aborder
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 245
- 180
Na bado watendaji wa vijiji na kata watafurahishwaHuo ni ubaguzi
Sio maadili ya kiTanzania Hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado watendaji wa vijiji na kata watafurahishwaHuo ni ubaguzi
Sio maadili ya kiTanzania Hayo
#NipasheBUNGENI Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema amemuondoa mpangaji ambaye ni Polisi kwenye nyumba yake kwa sababu haoni haja ya kushirikiana nae.
Waziri Kangi Lugola amemuagiza IGP Simon Sirro kumchukulia hatua Mbunge huyo na wengine wanaotoa kauli zenye viashiria vya uvunjifu wa amani.
Huyo mama asubirie majibu atayapata tu Tena bila kuyaombaKesho nyumba yake itawekwa ex..iko barabarani
Mkataba Hana mamlaka nje ya mkataba wa kipanga.Mkataba una hayo yake? Nyumba yako mwenyewe yaweza kukupa matatizo ukafa kwa presha Kama hujali mikataba ya kupanga.Nyumba aliyejenga ndio mwenye mamlaka nayo
Hauna akiliMawakili kesi ya bure hiyo hapo undeni jopo la mawakili nguli mumburuze huyo mwakagenda mahakamani mdai fidia mabilioni .Akilipa mtakata hela zenu za uwakili humo.Msaidieni huyo polisi bure bill hata kumdai shilingi ili huyo.mama ashikishwe adabu ajue kuwa na nyumba sio issue ya kumfanyia mpangaji utakacho
Hivi nini kinawauma?? Mlipoanzisha ubaguzi mlitegemea nini? Acheni kujitoa ufahamuTRA mama mbunge kakiri Ana nyumba anapangisha pelekeni kikosi Cha kukagua Kodi zenu kwenye hizo nyumba Kama miaka yote amekuwa Akilipa Kodi ya mapato kikamilifu
Hivi kupangisha ni lazima??Mawakili kesi ya bure hiyo hapo undeni jopo la mawakili nguli mumburuze huyo mwakagenda mahakamani mdai fidia mabilioni .Akilipa mtakata hela zenu za uwakili humo.Msaidieni huyo polisi bure bill hata kumdai shilingi ili huyo.mama ashikishwe adabu ajue kuwa na nyumba sio issue ya kumfanyia mpangaji utakacho
Hapa naongelea Kodi ya TRA mkuu.Serikali ikacheki Kama imekuwa ikipata Kodi yake kwenye hiyo nyumba yake ya biashara ya kupangishaHivi nini kinawauma?? Mlipoanzisha ubaguzi mlitegemea nini? Acheni kujitoa ufahamu
Si lazima ila Kama unapangisha Kama huyo mama mbunge Kodi ya TRA inatakiwa uwe unaipeleka kwenye hizo Kodi unazopokeaHivi kupangisha ni lazima??
Cheki povu manina zenu twendeni mnavyotaka uzuri tunaishi wote mtaaniSi lazima ila Kama unapangisha Kama huyo mama mbunge Kodi ya TRA inatakiwa uwe unaipeleka kwenye hizo Kodi unazopokea
Maadili ya kuwaagiza watendaji wasiwape ushirikiano Wapinzani. Na polisi wanaotumwa kudhuru3 wapinzani wana maadili ya RwandaHuo ni ubaguzi
Sio maadili ya kiTanzania Hayo