Bungeni: Musukuma amvaa Luhaga Mpina kwa kueneza uzushi wa Bwawa la Umeme la Nyerere

Bungeni: Musukuma amvaa Luhaga Mpina kwa kueneza uzushi wa Bwawa la Umeme la Nyerere

Mwendazake ndio nani?
Ni huyu hapa 👇

2952362_Q0f.jpg
 
Halafu kwako unafikiri hiyo picha ni tusi. Jifunze methali pia
 
Kama kuna mtu alimpenda na kumheshimu na kumpa madaraka Basi Hakuna mkubwa zaidi ya Makamu Wake. Shida unachagua katika watoto wa baba mmoja ukidhani unascore a Point. Hakuna Mtendaji wa vitendo kama JPM. Hata unayozungumzia maujenzi wakati Bwana Kikwete Ni yeye ndo alikuwa mtendaji. Mkapa Ni yeye ndo mtendaji na pengine alipenda sana miundo mbinu kuliko chochote kile. Kabla ya kufa mlimwita so Kama una lolote linalokuuma Labda vyeti. Madawa au bangi zako tu. Singizia mengine. Kama kuna mwenye cheo zaidi ya Rais Tz Basi Wewe Ni kichaaaa.
Akikuwa muongo sana na mpenda sifa zisizo na maana, mbinafsi na majivuni. Kikwete alijenga miundombinu chini ya mawaziri wote wakiokuwepo na simply kwasababu miundombinu ndio ilikuwa tatizo kubwa la nchi hivyo fedha nyingi alikuwa akipeleka huko. Mbona hakuna la maana alipopelekwa mifugo na uvuvi au ardhi. Msimpe sifa zisizo mstahili. He's just an ordinary man.
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Ashabanwa huyo

Chezea kingine na sio ccm maana inawenyewe
 
Wameanza kuumbuana.

Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Clip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni. Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu 😆😆.

Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.

My take,

Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.

======


Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ameeleza kuwa basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika na yeye analalamika.

Wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, basi linalomilikiwa na Msukuma lilikamatwa likiwa na samaki na kutaifishwa. Wakati huo Serikali ilizuia uvuvi na usafirishaji wa samaki wadogo Ziwa Victoria.

Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu.

Hata hivyo Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).

Msukuma amemtaja moja kwa moja mbunge wa Kisesa, Luhwaga Mpina kwamba amekuwa mtu wa kulalamika huku akimhusisha yeye (Msukuma).

“Mimi sitaki kuangushiwa jumba bovu, nimeona katika moja ya mitandao nahusishwa na kauli yangu kuhusu ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, nililisema kweli na nikafuata taratibu zote, lakini tuliomba kibali cha kutembelea ambapo nakiri ujenzi wake umekwenda mara tatu ya alivyoacha Magufuli (Rais John Magufuli wa awamu ya tano),” amesema Msukuma.

Katika hatua nyingine ametaja hoja ya kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania akitaka Serikali ichukue hatua za dharura kama ilivyofanya katika mazao ya wakulima, lakini ameonya bila kufanya hivyo wakati wowote mafuta yatapanda tena.
Luhaga Mpina ni mpumbavu sana, anaongozwa na tamaa ya madaraka
 
Nani aliwahi kutoa hizi taarifa za kwamba Bwawa limefika 50%? Acha uzushi wewe.

Mwisho nani hajui kwamba Serikali ya Mwendazake ilijaa uongo,kupika data na Takwimu? Ni mjinga tuu kama wewe ndio ungeweza muamini Mwendazake.

Mwendazake alizindua zaidi ya mara 3 Bomba la mafuta la Uganda lakini hakuna hata greda 😆😆..
Sgr ya km 200 tuliambiwa ingeanza mwaka 2018 hadi leo hii imekwama 😬😬
Yumkini hukuelewa nilichoandika. Kuna wapiga manyanga wanadai Bwawa lilipaswa lifike 86% mwaka jana na kwamba lilikuwa zaidi ya 50%. Sasa nawauliza, kama Bwawa waliaminishwa limefika zaidi ya 50% huko nyuma iweje mwaka baadaye ujenzi uripotiwe umefikia 41. That means Mwendazake alikuwa anaongoza nchi kea fix nyingi ila matanzania vichwa maji ndio maana walimuelewa. Hakika Mungu analipenda Taifa la Tanzania.
 
Wameanza kuumbuana.

Mbunge wa Geita Mjini Musukuma amemjia juu Luhaga Mpina kwa kumhusisha na kueneza uzushi Kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere kwenye Clip aliyodai ilikuwa ikienea mitandaoni. Musukuma ameonya kutohisishwa kwenye uzushi usio na maslahi ya Nchi Kwa kuangushiwa jumba bovu 😆😆.

Musukuma amesifu Kazi nzuri iliyofanywa na Waziri Makamba chini ya uongozi mahiri wa Rais Samia.

My take,

Mtaendelea kuumbuana na mwisho mtawataja tuu waliowatuma.

======


Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ leo Ijumaa Aprili 8, 2022 ameeleza kuwa basi lake lililokamatwa kwa kosa la kuwa na samaki watatu linaozea kituoni lakini anashangaa aliyehusika na yeye analalamika.

Wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, basi linalomilikiwa na Msukuma lilikamatwa likiwa na samaki na kutaifishwa. Wakati huo Serikali ilizuia uvuvi na usafirishaji wa samaki wadogo Ziwa Victoria.

Msukuma ametoa kauli hiyo wakati akichangia katika hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara zilizochini yake ambapo amesema kuna watu huwa wanajisahaulisha wakisha kuwa nafasi za juu.

Hata hivyo Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson amekea kauli hiyo akisema siyo sehemu ya mjadala ulio mbele ya bunge na kumtaka mbunge kujielekeza kwenye hoja mahususi huku akimsihi kufuta kauli yake aliyosema message delivery (ujumbe umefika).

Msukuma amemtaja moja kwa moja mbunge wa Kisesa, Luhwaga Mpina kwamba amekuwa mtu wa kulalamika huku akimhusisha yeye (Msukuma).

“Mimi sitaki kuangushiwa jumba bovu, nimeona katika moja ya mitandao nahusishwa na kauli yangu kuhusu ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, nililisema kweli na nikafuata taratibu zote, lakini tuliomba kibali cha kutembelea ambapo nakiri ujenzi wake umekwenda mara tatu ya alivyoacha Magufuli (Rais John Magufuli wa awamu ya tano),” amesema Msukuma.

Katika hatua nyingine ametaja hoja ya kupanda kwa bei ya mafuta Tanzania akitaka Serikali ichukue hatua za dharura kama ilivyofanya katika mazao ya wakulima, lakini ameonya bila kufanya hivyo wakati wowote mafuta yatapanda tena.
Hiyo Mpina anamshambulia Rais SSH kwa kujifanya anamkosoa Makamba. Kwa kifupi Makamba anaangushiwa jumba bovu kwa niaba ya bosi wake aliyemteua.

Msukuma amemuwahi Mpina mapema sana, kwani hata kama Makamba leo hii ataondolewa hautakuwa mwisho wa mashambulizi.

Zengwe litahamia kwa Nape Nnauye, ni siasa za nyuma ya pazia.

Huyu Ngosha ana roho mbaya na hata Marehemu Magufuli alishamgundua akaamua kumpotezea baada ya kumsoma vizuri.
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
hahahaaaa mnasahau kwamba report ya CAG mnayoongelea ni ya karibu miaka miwili nyuma, msukuma anaongelea hali halisi iliyopo leo!!!!
 
Aka kajamaa ni kanafki tu sijawah kukaelewa kakiguswa kidogo tu lazima kajitokeze kusaga kunguni
 
hilo bwawa hata mlevi anajua kuwa màgufool mwenyewe asingeweza kulikamilisha kwa wakati kwa jinsi alivyobanwa pumbu na mabeberu
Magufuli alitaka sana hili bwawa limalizike haraka iwezekanavyo.Lakini alikwama au angekwama kwa sababu nyingi tu.
1.Nchi za magharibi ikiwemo Germany haikutaka mradi huo kwa sababu za uharibifu wa mazingira,wao wakitaka atumie gesi asilia inayopatikana nchini kwa wingi.
2.Mikopo nafuu kutoka nchi za Magharibi isingewezekana kwa sababu ya no.1
3.Maandalizi ya kujenga bwawa hayakujitosheleza yaliacha loopholes nyingi ambazo baadae zimechelewesha mradi kukamilika kama ilivyopangwa I.e kukosekana kwa emergency power supply incase of black out,Logistics.
4.Competency ya Main Contractor ambaye ni Arab Contractors inatia shaka sana.
5.Corona Epidemic
6.Poor coordination kati ya Contractor, TANESCO na serikali.
7.Kuna wakati propaganda zilitumika kusifia speed ya mradi wakati haikuwa kweli.
8.Ukata,serikali ilishindwa kutenga fedha za kutosha ili kumaliza huu mradi kwa muda uliokusudiwa.
 
ile hoja ya Mpina kwamba Makamba ni muhujumu uchumi ameisababishia serikali hasara ya bil 30 mpaka leo sijaona ikijibiwa, naona chawa wa mama mnatupigia kelele tu hapa.
Na wewe kwa akili yako unaamini Makamba kasababisha iyo hasara? Utakuwa huna elimu kabisa
 
Akikuwa muongo sana na mpenda sifa zisizo na maana, mbinafsi na majivuni.
Nani huyo?
Kikwete alijenga miundombinu chini ya mawaziri wote
Mawaziri wote wanajenga miuondombinu?
wakiokuwepo na simply kwasababu miundombinu ndio ilikuwa tatizo kubwa la nchi hivyo fedha nyingi alikuwa akipeleka huko.
kwa mawaziri wote?
Mbona hakuna la maana alipopelekwa mifugo na uvuvi au ardhi. Msimpe sifa zisizo mstahili. He's just an ordinary man.
Waulize wavuvi wa Tuna fish!
 
Waulize wavuvi wa Tuna fish!
Shida yenu wabheja ni ushamba na ujinga.
1. Nani: Mwendazake
2. Mawaziri wote waliohudumu kwenye kwenye Wizara inayohisika na ujenzi
Akiwa uvuvi alitumia nguvu nyingi bila sababu kiasi cha kuisababishia serikali hasara mara nyingi tu. Ukitaka kujua zipi njoo inbox nikueleze maana nyingine zinagusa mamlaka nyingine.
 
Hiyo Mpina anamshambulia Rais SSH kwa kujifanya anamkosoa Makamba. Kwa kifupi Makamba anaangushiwa jumba bovu kwa niaba ya bosi wake aliyemteua.

Msukuma amemuwahi Mpina mapema sana, kwani hata kama Makamba leo hii ataondolewa hautakuwa mwisho wa mashambulizi.

Zengwe litahamia kwa Nape Nnauye, ni siasa za nyuma ya pazia.

Huyu Ngosha ana roho mbaya na hata Marehemu Magufuli alishamgundua akaamua kumpotezea baada ya kumsoma vizuri.
Wacha aongee ukweli
 
Mpina anwapiga pini hadi mnalialia tu , report ya CAG inasema kuwa bwawa liko 41% na lilipaswa kuwa 86% mwaka jana. Wewe unaletamavi yako hapa


USSR
Hivi nani huwa anamchunguza CAG?
 
Back
Top Bottom