Bunju Complex ni mali ya Mo, si mali ya Simba SC

Bunju Complex ni mali ya Mo, si mali ya Simba SC

Hivyo munambembeleza ili hata akitaka kufanya amuzi lisilo ageuke nyuma na kukumbuka.

Mmeona mbali Mtani. [emoji28][emoji28]
Mnafungia vibwebwe kukosoa hatua za maendeleo ya wenzenu.
Badala mchukue hatua kwenda kusafisha kule mlikopewa na Mh. Makonda, mmekalia kuanzisha majungu.
Kweli hasidi hana sababu.

Wahamasisheni wananchi wachangie muanze kujenga na ninyi. [emoji196] [emoji196] [emoji196]
 
Chura wenzio ndio watakusapoti sababu wivu wa kike tu ndio unawasumbua
 
Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".

Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.

Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.
Hivi Yule mwenyekiti wa Yanga alisema Yanga kuna wapumbavu wengi eeh?
 
Mmiliki wa Simba
Ni wanachama wa Simba na ndio wenye hisa nyingi.

Na ukijue waswahili wakiamua walete kelele hisa zake mo ataziona chungu na kuzikimbia.

Boss hii ni Africa
Kibaya ni kwamba wanaoumia ni Yanga.
Mi mshabiki wa Simba Furaha ni kuona timu inafanya vizuri haijalishi nani anaimiliki Simba.
Wale Chelsea wanafurahia matokeo ya timu yao hawaangalii nani anamiliki timu, nenda pale man city hivyo vivyo.
 
Hakuna chochote wanachama wa simba wamewekeza kwenye simba , ulishawah kuona press release ya simba iliyotoka kwa hao wanachama? Au hata press release yeyote yenye maamuzi yeyote ikiwataja kama sehemu ya walio fanya maamuzi?

Press hua inatoka kwa body ya wakurugenzi inayoongozwa na Mo alafu pia kuna voting right/power.

Lakn pia, hisi ziliso salia zinauzwa kwa watu/mtu..kwa taarifa zilizopo.. Mo 49%, kuna mdau ana 10%, So 49+10=59, hisa ambazo bado ni hizo.

Na mchakato utakapo kamilika mwakan, watu wachache wanaweza nunua zilizo baki, wanachama wao watapewa 10%.

Huwez uka stake 0 alafu ukamfanyia maamuz aliweka bil 20, hakuna kitu kama hicho.
Kwani shida ikowapi mbona unateseka sana, hata MO akiimiliki simba % sisi tunataka ushindi
 
Mnafungia vibwebwe kukosoa hatua za maendeleo ya wenzenu.
Badala mchukue hatua kwenda kusafisha kule mlikopewa na Mh. Makonda, mmekalia kuanzisha majungu.
Kweli hasidi hana sababu.

Wahamasisheni wananchi wachangie muanze kujenga na ninyi. [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Wanasubiri kulipiwa nauli ya pantoni ...
 
Mnafungia vibwebwe kukosoa hatua za maendeleo ya wenzenu.
Badala mchukue hatua kwenda kusafisha kule mlikopewa na Mh. Makonda, mmekalia kuanzisha majungu.
Kweli hasidi hana sababu.

Wahamasisheni wananchi wachangie muanze kujenga na ninyi. [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Kwani unateseka Mkuu?
 
Mmiliki wa Simba
Ni wanachama wa Simba na ndio wenye hisa nyingi.

Na ukijue waswahili wakiamua walete kelele hisa zake mo ataziona chungu na kuzikimbia.

Boss hii ni Africa
Embu tupe thamani za hizo so called Hisa zenu nyingi Wanachama Mambumbumbu.
 
Kipi kinachonyonya simba?
simba Ina hela kiasi gani?
Kwani pesa nani katoa mzee, mashabiki huwa mnafurahisha sana. BTW hivi vilabu ni jamvi la wajanja, unaingia unatega mrija wako unanyonya ukishiba unatupa kule anakuja mwingine.
 
Young Akilimali Stadium kumalizika mapema mwezi wa 5 mwaka 2020
 
Uwanja huu unaosemekana ni mali ya Simba ila ukweli sio mali ya simba bali ni mali binafsi ya mfanyabiashara mwenye share kubwa ndani ya club ya Simba Mohamed Dewj "Mo".

Jina la uwanja huo ni Bunju Complex na hautakaa upewe jina linalishabihiana na Club ya Simba.

Pia doccument za umiliki wa eneo pamoja na viwanja vyote cha mchezo na cha mazoezi hazijasajiliwa na kwa jina la Club ya Simba.

Sawa shida yetu sisi ni ushindi tu hata akichukua kila kitu
 
Back
Top Bottom