Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema hakuna mtendaji wa vitendo kama JPM nitakuona hazikutoshi..Kama kuna mtu alimpenda na kumheshimu na kumpa madaraka Basi Hakuna mkubwa zaidi ya Makamu Wake. Shida unachagua katika watoto wa baba mmoja ukidhani unascore a Point. Hakuna Mtendaji wa vitendo kama JPM. Hata unayozungumzia maujenzi wakati Bwana Kikwete Ni yeye ndo alikuwa mtendaji. Mkapa Ni yeye ndo mtendaji na pengine alipenda sana miundo mbinu kuliko chochote kile. Kabla ya kufa mlimwita so Kama una lolote linalokuuma Labda vyeti. Madawa au bangi zako tu. Singizia mengine. Kama kuna mwenye cheo zaidi ya Rais Tz Basi Wewe Ni kichaaaa.
msukuma aliwahi kuwa mfanyabiashara & mtumiaji mkubwa wa marijuana kwa hiyo confidence ni lazima kwa sababu ule mmea huwa una katabia ka kuwapatia watumiaji wake misimamoNdio aina ya siasa zake
Msukuma ana confidence akichangia hata mambo ya kitaaluma kuliko wana taaluma wenyewe
Usishangae Msukuma akiwa anachangia mambo ya Geology akawa na confidence kuliko Prof Muhongo
Eti huyo kiazi ndio mteule wa kugombea Urais kutoka Sukuma gang 😆😆Wakati wa Mpina, maofisa wake walikuwa wanawapima Samaki urefu kwa kutumia rula tena wale waliopikwa
Huyu mpima samaki kwa rula na wenzake wako wapi?Wakati wa Mpina, maofisa wake walikuwa wanawapima Samaki urefu kwa kutumia rula tena wale waliopikwa
View attachment 2180517
Kwa hiyo yeye peke yake ndio kaona Makamba anahujumu uchumi sio?ile hoja ya Mpina kwamba Makamba ni muhujumu uchumi mpaka leo sijaona ikijibiwa, naona chawa wa mama mnatupigia kelele tu hapa.
Huna utulivu wa akili,nenda ukate gogo afu urudi kusoma ndio uchangie.Nikafikiri amekuja na hoja... Kumbe anatetea mali zake binafsi!
Waache kutuhadaa washamba hawa walioibaka demokrasia 2020Wameanza kuumbuana..
Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Crip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni..
Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu [emoji38][emoji38].
Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.
My take,
Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.
View attachment 2180464
View attachment 2180467
View attachment 2180488
View attachment 2180489
Alisema Makamba ameisababishia serikali hasara ya bilioni 30 kwa uamuzi wake wa kuondoa shilingi 100 kwenye tozo za mafuta zilizopitishwa na bunge.Kwa hiyo yeye peke yake ndio kaona Makamba anahujumu uchumi sio?
Ehee tueleze alieleza Makamba anahujumu vipi uchumi mkuu?
Sometimes unaweza mpuuzi mpumbavu hadi avuke mstari wa uvumilovu.
Magufuli aliliacha na asilimia ngapi?Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa
USSR
Strategy ilizaa matunda hii, samaki waliongezeka hadi leo, hatuji mbeleni. Comrade, Sheria ziko wazi kuhusu urefu wa samaki anayetakiwa kuvuliwa.Wakati wa Mpina, maofisa wake walikuwa wanawapima Samaki urefu kwa kutumia rula tena wale waliopikwa
View attachment 2180517
Wameanza kuumbuana..
Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Crip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni..
Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu 😆😆.
Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.
My take,
Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.
======
Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ameeleza kuwa basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika na yeye analalamika.
Wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, basi linalomilikiwa na Msukuma lilikamatwa likiwa na samaki na kutaifishwa. Wakati huo Serikali ilizuia uvuvi na usafirishaji wa samaki wadogo Ziwa Victoria.
Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu.
Hata hivyo Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).
Msukuma amemtaja moja kwa moja mbunge wa Kisesa, Luhwaga Mpina kwamba amekuwa mtu wa kulalamika huku akimhusisha yeye (Msukuma).
“Mimi sitaki kuangushiwa jumba bovu, nimeona katika moja ya mitandao nahusishwa na kauli yangu kuhusu ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, nililisema kweli na nikafuata taratibu zote, lakini tuliomba kibali cha kutembelea ambapo nakiri ujenzi wake umekwenda mara tatu ya alivyoacha Magufuli (Rais John Magufuli wa awamu ya tano),” amesema Msukuma.
Katika hatua nyingine ametaja hoja ya kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania akitaka Serikali ichukue hatua za dharura kama ilivyofanya katika mazao ya wakulima, lakini ameonya bila kufanya hivyo wakati wowote mafuta yatapanda tena.
Kwahiyo unampima samaki aliyepikwa😫😫Strategy ilizaa matunda hii, samaki waliongezeka hadi leo, hatuji mbeleni. Comrade, Sheria ziko wazi kuhusu urefu wa samaki anayetakiwa kuvuliwa.