TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes


 
Wewe unaelewa hata hoja yangu ni ipi?

Au unalalama tu bila hata kutaka kuelewa hoja yangu ni ipi?

Unaandika kwa kufuata mantiki ya kujibizana kwa kumsoma mtu na kumjibu hoja zake?

Au unajiandikia unachotaka wewe tu bila kujibu hoja unayoletewa?
Samahani mkuu nikutoe nje ya mada, hivi nani alikupa jina la kiranga?
 
Wewe unaelewa hata hoja yangu ni ipi?

Au unalalama tu bila hata kutaka kuelewa hoja yangu ni ipi?

Unaandika kwa kufuata mantiki ya kujibizana kwa kumsoma mtu na kumjibu hoja zake?

Au unajiandikia unachotaka wewe tu bila kujibu hoja unayoletewa?
Ndugu zangu,
Kwa kuwa historia ya kweli ya TANU ilifutwa nami nikaja kuiandika huwa naleta yale ambayo wengi hawayajui ili wasibaki ujingani.

Wala huwa siingii katika mjadala kutaka kubishana.
 
hapa kuna hoja mzee mohamed.
 
Huwa anafanya hivyo lakini kamwe hawezi kuuficha ukweli kuwa :-

JK Nyerere was :-

- A born-to be a LEADER

- A Talented LEADER

- An EDUCATOR

- ACADEMICIAN

- A TEACHER

- MWANAHARAKATI MZALENDO ZAIDI

- MKATOLIKI MZURI

Ndio alipokelewa na familia ya akina Mzee Sykes na Waswahili wengine, lakini hawakuwa na Elimu zaidi ya Ilmu Akhera, hawakujua kuzungumza kiingereza, hawakujua management yoyote.

Jiulize tu: kama walikuwa tayari wana uwezo wa Mali na akili kwanini hawakuanza kupigania Uhuru na kumpata Baba wa Taifa kabla ya Nyerere?

Nyerere alizaliwa kuwa kiongozi, alikuwa na kipawa cha uongozi.

Na kwa Bahati nzuri AFRICA na DUNIA inafahamu hivyo.

Wanaofahamu hii Habari ya Mohamed Said ni Wasoma madrasa wa magomeni na Kariakoo na wale wanaosikiliza Redio Imaan na Nur
 

There you are,and this is what we are talking about,

Lakin wewe ni wa wapi?inashangaza kutuambia kuwa huyu mzee ni mdini kisa amesimama kuelezea maslahi ya waislam,unadhan kwa kusema hivyo tutajiskia aibu au kuingiwa na ubarid?,usitake kuanzisha mada mpya,tutakesha hapa, wengine sisi mada kama hizi zikija had blood veins zinasisimka, that's our professional...

We love our religion to the extent ya wengine nyinyi kuchukia kias kwamba tunaposimama kuyasema yanayotuhusu mje mchukie na kutupa majina ya kejeli??,nin shida sasa,mna dini yenu na sisi tuna ya kwetu,kwann tukiipenda ya kwetu na kujivunia nyinyi mchukie,si mnayo ya kwenu??

This history will be repeated to be taught untill it's completely learned,chukien au kataeni,lakin ukweli ushawekwa waz,Tena long time ago,kwa sasa kinachofanyika ni kusherehesha tuh,

Alhamdulillah....
 
Wewe unaelewa hata hoja yangu ni ipi?

Au unalalama tu bila hata kutaka kuelewa hoja yangu ni ipi?

Unaandika kwa kufuata mantiki ya kujibizana kwa kumsoma mtu na kumjibu hoja zake?

Au unajiandikia unachotaka wewe tu bila kujibu hoja unayoletewa?
hoja yako haiwezi kueleweka kwasababu hata wewe mwenyewe hueleweki.
 
Innalillah wainailaih rajiuun.

Mfumo kristo ni hatari sana. Huyu mzee ht kutajwa tu
Ulitaka atajwe kuwa anatawadha mara 5 kwa siku?

Ni nani aliyewanyima waislam kumtaja na kumwandika popote pale

Jilalamikieni kwa kukosa Elimu ya kumuandika vitabuni sio Mfumo Kristo

Mlimwandika halafu mfumo Kristo ukawashtaki?

Ninyi ni wa kulialia tu na kulalamika miaka yote

Maamuma.
 
Ni kwamba waandishi wa habari wa sasahivi HAWAMFAHAMU wala usiwalaumu waandishi wa habari wa vyombo vya umma

Mbona ninyi Waislam hamjamweka kwenye Front page ya magazeti yenu?

Ona mlivyo WANAFIKI. mbona Redio Nuur na Imaan haijamwelezea mnalaumu nchi kuwa na ubaguzi

MAAMUMA
 
Wewe unaelewa hata hoja yangu ni ipi?

Au unalalama tu bila hata kutaka kuelewa hoja yangu ni ipi?

Unaandika kwa kufuata mantiki ya kujibizana kwa kumsoma mtu na kumjibu hoja zake?

Au unajiandikia unachotaka wewe tu bila kujibu hoja unayoletewa?

Your profile is low,

Mohamed Said hayupo hapa kujibu mashitaka yako au hoja zako ambazo hata hivyo hazina mantiki,

Hoja yako unasema kwamba Mohamed analalamika kuwa wazee wamefutwa kwenye history na kwann yeye anarudia kuwafuta si ndiyo??

Jibu lako ni kwamba,Kwanza Mohamed Said hajalamika,kama kuandika history ya wale wazee na kuweka kumbu kumbu ziwe sawa ni kulalamika basi hiyo ni kwa tafsir ya kwako wewe,hatuna Cha kukusaidia,

Pili,unasema kwamba why anazid kumtukuza nyerere kwenye maandiko yake wakati anawaelezea wazee wake,that's very ridiculous question, nyerere aliish na wale wazee,wale wazee walimpokea nyerere,walimpa hifadh nyerere,walimfadhil nyerere,walifanya mengi na nyerere,walimpenda nyerere siyo kwa kuwa wao ni waislam na nyerere ni mkristo,la hasha Bali kwa kuwa nyerere ni mtanzania,Ambae fikra zake na zao zilikuwa zinafanana,nazo ni kupigania uhuru wa Taifa hili,sasa wanawezaje kuandikwa separately??hata mohamed Said akimtaja nyerere Mara nyingi kuliko wao kunaondoa kitu gan kama na hao wazee wameelezwa pia??

Nin unataka Mohamed Said akujibu,wewe ni wa kuweka malumbano ya hoja na Mohamed Said,huna adabu,wewe ni wa kukaa chini Tena kwa unyenyekevu na kuomba kwa heshima akurudishe darasani
 
kingereza kingi lakini ulichoandika ni pointless
 
Haswaaa[emoji851][emoji851][emoji851]

Mzee anaumizwa sana na hili. Wakati Nyerere anajifunza a e i o u na ABCD.....Z na kuzungumza lugha ya malkia wao walikuwa wanageuza tu mikeka sakafuni na kukuna nazi

Ndio imeshakuwa sasa. Baba wa Taifa la Tanzania (sio Tanganyika) ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
 
Nilikuwa Dubai, nilipigiwa simu na BBC kutaka kunihoji hapohapo nilikuwa Tanga nikifuatilia katika TV......


Visa vya kutunga tunga vina shida zake
Huyu Mzee juzi alisema ana Degree ya Historia na ninaweza kumquote, Naomba unisaidie kumuuliza Mohamed Said hili swali:-

1) alisomea Chuo kipi hiyo degree?

2) Alimaliza mwaka gani?
 
Kumbe blog, nikajua una Website kabisa kwa miaka yote hiyo

Wanazuoni wa Masjidul na Madrassat mnashindwa kumfungulia Mzee Website bado anatumia Blog

Innallilah wa inna illah Rajiun
 

Usije na kejeli we mgalatia usie na akili, umeskia we nguchiro??

Ukijifanya una kejeli, wengine tuna kejeli zaid yako,

Unaposema wasoma madrasa wa magomeni huko sasa ni kutoka nje ya mada na kukashifu msingi wa iman yetu,

Madrasa ni sehemu takatifu kwetu sisi,usikejeli,that's a place ambapo Qur an hufundishwa,that's a place ambapo maarifa kuhusu Mtume wetu,kipenz chetu Muhammad Hufundishwa,that's a place ambapo civilization yetu sisi waislam Hufundishwa,sasa unapokuja na maneno yako ya kejeli hata kuchamba hujachamba zako asubuh kama hii inabid ujiangalie Sana,

Katika nada hii hakuna sehem hata moja sisi umeona tumeukashifu ukristo wenu we mla Haram,

We as muslims we have been taught to be intelligent,to be Smart,to obey the law,to respect everyone,but if comes someone stupidy like you put your dirty hand On our side we just send you to the cemetery,so mind your tongue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…