Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Huo ni ubaguzi
Sio maadili ya kiTanzania Hayo
Sio maadili ya kiTanzania Hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ni mali yake Binafsi, kwa hiyo ameona ni heri aifanye kuwa store au afugie kuku, yuko sawa Mh Mbunge wangu#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Hii coment imenichekesha kidogoNyumba ni mali yake Binafsi, kwa hiyo ameona ni heri aifanye kuwa store au afugie kuku, yuko sawa Mh Mbunge wangu
Hata kama haiko barabarani ?, basi utakuwa ni ushetwainKesho nyumba yake itawekwa ex..iko barabarani
Huo ni ubaguzi
Sio maadili ya kiTanzania Hayo
Bora tucheke tu maana hii serikali ya ccm imetufanya tuwe kama wakimbizi wa LohingyaHii coment imenichekesha kidogo
Hilo lilugola halikumsikia huyo aliyewaita wenzake waduduSasa kama huo ni uvunjifu wa amani vipi yule aliyesema hawezi kushirikiana na upinzani kwa kuwa ni wadudu
Ibara ya 100 ya katiba ya jamuhuri ya muungano inasemaje kwani?#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Ha ha ha ha....inde moniiiii
Hiyo sio sababu, son sheria ya Ardhi. Acheni watu wapumueRais ana mamlaka ya ku revoke hati ya Nyumba ya mtu yeyote kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nyumba ya huyo mbunge itaifishwe igeuzwe makazi ya Askari ‘Line police’ iwe fundisho kwake na wahuni wenzie huyo Mama
Sheria gani inamlazimisha mtu kushirikiana nae???? Kama sikupendi sikupendi tuuuu....!!!Rais ana mamlaka ya ku revoke hati ya Nyumba ya mtu yeyote kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nyumba ya huyo mbunge itaifishwe igeuzwe makazi ya Askari ‘Line police’ iwe fundisho kwake na wahuni wenzie huyo Mama