Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Huyo mbunge ni mpumbavu na mjinga kupindukia. Mimi ningekuwa huyo askari ningeondoka kwa unyenyekevu mkubwa huku nikimsubiria aingie kwenye anga zangu!
 
Pumba tupu. Kasome hata Lawa of Contract kidogo upunguze ujinga.
 
Hahah eti mabilioni... kwa sheria gani?
 
Mkataba Hana mamlaka nje ya mkataba wa kipanga.Mkataba una hayo yake? Nyumba yako mwenyewe yaweza kukupa matatizo ukafa kwa presha Kama hujali mikataba ya kupanga.

Lugora mtu wako huyo mbunge kajileta mwenyewe
Kwani wewe unajua mkataba wao ulikuwa unasemaje? mbna unarukia kufanya conclusion?
 
Hiyo haki hana,kuna utaratibu wa kisheria na lazima mmiliki wa hiyo mali atafidiwa kwa mujibu wa sheria ,katiba ya Tanzania inalinda haki ya kumiliki mali.
 
Nyumba yake alafu huyo IGP atamfanya nini?
 
Kwa issue hii serikali inabidi iwe makini sana vinginevyo ikikurupuka itawasha moto ambao utawaumiza sana askari wake wanao ishi mitaani kwa kupanga
Mwenyewe Mali hataki

Na mwenye Mali ndio anachaguwa nani ampangishe.

Kama Lugola anaona sio sawa serikali iwajengee watumishi wake
 
Maamuzi ni yake kama Polisi anashirikiana na majambazi ya jukwaani wanini sasa?
Kama kuna ukweli kwa hoja/tuhuma yako hiyo, mama mwenye, tena Mh Mbunge, kwa nini asichukue hatua stahiki kwenye vyombo vya Katiba? Isitoshe, kama mwanachama wa CHADEMA, mtetezi mkuu wa demokrasia, hatukutegemea kauli hiyo kutoka kwake Mh tena Bungeni.

Du!
 
Sina ubaya na huyo askari kwa sababu simjui, lakini ni ndoto ya mchana kujidanganya kwamba unategemea kupata kura hata moja kutoka familia ya polisi, kwa sababu na makosa makubwa wanayofanya polisi ni kujifanya kuwa ccm, hawa polisi wangekuwa wanatenda haki sawa watu wote bila kubagua watu kwa misingi ya kisiasa haya yote yasingetokea, mienendo yao inasababisha wanachukiwa na watu wengi sana, wewe kama umesikitika sana ungeanza kulitatua hili tatizo kuanzia chini lilikoanzia na si kushughulika na matokeo, huyo Mama Mbunge amepatwa na hasira ndio maana akasema haoni sababu ya kushirikiana nao, na kumbuka, polisi kumhudumia huyo Mama ikitokea akawa na shida yeyote kwao ni jumkumu lao la msingi, usiseme kwamba eti wanaweza kukataa kumsaidia, btw ni mara nyingi tumekuwa tukioona polisi wanavyojitoa akili pale wanapotakiwa kutoa huduma kwa watu ambao sio wana ccm, huyo mama mbunge hajakosea, ukizingatia hiyo nyumba ni yake, hajasaidiwa na serikali kuijenga, ana maamuzi nayo kwa lolote, hata mimi nawachukia sana polisi, nimeshaona wakifanya mambo mengi ya kishenzi, lakini pia naamini unakumbuka kauli aliyotoa rais wenu hivi karibuni kwamba, "mtu yeyote atakae mpiga mwanaccm atakion cha moto, wakati huohuo kuna vijana wa ccm walimvamia kwa silaha (mchana kweupe) aliyekuwa M/kiti wa Chadema mkoa wa Geita (Marehemu Mawazo) mpaka akapoteza maisha, polisi hawajachukulia mtu yeyote hatua mpaka leo, unakumbuka kitendo walichokifanya polisi cha kupiga mabomu ya machozi waombolezaji nyumbani kwa Baba mdogo wa marehemu Mawzo ?!., ndio polisi unaowaonea huruma, huyo polisi aende akakae kwenye Kotazi za serikali kwasababu tulishaambiwa hawatakiwi kukaa uraiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…