Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko bungeni hawanaga vitu vya kujadili
Kampangishe wewe huyo Askari.Mpaka hivi sasa bado natafuta Mantiki ya Kumfukuza Askari Nyumbani Kwako ambako umempangisha kwa sababu tu za Kisiasa na Hasira. Askari Kufukuzwa kuna Uhusiano gani za matatizo ya Kiuchaguzi au ya Kisiasa? Hivi ukija kuwa Mzee na ukasikia nawe Mwanao ambaye labda amekuwa Askari nae akifanyiwa hivi kama Mama utajisikiaje?
Leo hii unaposema kuwa umemfukuza Askari Kwako kwakuwa huoni umuhimu wake hivi na Wao Askari ambao kwa bahati nzuri Sisi Wananchi tunawahitaji sana kwa Ulinzi na Usalama wa Mali zetu Siku ikitokea nawe ukapatwa na matatizo wakikususia na yakakukuta makubwa utamlaumu nani?
Kama unajinasibu kuwa Wewe ni mpenda Demokrasia na unapambania Haki za Watu unapomfukuza Askari Kwako ulikompangisha uliangalia pia na upande wake wa Pili wa Familia yake ambayo ni kama vile umeinyanyasa? Kwa Kitendo hiki unategemea Kweli upate hata Mwanachama Mmoja ndani ya hiyo Familia ambaye pengine Kura yake hiyo moja na nyinginezo zingeweza Kuitoa CCM Madarakani kama unavyotaka?
Ni kweli Askari wanaweza wakawa na Changamoto zao ila Kumfukuza Nyumbani Kwako halafu unakuja Kujisifia na Kuutangazia Umma wa Watanzania ni Uthibitisho wa aina ya Roho mbaya yenye Ukatili mwingi uliyonayo. CCM haitotolewa Madarakani kwa Kuwachukia Mapolisi bali itatolewa kwa Sera, Mipango na Mikakati thabiti.
Na kilichoniuma na kunisikitisha zaidi ni kwamba haya Maamuzi yamefanywa na Mwanamama ambaye nilikuwa naamini kuwa ndiyo Jinsia ambayo Kiasili imetawaliwa na Huruma kuliko hata Wanaume. Na hakuna Kitu kibaya kama Kutengeneza Bifu na Mapolisi na leo anaweza akafurahi ila natabiri mapema kuna Hatari naiona inaelekea kwa aliyemfukuza Askari Nyumbani Kwake.
Tujifunze Kutenganisha Hasira na Utu.
Hata mimi ningemuondoa ila nisingemtangaza bungeni
TRA kama alikuwa kodi halipi na TRA ikishamtia hatiani haruhisiwi.kugombea Tena milele udiwani ,ubunge ,uraisi au uongozi wa serikali ya mtaa sababu kukwepq Kodi ni moja us kosa ambalo ukidakwa haruhusiwi kugombeaNajaribu kutafakari ni sheria ipi itamtia hatiani huyo mbunge
Hiyo ni hate speech .Nchi za wenzetu saa hii angekuwa na pinguOvyo kweli kweli kiongozi ni kioo cha jamii hivi sasa mtu kama huyu anafundisha nini wananchi.
Hii ni ‘hate crime’ na hatua za kisheria lazima zichukue mkondo wake.
Tena aelezwe wazi traffic polisi wanasubiria magari yake barabarani hakuna atakayekuwa tayari kumpa ushirikiano Kama yeye asivyotaka ushirikianoMama nakuonea huruma sana. Je umejiandaa vyema kupambana na Hilo kundi? Wanaweza kukutengenezea fitina makusudi sijui utakuja Tena hadharani kuwalalamikia hawafanyi kazi.
Aliyemsema na kumtimua hayuko bungeni kamnyanyasa mtu nje ya bunge hakuna Cha Kinga hapo.Huwezi niibia ukakimbilia bungeni ukasema uliniibia halafu ujifanye una Kinga ya bunge.Kitendo kiovu ulichofanya nje ya bunge lazima uwajibikeNdo kusema ile kinga ya wabunge wakiwa mjengoni nayo ndo haina maana tena?
Aliyemsema na kumtimua hayuko bungeni kamnyanyasa mtu nje ya bunge hakuna Cha Kinga hapo.Huwezi niibia ukakimbilia bungeni ukasema uliniibia halafu ujifanye una Kinga ya bunge.Kitendo kiovu ulichofanya nje ya bunge lazima uwajibike
hata mimi ningemtimuwa au hata kumwitia mwizi apewe kichapo maana ndio wanao wapa kiburi hao mashetani wa kijani.Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Manjagu ni masikini kama sie wasipotii maagizo upigwa chiniHuyo maza nae bwege tu....japo maaskari siwafagilii