Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wanapanda ujinga lakini wanataka kuvuna uerevu!! Ajabu kabisa!!Na mimi namfukuza mwisho wa mwezi huu kodi yake ikiisha.sioni sababu ya kumpangisha polisi kwangu. Mwambieni IGP anitafute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapanda ujinga lakini wanataka kuvuna uerevu!! Ajabu kabisa!!Na mimi namfukuza mwisho wa mwezi huu kodi yake ikiisha.sioni sababu ya kumpangisha polisi kwangu. Mwambieni IGP anitafute
Hebu imagine mtu anajaza fomu kutoka chama cha upinzani na kuandika ACT wazalendo, anaambiwa kakosea, kwa kuwa anahitajika kuandika kirefu, na hivyo jina lake linaenguliwa, kuwa siyo mgombea!Zaidi ya huu ubaguzi rais aliopandikiza kwenye nchi hii? Huyo mbunge kumbuka ndio wale rais aliwaita ni magunzi, sasa gunzi litashirikiana vipi na battery, je tochi itawaka?
Si angemuagiza wampe kota akakae tu, Hawa wateule wa Jiwe vipiBaada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
ha ha ha dancer dancer !
huyu waziri kile anajua ni kucheza ngoma na dance pekee, ovyo kabisa
Taarifa ya Twaweza - CCM inapendwa na kuungwa mkono na watu wajinga.Wabunge wa chadema akili hawana
Tatizo kauli hii ikiachwa bila kukemewa itasababisha watu wengine waike hivyo kuleta mtafarukuSasa si nyumba ake,kange nae ni yale nonsenser
Aisee hili ni Bonge la wazo!!Si angemuagiza wampe kota akakae tu, Hawa wateule wa Jiwe vipi
Mimi kesho namfukuza mwanaccm kapanga kwenye Nyumba yetu.. Na leo nimemtumia meseji aachie nyumba...Mpaka hivi sasa bado natafuta Mantiki ya Kumfukuza Askari Nyumbani Kwako ambako umempangisha kwa sababu tu za Kisiasa na Hasira. Askari Kufukuzwa kuna Uhusiano gani za matatizo ya Kiuchaguzi au ya Kisiasa? Hivi ukija kuwa Mzee na ukasikia nawe Mwanao ambaye labda amekuwa Askari nae akifanyiwa hivi kama Mama utajisikiaje?
Leo hii unaposema kuwa umemfukuza Askari Kwako kwakuwa huoni umuhimu wake hivi na Wao Askari ambao kwa bahati nzuri Sisi Wananchi tunawahitaji sana kwa Ulinzi na Usalama wa Mali zetu Siku ikitokea nawe ukapatwa na matatizo wakikususia na yakakukuta makubwa utamlaumu nani?
Kama unajinasibu kuwa Wewe ni mpenda Demokrasia na unapambania Haki za Watu unapomfukuza Askari Kwako ulikompangisha uliangalia pia na upande wake wa Pili wa Familia yake ambayo ni kama vile umeinyanyasa? Kwa Kitendo hiki unategemea Kweli upate hata Mwanachama Mmoja ndani ya hiyo Familia ambaye pengine Kura yake hiyo moja na nyinginezo zingeweza Kuitoa CCM Madarakani kama unavyotaka?
Ni kweli Askari wanaweza wakawa na Changamoto zao ila Kumfukuza Nyumbani Kwako halafu unakuja Kujisifia na Kuutangazia Umma wa Watanzania ni Uthibitisho wa aina ya Roho mbaya yenye Ukatili mwingi uliyonayo. CCM haitotolewa Madarakani kwa Kuwachukia Mapolisi bali itatolewa kwa Sera, Mipango na Mikakati thabiti.
Na kilichoniuma na kunisikitisha zaidi ni kwamba haya Maamuzi yamefanywa na Mwanamama ambaye nilikuwa naamini kuwa ndiyo Jinsia ambayo Kiasili imetawaliwa na Huruma kuliko hata Wanaume. Na hakuna Kitu kibaya kama Kutengeneza Bifu na Mapolisi na leo anaweza akafurahi ila natabiri mapema kuna Hatari naiona inaelekea kwa aliyemfukuza Askari Nyumbani Kwake.
Tujifunze Kutenganisha Hasira na Utu.
😆😆😆Alafu design hapa alikua anatema kikwapa balaa...maana ht mashati yake mgongoni huwa dhohofu lihali kwa jasho😉!
Hizi pesa wanazolipwa wabunge rais angeweza kuzitumia kufanya mambo ya maana kama kununua mandege.