TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

naona anachokifanya bagamoyo ni kuleta balance ya ambacho umekuwa ukiongea humu siku zote

Kusema Martin alikuwa kibaraka ni kitu cha kutegemewa maana familia yake hadi yeye mwenyewe walifaidika na ukoloni kama elites wa mwanzoni wa Tanganyika hivyo, isingekuwa rahisi kuaminika kama angekuwa na nia thabiti ya kuupinga ukoloni. Kwangu naona ni kawaida kwa watu wa tabaka jingine kuwa insecured

Pia naamini wewe ni picha halisi ya waliokulea katika kukipigania kile unachokiamini hivyo, sitegemei kwa njia yoyote ile kama waliokutangulia kumuongelea Martin katika mlengo chanya kwa kiasi kikubwa

Nadhani ungetusaidia sana kama ungeweka wazi kwamba huyu Martin hakuwa na mchango wowote katika kuanzisha vuguvugu za ukombozi wa Tanganyika au la

Kumuita kibaraka yaweza kuwa out of context kwa kinachojadiliwa maana hata katika awamu iliyopita kuna madaktari, wanasiasa na wafanyabiashara waliitwa majina hayo kwa kusimamia wanachokiamini.

suala kuu ni mchango wake
Maso...
Ukoloni una mambo yake.
Wajerumani waliwaweka askari wao katika kambi.

Watoto wa askari hawa wote wakizaliwa katika hospitali na hapo wanaandikishwa na kupewa majina.
Mjerumani alikuwa anawapa watoto wale majina ya Kijerumani.

Lakini baba akifika nyumbani anatoa jina la Kiislam.
Watoto wanakuwa na majina mawili.

Kleist jina hili kapewa na Wajerumani na nyaraka zake zote zina jina hilo.
Sasa alipofikishwa nyumbani aliadhiniwa na kupewa jina la Abdallah.

Halikadhalika Schneider jina lake Abdillah.
Kaburi la Mzee Kleist jina la Abdallah liko pale.

Kaburi la Abbas Sykes limewekwa ''initial A,'' yaani Abdallah.

View attachment 1789637
LGF,
Nadhani umekusudia, ''belatedly.''
Nakuitikia, ''Minalfaizin.''

Kitabu changu unakikosea jina kila siku unapokitaja.

View attachment 1789746
Sheikh Mohamed Said: ukiambiwa MINALFAIZIN unajibuje? Nina kitabu kinaitwa Teach Yourself Arabic nilinunua duka la Foyles liko Tottenham Court Road lakini hakikunisaidia. Kuna cha Sheikh Muhsin nilinunua pale Hindu Mandal nacho pia hakikunisaidia. Can you help?

Back to your point, I know the actual name but it is such a mouthful!! It's like ulikuwa na harakaharaka, kwa lugha ya siku hizi fastafasta, ulitaka Msomaji apate message palepale, kitaalamu (academic publishing) huitwa fuzziness au wishywash. Iwapo ningepewa mie kufanya moderation ningekata title yabaki maneno mawili tu: ABDULWAHEED SYKES. He was a great man, kingeuzika tu.

I am of course not talking about the Kiswahili translation, hicho babangu ulikichakachua (sijui walikufunza nini IFM); ningekuwa mie ningekushitaki kwa copyright infringement.

Kazi iendelee, naona umekwaa kisiki cha mpingo sijui utajinasuaje. Hoja ya huyo Bob ni kujikweza kwako na eneo lako dogo kana kwamba uhuru wa Nji hii umeletwa na Manyema wa Tandamti. Ila, ole wake akirogwa aanze kukikosoa kitabu, hapo Nduguzo tupo tutakutetea.
 
Sheikh Mohamed Said: ukiambiwa MINALFAIZIN unajibuje? Nina kitabu kinaitwa Teach Yourself Arabic nilinunua duka la Foyles liko Tottenham Court Road lakini hakikunisaidia. Kuna cha Sheikh Muhsin nilinunua pale Hindu Mandal nacho pia hakikunisaidia. Can you help?

Back to your point, I know the actual name but it is such a mouthful!! It's like ulikuwa na harakaharaka, kwa lugha ya siku hizi fastafasta, ulitaka Msomaji apate message palepale, kitaalamu (academic publishing) huitwa fuzziness au wishywash. Iwapo ningepewa mie kufanya moderation ningekata title yabaki maneno mawili tu: ABDULWAHEED SYKES. He was a great man, kingeuzika tu.

I am of course not talking about the Kiswahili translation, hicho babangu ulikichakachua (sijui walikufunza nini IFM); ningekuwa mie ningekushitaki kwa copyright infringement.

Kazi iendelee, naona umekwaa kisiki cha mpingo sijui utajinasuaje. Hoja ya huyo Bob ni kujikweza kwako na eneo lako dogo kana kwamba uhuru wa Nji hii umeletwa na Manyema wa Tandamti. Ila, ole wake akirogwa aanze kukikosoa kitabu, hapo Nduguzo tupo tutakutetea.
LGF,
Ahsante ndugu yangu.
Hufurahi kukusikia.
 
Yamekwisha yapi?

Na kwa nini unafikiri umefikia kuwa na uwezo wa kuniudhi?

Kwa nini unageuza mjadala kutoka mambo ya hoja kwenda mambo ya hisia?
Kiranga,
Basi ndugu yangu.
Niwie radhi.
 
Mtoto wa upanga vs kariako hiyo
Tunawafatilia tu wote mko njema kutetea hoja

Ova
 
Mtoto wa upanga vs kariako hiyo
Tunawafatilia tu wote mko njema kutetea hoja

Ova
Mrangi,
Mimi sina cha kutetea wala siingii katika ugomvi.

Ninapoona mtu kahamaki hurudi nyuma.

Ndiyo unaona nimemtaka radhi ndugu yangu.

Nimeandika yamesomwa basi.

Umependa kuamini sawa hukupenda sawa kwangu.
 
Mtazidi kulalamika wazee wenu wanafunikwa katika historia ya Tanzania.

Huku nyie wenyewe mkichangia kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere.

It is absurd and indeed disrespectful to Abbas Sykes' legacy to write more about Nyerere than Abbas Sykes on an Abbas Sykes obituary.

Especially if the writer is notoriously known as being aggrieved due to the so called injustice done to his ilk (the Sykes and other Dar/ coastal patricians as well as prominent and seminal old timer do gooders) following some grotesque and deliberate omissions in history by Nyerere and his trapeze act troupe of mandarins, scribes and pharisees in the establishment's literati cabal of unmitigated shameless propaganda fueled by institutional obfuscation and opacity, allegedly especially levelled by the intelligentsia against Muslims.

You are making Nyerere as powerful as some supermassive black hole at the center of the Tanzanian galaxy, everything revolves around him. More than 21 years after his death, this Nyerere phenomenon seems to bend space and time.

Even Abbas Sykes' obituary, by an acclaimed proponent of redressing the shortcomings of orthodoxy history, starts with Nyerere's funeral, and does not progress an inch past this gargantuan Nyerere vortex that sucks everything around it.

Your collective lack of imagination is only surpassed by your weird penchant for self contradiction.

Your calcified sense of hero worship fills your mind's eye with a cognitive dissonance blindspot that leads you back to supporting namedropping Nyerere disproportionately on an Abbas Sykes obituary.

As if Abbas Sykes is some lightweight figure whose importance is not significant enough unless he is repeatedly projected as one of Nyerere's used and forgotten once upon a time buttressing lackey.

You are shooting yourself in the foot, right before a marathon, and then you blame this shooting on some intricate alien conspiracy against you.

Mtazidi kulalamika wazee wenu wanafunikwa katika historia ya Tanzania.

Huku nyie wenyewe mkichangia kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere.

It is absurd and indeed disrespectful to Abbas Sykes' legacy to write more about Nyerere than Abbas Sykes on an Abbas Sykes obituary.

Especially if the writer is notoriously known as being aggrieved due to the so called injustice done to his ilk (the Sykes and other Dar/ coastal patricians as well as prominent and seminal old timer do gooders) following some grotesque and deliberate omissions in history by Nyerere and his trapeze act troupe of mandarins, scribes and pharisees in the establishment's literati cabal of unmitigated shameless propaganda fueled by institutional obfuscation and opacity, allegedly especially levelled by the intelligentsia against Muslims.

You are making Nyerere as powerful as some supermassive black hole at the center of the Tanzanian galaxy, everything revolves around him. More than 21 years after his death, this Nyerere phenomenon seems to bend space and time.

Even Abbas Sykes' obituary, by an acclaimed proponent of redressing the shortcomings of orthodoxy history, starts with Nyerere's funeral, and does not progress an inch past this gargantuan Nyerere vortex that sucks everything around it.

Your collective lack of imagination is only surpassed by your weird penchant for self contradiction.

Your calcified sense of hero worship fills your mind's eye with a cognitive dissonance blindspot that leads you back to supporting namedropping Nyerere disproportionately on an Abbas Sykes obituary.

As if Abbas Sykes is some lightweight figure whose importance is not significant enough unless he is repeatedly projected as one of Nyerere's used and forgotten once upon a time buttressing lackey.

You are shooting yourself in the foot, right before a marathon, and then you blame this shooting on some intricate alien conspiracy against you.

Disrespect invites Disrespect,

You can dwell with it in whatever language Of your choice, but we are putting this in the shortest term known to us,...'You are an idiot',and you don't know that you are...

Infact Mohamed Said had HAPA amekuheshim Sana,lkn imekuwa ni mtu uliokosa kuelewa,mtu mwenye maneno ya reja reja na usiokuwa na hoja ya msingi,

Tulidhan kuwa ungekuja na hoja ya kupinga kuwa haya yaliyoandikwa kuhusu hawa wazee wote waliokawa hawajaandikwa kuwa ni uongo,uzush na usio na ushahid,sasa Cha AJabu wewe unatuambia kuwa tunalalamika kwa kuendelea kuishikiza history ya hawa wazee ubavun mwa nyerere,na kwamba tunazid kumpa coverage nyerere,sasa hiyo kweli ni hoja unayotakiwa kujibiwa?,who are you,who are you trying to tell Mohamed Said what to write,who are you trying to tell Mohamed Said what to edit,unatuandikia kiingereza kiingi ili ikibid eti tukuelewe kwa lugha hiyo unasema,Kwan sisi waingereza?,Ili tukuone labda ni intellectual and ofcourse you are but who the hell are you?., Astonishing...

Come and criticize kuwa hii history ni ya uongo kwa hoja ili hadhira ikuelewe,Ila kuja na kusema Mara ooh watu wanalalamika,ain't nobody is complaining, sijui why history ya Sykes nyerere anapewa coverage kubwa ni nonsense and stupidity,don't you be ridiculous,nyerere aliish na wale wazee,unawaseparate vip kwenye kuandika mapito yao??mnaumia si ndiyo?hampendi kuona au kuskia ni namna gan hawa wazee mliowafuta walivyokawa close na nyerere?you must be so so crazy not to Understand this...
 
Muddy,kubali makosa usonge mbele
Karanga,
Hivi mimi nikukanushe wewe kwa lipi.

Mimi nalalamika.
Nilalamike ili iwe nini?

Unajua kulalamika hadi uwe mlalamishi.

Mimi ni mwandishi si mlalamishi.

Wewe ndiye mlalamishi unataka niandike historia ya wazee wangu utakavyo wewe.

Ulosema katika yote na hakika umenisuuza ni hilo kuwa namwandika sana Nyerere.

Si kuwa namwandika tu hata kumzungumza namzungumza sana.

Nitafute You Tube.

Nimemweleza Nyerere toka siku ya kwanza mwaka 1952 kaletwa nyumbani kwa Abdul Sykes na Joseph Kasella Bantu hadi 1999 anafariki.

Nimemweleza Nyerere kuanzia 1955 wakati anaimbiwa nyimbo za lelemama na shangazi zangu akina Bi. Hawa bint Maftaha katika mikutano ya mwanzo ya TANU Mnazi Mmoja hadi hadi miaka ya mwisho ya maisha yake; jina lake likitajwa...

Subhanallah...

Nimemzungumza Nyerere na Abdul Sykes Zentrum Moderner Orient, Berlin...

Nimemzungumza Abdul Sykes na Nyerere Northwestern University Evanston, Chicago...

Nimemwandikia Nyerere taazia alipokufa...

Ingia hapo chini:
mohamedsaidsalum.blogspot.com.

Fanya "name search," utajua kuwa ushahidi wako wa namba hauna maana yeyote kwani umeelemewa na huo utaokutananao.

Unadhani mie niko hapa kufanya mzaha na wewe?
 
Anochoamini Mohamed ni kuwa bila familia ya Sykes na watu wa Kariakoo Tanganyika isingepata uhuru hataki kujua;

Michango ya viongozi kutoka majimbo mengine ya Tanganyika,

Hatuwezi kubeza akina Sykes lakini Nyerere alikuwa na talanta ya uongozi na maarifa laa sivyo wazee wake wangefanya wenyewe.
Kuhoji ndio kusikiliza na ndio nilichokimaanisha.

Hakuwa sehemu ya mapambano moja kwa moja zaidi ya wazazi wake waliomlea hivyo, yeye si mtu ambaye alikuwa anajua nini kinaendelea ili aamue kuchuja na kuchanganua ukweli wote kwa asilimia 100.

ndio maana simulizi zake zipo around familia ya sykes na ushawishi wa waislamu katika mapambano ya Uhuru

Kama ambavyo yeye husema siku zote
"anajua mapambano ya kichama yalipoanzia na waanzilishi wake"

brother bagamoyo kaibua jina jipya ambalo inaonekana kama ni moja ya waasisi wa hilo vuguvugu la kudai uhuru

Siamini kama kutakuwa na ubaya kama mzee Said atatoa kwa ufupi mchango wa huyo mtu na kama haujui au haukuwepo pia angeweza kusema..

kutoa neno "kibaraka" inamaanisha kuna kitu anajua na hicho ndo natala kujua..

kuna ubaya gani katika hilo
 
Disrespect invites Disrespect,

You can dwell with it in whatever language Of your choice, but we are putting this in the shortest term known to us,...'You are an idiot',and you don't know that you are...

Infact Mohamed Said had HAPA amekuheshim Sana,lkn imekuwa ni mtu uliokosa kuelewa,mtu mwenye maneno ya reja reja na usiokuwa na hoja ya msingi,

Tulidhan kuwa ungekuja na hoja ya kupinga kuwa haya yaliyoandikwa kuhusu hawa wazee wote waliokawa hawajaandikwa kuwa ni uongo,uzush na usio na ushahid,sasa Cha AJabu wewe unatuambia kuwa tunalalamika kwa kuendelea kuishikiza history ya hawa wazee ubavun mwa nyerere,na kwamba tunazid kumpa coverage nyerere,sasa hiyo kweli ni hoja unayotakiwa kujibiwa?,who are you,who are you trying to tell Mohamed Said what to write,who are you trying to tell Mohamed Said what to edit,unatuandikia kiingereza kiingi ili ikibid eti tukuelewe kwa lugha hiyo unasema,Kwan sisi waingereza?,Ili tukuone labda ni intellectual and ofcourse you are but who the hell are you?., Astonishing...

Come and criticize kuwa hii history ni ya uongo kwa hoja ili hadhira ikuelewe,Ila kuja na kusema Mara ooh watu wanalalamika,ain't nobody is complaining, sijui why history ya Sykes nyerere anapewa coverage kubwa ni nonsense and stupidity,don't you be ridiculous,nyerere aliish na wale wazee,unawaseparate vip kwenye kuandika mapito yao??mnaumia si ndiyo?hampendi kuona au kuskia ni namna gan hawa wazee mliowafuta walivyokawa close na nyerere?you must be so so crazy not to Understand this...
Hujajibu hoja umekuja na viroja.

Hoja ni kwamba hamjui mnataka nini.

Mnalalamika wazee wenu wamefunikwa katika historia, anasifiwa Nyerere tu, wakati wazee wenu ndio waliomkaribisha kigoda Nyerere mjini, wakamlisha na kumvisha mpaka akachukua nchi.

Halafu siku anafariki mzee wenu, mnamuandika Nyerere kuliko mzee wenu.

Yani hata kama mtu anakubali Nyerere aliwafunika wazee wenu kwa makusudi, nyie wenyewe mnaendelea kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere miaka 21 baada ya Nyerere kufariki.

Sasa hizi habari za tazia ya Abbas Sykes iliyoandikwa na Mohamed Said kuwa imejaa jina la Nyerere kuliko la Abbas Sykes miaka zaidi ya 21 baada ya Nyerere kufariki mtamlaumu Nyerere hapo?

Tazia hii imeandikwa na makuwadi wa Nyerere?

You are contradicting yourselves.
 
Nyerere alijaaliwa maarifa
Waku...
Historia ya TANU Nyerere alipopanda kwenye jukwaa na kuwaeleza Watanganyika kuwa tunadai nchi yetu hali ya siasa ilibadilika nchi nzima ila hakufanya haya peke yake.

Abdul Sykes alijenga idara madhubuti ya propaganda na uhamasishaji.

Ilikuwa siku kabla ya mkutano Mnazi Mmoja kinafanyika kikao nyumbani kwake Mtaa wa Stanley kupanga namna ya kuujaza uwanja.

Abdul ndiye aliyewaingiza akina mama TANU na nyimbo zao za lelemama.

Hali ilikuwa hivi kote mikoani kulikuwa na watu na mimi baadhi yao nilibahatika kuzungumzanao na nilichuma mengi - Yusuf Olotu, Mmaka Omari, Joseph Mhando, Bilali Waikela, Haruna Taratibu, Msham Awadh, Suleiman Masudi Mnonji, Salum Mpunga, Yusuf Chembera kwa kuwataja wachache.
 
Kijana,kejeli na matusi ya nini?just argue don't shout!Hoja kapewa Muddy povu utoe wewe.
Disrespect invites Disrespect,

You can dwell with it in whatever language Of your choice, but we are putting this in the shortest term known to us,...'You are an idiot',and you don't know that you are...

Infact Mohamed Said had HAPA amekuheshim Sana,lkn imekuwa ni mtu uliokosa kuelewa,mtu mwenye maneno ya reja reja na usiokuwa na hoja ya msingi,

Tulidhan kuwa ungekuja na hoja ya kupinga kuwa haya yaliyoandikwa kuhusu hawa wazee wote waliokawa hawajaandikwa kuwa ni uongo,uzush na usio na ushahid,sasa Cha AJabu wewe unatuambia kuwa tunalalamika kwa kuendelea kuishikiza history ya hawa wazee ubavun mwa nyerere,na kwamba tunazid kumpa coverage nyerere,sasa hiyo kweli ni hoja unayotakiwa kujibiwa?,who are you,who are you trying to tell Mohamed Said what to write,who are you trying to tell Mohamed Said what to edit,unatuandikia kiingereza kiingi ili ikibid eti tukuelewe kwa lugha hiyo unasema,Kwan sisi waingereza?,Ili tukuone labda ni intellectual and ofcourse you are but who the hell are you?., Astonishing...

Come and criticize kuwa hii history ni ya uongo kwa hoja ili hadhira ikuelewe,Ila kuja na kusema Mara ooh watu wanalalamika,ain't nobody is complaining, sijui why history ya Sykes nyerere anapewa coverage kubwa ni nonsense and stupidity,don't you be ridiculous,nyerere aliish na wale wazee,unawaseparate vip kwenye kuandika mapito yao??mnaumia si ndiyo?hampendi kuona au kuskia ni namna gan hawa wazee mliowafuta walivyokawa close na nyerere?you must be so so crazy not to Understand this...
 
Kwanini Sykes hakwenda yeye ili historia imtambue barabara?
Waku...
Unakusudia kwanini Abdul Sykes hakwenda yeye UNO.

Nitakueleza In Shaa Allah lakini nitaanza na hili la historia imtambue.

Abdul Sykes na ukoo mzima ulikuwa unatambulika sana.

Baba yao ndiye aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933.

Vyama muhimu katika kuja kuunda TANU 1954.

Ali Mwinyi Tambwe wakati ule ndiye alikuwa Katibu wa AA na Abdul Sykes TAA Act. President na Secretary.

Abdul Sykes, Hamza Mwapachu na Ali Mwinyi Tambwe ndiyo kamati iliyoamua kuwa Nyerere aingizwe kwenye uongozi wa AA 1953 na 1954 TANU iundwe na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Kuanzia mwaka wa 1952 juhudi zilianza kwa ushauri wa Earle Seaton kupeleka ujumbe UNO na michango kwa ajili ya safari hii ilianza kukusanywa na Kamati ya Saadan Abdu Kandoro, Japhet Kirilo na Abbas Sykes.

Hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka wa 1955 Nyerere akiwa Rais wa TANU akaenda UNO.
 
Hujajibu hoja umekuja na viroja.

Hoja ni kwamba hamjui mnataka nini.

Mnalalamika wazee wenu wamefunikwa katika historia, anasifiwa Nyerere tu, wakati wazee wenu ndio waliomkaribisha kigoda Nyerere mjini, wakamlisha na kumvisha mpaka akachukua nchi.

Halafu siku anafariki mzee wenu, mnamuandika Nyerere kuliko mzee wenu.

Yani hata kama mtu anakubali Nyerere aliwafunika wazee wenu kwa makusudi, nyie wenyewe mnaendelea kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere miaka 21 baada ya Nyerere kufariki.

Sasa hizi habari za tazia ya Abbas Sykes iliyoandikwa na Mohamed Said kuwa imejaa jina la Nyerere kuliko la Abbas Sykes miaka zaidi ya 21 baada ya Nyerere kufariki mtamlaumu Nyerere hapo?

Tazia hii imeandikwa na makuwadi wa Nyerere?

You are contradicting yourselves.
Mambo ya et al kwenye research paper , au adili na nduguze, wapi Steve bico kwenye jukwaa la Nelson Mandela hii haishangazi
 
Hujajibu hoja umekuja na viroja.

Hoja ni kwamba hamjui mnataka nini.

Mnalalamika wazee wenu wamefunikwa katika historia, anasifiwa Nyerere tu, wakati wazee wenu ndio waliomkaribisha kigoda Nyerere mjini, wakamlisha na kumvisha mpaka akachukua nchi.

Halafu siku anafariki mzee wenu, mnamuandika Nyerere kuliko mzee wenu.

Yani hata kama mtu anakubali Nyerere aliwafunika wazee wenu kwa makusudi, nyie wenyewe mnaendelea kuwafunika hao wazee wenu na kumpaisha Nyerere miaka 21 baada ya Nyerere kufariki.

Sasa hizi habari za tazia ya Abbas Sykes iliyoandikwa na Mohamed Said kuwa imejaa jina la Nyerere kuliko la Abbas Sykes miaka zaidi ya 21 baada ya Nyerere kufariki mtamlaumu Nyerere hapo?

Tazia hii imeandikwa na makuwadi wa Nyerere?

You are contradicting yourselves.
Ndugu zanguni nimeandika kitu kidogo:

"Hukaa mara nyingi sana nikajiuliza na si katika kujipigia tarumbeta bali ni katika kufikiri kuwa ingekuwaje kama Kleist Sykes asingeandika historia ya maisha yake kabla ya kufariki kwake mwaka wa 1949.

Mzee Kleist katika mswada wa kitabu alioacha kaeleza mambo mengi kuanzia jinsi baba yake na vijana wenzake wa Kizulu walivyochukuliwa na Hermann von Wissman kutoka kijiji cha Kwa Likunyi Mozambique hadi Pangani kama askari mamluki kuja kupigana na Abushiri bin Salim Al Harith na Mtwa Mkwawa.

Mzee Kleist akaeleza pia jinsi alivyokutana na Dr. Kweggiyr Aggrey mwaka wa 1924 na kumshawishi kuasisi African Association (AA).

Kutokana na mswada huu wa Mzee Kleist ndipo hii leo tukayajua majina yote ya waasisi wa AA.

Hii AA ndiyo ikawa TAA mwaka wa 1948 mwaka mmoja kabla ya kifo cha Kleist Sykes na mwaka wa 1954 ikageuzwa na kuwa TANU chama cha kupigania uhuru wa Tanganyika.

Katika kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954 watoto wote watatu wa Mzee Kleist walihusika, wawili, Abdulwahid na Ally wakiwa wajumbe wa mkutano wa uasisi wa chama na Abbas wakati ule akiwa kijana mdogo akiwa nje ya chumba cha mkutano akisubiri kutumwa kufanya hili na lile katika shughuli za mkutano ule.

Lakini hadi TAA kufika pale ilipofika kuasisi TANU kupigania uhuru wa Tanganyika, mchango wa Abdul na Ally Sykes haumithiliki.

Hauna kifani si tu kwa kuwa walikuwa wafadhili wakuu bali Abdul Sykes ndiye aliyempokea Julius Nyerere na kumweka katika uongozi wa TAA mwaka wa 1953 na mwaka unaofuatia TANU ikaundwa.

TANU imeundwa ndani ya jengo ambalo lilijengwa kila siku ya Jumapili kati ya mwaka wa 1929 hadi 1933 kwa wanachama kujitolea nguvu zao.

Mipango yote ya kuendea kuunda TANU ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Hii ndiyo nyumba Julius Nyerere alikuja kuishi mwaka wa 1955 baada kuacha kazi ya ualimu.

Abdul Sykes anaeleza anasema kuwa yeye alipokuwa mtoto baba yake alikuwa akimchukua kwenda pale New Street ulipokuwa unafanyika ujenzi ule na ameona kwa macho yake lile jengo likijengwa.

TANU ilipoundwa kadi 1000 za mwanzo zilinunuliwa na Ally Sykes na kadi no. 1 ya TANU Ally Sykes alimwandikia TANU Territorial President Julius Kambarage Nyerere no. 2 akajiandikia mwenyewe na no. 3 akamwandikia kaka yake Abdulwahid, kadi no. 4 Dossa Aziz, kadi no. 5 Denis Phombeah, kadi no. 6 Dome Okochi Budohi na kadi no. 7 akamwandikia mdogo wake Abbas na kuendelea na wengineo.

Nini ikimetokea hadi historia ya TANU ikawa imeandikwa na haya yote yakawa yamefutwa kiasi kuwa hadi hivi ninavyoandika TANU yenyewe chini ya uongozi wa Julius Nyerere hadi kufikia CCM chini ya Nyerere ikawa haitambui historia hii?

Abdul Sykes amefariki mwaka wa 1968 maziko yake yalihudhuriwa na umma wa watu wa Dar es Salaam si kwa sababu ya TANU bali kwa umaarufu wake binafsi.

Magazeti ya TANU The Nationalist na Uhuru hayakuandika taazia wala kueleza kuwa marehemu alikuwa na mchango mkubwa katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ally Sykes kafariki mwaka wa 2013 CCM haikushughulika kwa lolote kueleza mchango wake katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi ndiye niliyesimamishwa pale nyumbani kwake Mbezi Beach kumzungumza Ally Sykes na mchango wake katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hapakuwa na rambirambi kutoka CCM.

Maziko ya Abbas Sykes yamefuata mkondo ule ule wa kaka zake wawili.

Kazikwa na ndugu zake watu wa Dar es Salaam.

CCM haikuwakilishwa na yeyote ingawa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alihudhuria maziko na akawa amekaa pembeni na Balozi Abdul Faraj, rafiki ya Abbas Sykes toka utoto wao.

Inakuwaje CCM inaikataa historia yake yenyewe?

Hii nini maana yake?

Kipi kisichopendeza katika historia ya kina Sykes?

Ni kuwa baba yao kaasisi harakati au ni kwa kuwa Abdul Sykes kampokea Nyerere?

Kipi hasa kisichowapendeza?

Juu ya haya yote Rais Kikwete katika kusheherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika aliwatunuku Abdul na Ally Sykes, ''Medali ya Mwenge wa Uhuru,'' kwa mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika."
 
Muhammed Said, this is not about you!

Nimewahi kukueleza si mara moja, umesoma-soma, ndio, lakini hukuelimika.

Tanzia ya mwenzio unaianza na story kuhusu WEWE ulivyokaa Dubai Carlton Hotel.

Aya ya pili interview yako WEWE na BBC kuhusu maisha na kifo cha Nyerere

Aya ya tatu kitabu chako WEWE kuhusu historia ya TANU na maisha ya Gerezani na Kariakoo

That's bad form, unbecoming a gentleman commentator. Jikite kwenye ya marehemu na uhusiano wako na marehemu, sio mambo yako na vitabu vyako vya TANU na Kariakoo. Huo sio uungwana.
Unajua Ndugu, huyu Mzee ni Mtu wa kujikweza sana, Mdini na pia ni Mtu mwongo na nilishamuainishia uongo wake mara kadhaa hapa jamvini

Aliwahi kusema wakati wa Urais wa B.W Mkapa eti waislam waliokuwepo bungeni ni 2% tu. Mpaka pascal Mayala alipomuumbua

Sasa badala ya TANZIA anatuletea historia yake
 
Ndugu zanguni nimeandika kitu kidogo:

"Hukaa mara nyingi sana nikajiuliza na si katika kujipigia tarumbeta bali ni katika kufikiri kuwa ingekuwaje kama Kleist Sykes asingeandika historia ya maisha yake kabla ya kufariki kwake mwaka wa 1949.

Mzee Kleist katika mswada wa kitabu alioacha kaeleza mambo mengi kuanzia jinsi baba yake na vijana wenzake wa Kizulu walivyochukuliwa na Hermann von Wissman kutoka kijiji cha Kwa Likunyi Mozambique hadi Pangani kama askari mamluki kuja kupigana na Abushiri bin Salim Al Harith na Mtwa Mkwawa.

Mzee Kleist akaeleza pia jinsi alivyokutana na Dr. Kweggiyr Aggrey mwaka wa 1924 na kumshawishi kuasisi African Association (AA).

Kutokana na mswada huu wa Mzee Kleist ndipo hii leo tukayajua majina yote ya waasisi wa AA.

Hii AA ndiyo ikawa TAA mwaka wa 1948 mwaka mmoja kabla ya kifo cha Kleist Sykes na mwaka wa 1954 ikageuzwa na kuwa TANU chama cha kupigania uhuru wa Tanganyika.

Katika kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954 watoto wote watatu wa Mzee Kleist walihusika, wawili, Abdulwahid na Ally wakiwa wajumbe wa mkutano wa uasisi wa chama na Abbas wakati ule akiwa kijana mdogo akiwa nje ya chumba cha mkutano akisubiri kutumwa kufanya hili na lile katika shughuli za mkutano ule.

Lakini hadi TAA kufika pale ilipofika kuasisi TANU kupigania uhuru wa Tanganyika, mchango wa Abdul na Ally Sykes haumithiliki.

Hauna kifani si tu kwa kuwa walikuwa wafadhili wakuu bali Abdul Sykes ndiye aliyempokea Julius Nyerere na kumweka katika uongozi wa TAA mwaka wa 1953 na mwaka unaofuatia TANU ikaundwa.

TANU imeundwa ndani ya jengo ambalo lilijengwa kila siku ya Jumapili kati ya mwaka wa 1929 hadi 1933 kwa wanachama kujitolea nguvu zao.

Mipango yote ya kuendea kuunda TANU ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Hii ndiyo nyumba Julius Nyerere alikuja kuishi mwaka wa 1955 baada kuacha kazi ya ualimu.

Abdul Sykes anaeleza anasema kuwa yeye alipokuwa mtoto baba yake alikuwa akimchukua kwenda pale New Street ulipokuwa unafanyika ujenzi ule na ameona kwa macho yake lile jengo likijengwa.

TANU ilipoundwa kadi 1000 za mwanzo zilinunuliwa na Ally Sykes na kadi no. 1 ya TANU Ally Sykes alimwandikia TANU Territorial President Julius Kambarage Nyerere no. 2 akajiandikia mwenyewe na no. 3 akamwandikia kaka yake Abdulwahid, kadi no. 4 Dossa Aziz, kado no. 5 Denis Phombeah, kadi no. 6 Dome Okochi Budohi na kadi no. 7 akamwandikia mdogo wake Abbas na kuendelea na wengineo.

Nini ikimetokea hadi historia ya TANU ikawa imeandikwa na haya yote yakawa yamefutwa kiasi kuwa hadi hivi ninavyoandika TANU yenyewe chini ya uongozi wa Julius Nyerere hadi kufikia CCM chini ya Nyerere ikawa haitambui historia hii?

Abdul Sykes amefariki mwaka wa 1968 maziko yake yalihudhuriwa na umma wa watu wa Dar es Salaam si kwa sababu ya TANU bali kwa umaarufu wake binafsi.

Magazeti ya TANU The Nationalist na Uhuru hayakuandika taazia wala kueleza kuwa marehemu alikuwa na mchango mkubwa katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ally Sykes kafariki mwaka wa 2013 CCM haikushughulika kwa lolote kueleza mchango wake katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mimi ndiye niliyesimamishwa pale nyumbani kwake Mbezi Beach kumzungumza Ally Sykes na mchango wake katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hapakuwa na rambirambi kutoka CCM.

Maziko ya Abbas Sykes yamefuata mkondo ule ule wa kaka zake wawili.

Kazikwa na ndugu zake watu wa Dar es Salaam.

CCM haikuwakilishwa na yeyote ingawa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alihudhuria maziko na akawa amekaa pembeni na Balozi Abdul Faraj, rafiki ya Abbas Sykes toka utoto wao.

Inakuwaje CCM inaikataa historia yake yenyewe?

Hii nini maana yake?

Kipi kisichopendeza katika historia ya kina Sykes?

Ni kuwa baba yao kaasisi harakati au ni kwa kuwa Abdul Sykes kampokea Nyerere?

Kipi hasa kisichowapendeza?

Juu ya haya yote Rais Kikwete katika kusheherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika aliwatunuku Abdul na Ally Sykes, ''Medali ya Mwenge wa Uhuru,'' kwa mchango wao katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika."
Wewe unaelewa hata hoja yangu ni ipi?

Au unalalama tu bila hata kutaka kuelewa hoja yangu ni ipi?

Unaandika kwa kufuata mantiki ya kujibizana kwa kumsoma mtu na kumjibu hoja zake?

Au unajiandikia unachotaka wewe tu bila kujibu hoja unayoletewa?
 
Shukran zangu kwako Mudeer,

Endelea kutupa yasiyo julikana,wanaoendelea kukunja sura eti KWA kusema kwann history hii ni wazee wetu Ila anatajwa nyerere na wanataka majibu katika swali kama hilo ni wa kupuuzwa,hawajui wanataka kitu gan,sasa wewe utawajibu kitu gan?

Ilichukua takriban miez sita ndan ya jukwaa hili hili ukitupa maarifa ya juu ya masuala haya,hawa sijui walikuwa wapi??

Wanadhan wewe ni mtu wa mchezoo mchezoo,Allah kakujaalia haya,kwann ww uyafiche,kikaz hiki na kijacho kitafaham vipi haya?... Jazakallahu khair
 
Back
Top Bottom