F
Usije ukalinganisha Marekani na Tanzania kwa namba yoyote ile.
Mnajua kikombe Cha kahawa Marekani kinauzwaje? Mnafahamu Bei ya kupanga nyumba au chumba Marekani ni Bei gani? Hakuna gesti ya elfu kumi na tano kule.
Maza ako ndiyo analinganisha
 
Tuwe wakweli, Dr. Tulia ameonyesha uwezo. Anastahili Big Up.
P
 
 
wewe uteuzi unakusumbua, hakuna lolote amefanya zaid ya kuwapiga beat waheshimiwa wabunge kutomtaja raisi.
Duh...!. Kwa hiyo siku hizi ni kila ukisifu jambo lolote, ni unatafuta uteuzi?!.
P
 
Huu sasa ndio mwanzo.
P
 
Tuwe wakweli, Dr. Tulia ameonyesha uwezo. Anastahili Big Up.
P

Pasco wakati mwengine hueleweki sijui ni kwa vile ni mtoto wa Baba na Mama ambao ni fly. Suala la bei za mafuta lina muda wa kutosha tangu lianze. Mh Spika kuiombea serikali ipewe muda ni kuonesha kutokua makini kwake na hiyo serikali anayo iombea. Serikali ilitakiwa iwe na majibu ya kushughulikia bei za mafuta kitambo kirefu huko nyuma. Nguvu zina elekezwa kupambana na marehemu na RT matokeo yake ndio haya.
 
ktk vitu sijawahi kufuatilia toka mwanzo hii ripoti ya sijui cag

hivi ina umuhimu gani hasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…