Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Bungeni: Zungu ashauri ukusanyaji wa mapato kupitia Data

Mbona teyari wanakusanya, Kwa tshs 1,000 tulipata 1 GB sasa tunapata mb 500. Au wanataka tupate mb 100 kabisa
 
Na kwa kuwa chokochoko za tozo ziko mitandaoni tu, hii itaua ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Zungu tupumzishe wenzio mlo mmoja we unasaza.
 

Attachments

  • Screenshot_20220921_153654.jpg
    Screenshot_20220921_153654.jpg
    101.3 KB · Views: 1
Kama wanataka kuongeza Pato la serikali basi Itakua vizuri na Mishahara yao wabunge pamoja na posho zao za Kila siku zikapunguzwa
 
Naunga mkono na miguu, kichwa na mdomo, pua hoja hii, naungana na Mh. Zungu, nchi zote zimewekeza kupata kodi kupitia data, calls, sms, kutuma na kupokea fedha mtandao, hapa kwetu serikali haipati kodi yoyote kupitia data.. Data kodi yake serikali ingepata kubwa sana
Taja mfano wa hzo nchi na rasilimali walizonazo kulinganisha na sisi kidogo inaweza kuniingia akilini
 
Viongozi wasiokuwa na huruma hawatufai.
Mwl. Nyerere alishasema kwamba serikali corrupt huwa haikusanyi kodi bali huwa inakombilia kutoza ushuru na vikodi uchwara watu wa kipato Cha chini. Hzi ni dalili za hii serikali ya Samia kuelekea kwenye grand corruption scandles.
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
Hivi hii jamaa si ndo ilipendekeza tozo na leo imebadilishwa?
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
Huyu atastaafu kwa maumivu
 
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.

ITV
Hawa watu hawafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja, Watanzania wapole sana. Na huyu ndiye huwa mwanzilishi wa wazo kisha linatekelezwa
 
Mwl. Nyerere alishasema kwamba serikali corrupt huwa haikusanyi kodi bali huwa inakombilia kutoza ushuru na vikodi uchwara watu wa kipato Cha chini. Hzi ni dalili za hii serikali ya Samia kuelekea kwenye grand corruption scandles.
Maana ya serikali corrupt ni serikali kuwekwa mfukoni na matajiri wachache..
Waswahili wakiendesha serikali nini unatarajia kama si haya unayosikia, wao ni watoto wa mjini wengine wote ni watwana.
 
Back
Top Bottom