyewe
 
Back
Top Bottom