Waswahili mkitoa mrejesho hasi mnajiona mnaa akili. Maisha mafupi wacha watu waenjoy radha za vyakula.Waswahili wakila burgers wanafikiri ndio maendeleo hawajui hizo ni junk foods!! Kuleni viazi vya kuchemsha na mboga za majani mtakuwa na afya; hayo maburger yanaleta maradhi!!
Ukiulizwa ni maradhi gani sidhan kama unaweza kuyataja!Waswahili wakila burgers wanafikiri ndio maendeleo hawajui hizo ni junk foods!! Kuleni viazi vya kuchemsha na mboga za majani mtakuwa na afya; hayo maburger yanaleta maradhi!!
Hahaha umekosea, Kearsley Tours haipo opposite na ptrol station, kwa siku hizo za 80, labda iwe imehamia sasa.
Kwanini nisiweze na mimi nimewaona watu walioathirika kwa kula hayo maburger; wanakuwa na uzito unaosababisha wapate KISUKATI na High blood pressure!! Wanaota vitambi [ obese].Ukiulizwa ni maradhi gani sidhan kama unaweza kuyataja!
Haya usipotee, ujumbe umekufikia kijana.Labda upotee wewe
Amen , tunashukuru sanaKweli Mkuu, Mungu Aendelee kukupa umri mrefu na wenye Afya pia maana tunajifunza baadhi ya vitu kutoka kwenu vya kujenga Akili zetu na kukuza ufahamu.
KaribuHaya usipotee, ujumbe umekufikia kijana.
Halikadhalika kwako, unaweza kuwa ni mwanamke uliyejificha kwenye kivuli cha mwanamme.KUna mtu alisha wahi muona huyu Faiza in person? kwa jinsi anavyo cht siamini kama ni mwanamke nahisi huyu ni dume kajificha kujifanya mwanamke .
Wewe 80 hujazaliwa bado, maandiko yako yanajionesha, usijipe ukubwa usionao.Hata sisi ilikuwa hivyo hivyo , tulipo kuwa tuna wasiki story bibi zetu wakipiga , tuna shangaa miaka yao wskiwa vijana na wewe Muombe Mungu akupe umri mrefu uje pig story kama hizi wajukuu wawe wana kushangaa..
What is not happening now?Mi ndo nlikua natengeneza hiyo mambo na ndo nilikua mtaalam wa kuchoma pizza enzi hizo E.A chef niko peke yangu nimesomea Auguste Escoffier school of culinary Texas USA
Hapana zote ni hamberger , burger ni kifupisho tuu na hamberger ina weza kuwa na chochote , inaweza ikawa na Chicken, Turkey ,beef na hata verggie ,ham kwa haraka haraka jina la Hamberger limekuja toka na jina la mji wa Hamberg in Germany, lakini inadaiwa ni originally from Russia ambapo Russian soldgers wali kuwa wana stop hapo kwenye port city of Hamberg ndio wakaja na hiyo naina ya kusaga nyama ,kwa maana nyigine Hamberger ni a Sandwich.Nafikiri hamburger na beefburger ni vitu viwili tofauti. Moja katkat Ina ham nyengine Ina beef (I stand to be corrected)
Nilikuwa siijui Steers nikaja ikuta Nairobi , sikupenda chakula chao , sababu nilikua napenda zaidi KFC na KFC nilipenda ya UK zaidi , hivyo nikawa sina jinsi zaidi ya kula Steers ,nilipo fika US nikakuta kuna tofauti kubwa sana kati ya KFC America na KFC nyingine duniani, sikupenda kabisa KFC America na nilikula mara moja tuu na siku rudi tena hapo ndio nika fell in love with Burger King nikawa addicted nao .Umenikumbusha miaka ya 2000 Steers walivyokuwa wamoto mitaa hyo, hapo kulikuwa na imalaseko super market, kitega uchumi jengo lililokuwa linatamba na ndio clouds walipokuwa. Bila kusahau mitaa ya ohio street kwenye huduma pendwa
Ni kweli fast food sio salama , kwanza mafuta yanayo pikiwa na cheap kwa ajili ya ku save pesa kwa mass production, hivyo ni yana cause Inflamation mwilini , pili hizo nyama hazitoki kwa grass fed annimals ( hii haiepukiki ukiwa Ulaya) hivyo si salama, ila Kibaya zaidi ni zile buns ni carbs halaf mara zote unachanganya na soda or Milkshake, hapo ni a lot of sugar una tumia hivyo kuja kupatwa na obesity ni rahisi sanaUkiulizwa ni maradhi gani sidhan kama unaweza kuyataja!
... absolutely! Na ndio maana kuna Baby Boomers, Gen. X, Gen Y, Gen. Z, and latest Gen. Alpha. Each of those generations wanaona na kutafsiri vitu kwa mtazamo tofauti kabisa. Inategemea uko kundi gani. Kuna kundi hapo usipolipa wali maharage huo ugomvi hauwezi kuisha wakati kundi lingine chakula hicho hicho lazima wakamwone daktari.I agree..well said. Utotoni nilipenda sana wali..ukipewa ugali usiku unaona unaonewa. Lakini siku hizi..wali naweza nipitishe wiki nisile na najiona so normal and so fine. Kadri siku zinavyoenda nakuwa interested na michemsho na vyakula vya mizizi kwa kiasi.
You have summed it up amazingly...........In summary; age has a significant impact on how human beings perceive things. Simple!
Unaanza sasa, haya nipigie whatsap nikuwekee my ID uone mwaka nilio zaliwa live add me 0764 700 300Wewe 80 hujazaliwa bado, maandiko yako yanajionesha, usijipe ukubwa usionao.
U wish hahahahaHalikadhalika kwako, unaweza kuwa ni mwanamke uliyejificha kwenye kivuli cha mwanamme.
Its the way you write, lady like.U wish hahahaha
Watanzania utawaweza, mtu hajuwi anacho kiandika lakini atalazimisha kuandika tu na kuboronga hata watangazaji redioni (hizi redio za kuokota) wako hivyo hivyo, yaani wako very pathetic.Rekebisha hapo ni hamburger or simply burger. Sio hamberger
Same as you then.Its the way you write, lady like.