Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Nyumba ni mali yake Binafsi, kwa hiyo ameona ni heri aifanye kuwa store au afugie kuku, yuko sawa Mh Mbunge wangu
 
Kesho nyumba yake itawekwa ex..iko barabarani
#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
 
#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.

Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Ibara ya 100 ya katiba ya jamuhuri ya muungano inasemaje kwani?
 
Kweli "kujisaidia ajisaidie kuku akijisaidia bata kaharibu" wao kauli zao huwa hazivunji amani ila wengine amani inavunjika,basi wengine wana kauli kali
 
Rais ana mamlaka ya ku revoke hati ya Nyumba ya mtu yeyote kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nyumba ya huyo mbunge itaifishwe igeuzwe makazi ya Askari ‘Line police’ iwe fundisho kwake na wahuni wenzie huyo Mama

Kuna siku ataibuka kufukuza Waislam au Wakristo kwenye Nyumba anayopangisha au mwenye Basi pa abiria atawashusha Abiria kwa kuwa tu ni Wachaga au Wasukuma
 
Kusema sitaki kishirikiana ni uvunjifu was amani? Kwa vipi bwana waziri
 
Rais ana mamlaka ya ku revoke hati ya Nyumba ya mtu yeyote kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nyumba ya huyo mbunge itaifishwe igeuzwe makazi ya Askari ‘Line police’ iwe fundisho kwake na wahuni wenzie huyo Mama
Hiyo sio sababu, son sheria ya Ardhi. Acheni watu wapumue
 
Mbunge wa viti maalimu kamfukuza mpangaji wake askari Polisi kwa vile kagundua polisi wamekuwa hawana uhusiano mwema na RAIA.
Huo ni mfano sahihi na kama tukifanya hivyo wote katika kila jambo kuwatenga watapata elimu ya bure kuhusu ujirani mwema.
Kwa kuunga mkono juhudi za mheshimiwa mbunge, Leo nimemnyima Lift kwenye mkweche wangu mchana huu. Ilikuwa hivi, nimewakuta jamaa wawili na huyo askari polisi. Kwa vile wananifahamu na wanajua naelekea wapi wakanipiga mkono lift. Sikufanya hiana nikasimama, polisi kama vile ana madaraka mpaka kwenye gari yangu akaingia mbele na kipiga sambusa! Wewe! Ndio alimjua Chakaza ni nani kwani nilimpa point blank kuwa siwezi kumpa lift asubiri gari zao, wengine twende.
Story zilizofuata nikajua kumbe nimeungwa mkono 100% ña hawa wawili.
Hongera mhe. Mwakagenda kwa kuonyesha njia
Screenshot_20191108-173524.jpeg
 
Rais ana mamlaka ya ku revoke hati ya Nyumba ya mtu yeyote kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nyumba ya huyo mbunge itaifishwe igeuzwe makazi ya Askari ‘Line police’ iwe fundisho kwake na wahuni wenzie huyo Mama
Sheria gani inamlazimisha mtu kushirikiana nae???? Kama sikupendi sikupendi tuuuu....!!!
 
Back
Top Bottom