Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Safi sana!
.
Dikteta alishakufa!

Mungu fundi

Tunapumua

Sukuma gang inakomeshwa

Mama siyo dhalimu

Dikteta aliua sana watu

Weka tozo mama hadi za kupumua maana democrasia imetamalaki.
 
Alaaniwe Zungu na kizazi chake chote
 
Ile kauli kwa Nape Ina tafsiri nyingi sana "Nape wewe ndo mwokozi wa nchi hii....Mwenye namba ya zungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…