Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!

Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!

Hivi inawezeka kwenye kile kinyang'anyiro Cha urais 2015, Mr January ndio alikuwa anahitajika, Kama sio kundi la edwad kupiga Kura ya hasira, Basi bwana huyu bado tunaye sana
 
View attachment 2620991View attachment 2620992
Wanabodi, leo katika viwanja vya Karimjee, Watanzania tunamuaga aliyekuwa Waziri wetu kwa kipindi chote cha miaka 10 ya utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwana Diplomasia nguli, Bernard Cammilus Membe, aliyefariki dunia ghafla, juzi Ijumaa asubuhi.

Nilivyomfahamu Membe.
Fani yetu ya uandishi wa habari, inatukutanisha sisi waandishi wa habari na watu mbalimbali, hivyo japo sikumbuki nilikutana vipi kwa mara ya kwanza na Benard Membe, ila nilikuja kupata nafasi ya kuzungumza nae kwa nafasi, wakati wa safari za UNGA, ambapo enzi za Mkapa, mimi ndio mwandishi wa kwanza wa vyombo vya habari binafsi kusafiri na ujumbe wa Tanzania, kwenda kuripoti Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, ndiko nilikokutana na JK kwa nafasi.

Hivyo baada ya JK kuingia Ikulu, niliendelea kuripoti UNGA na kukutana na Membe akiwa Waziri wa Mambo ya Nje.

Kufuatia Benjamin Mkapa kuwa Waziri wa Nje, wa Rais Mwinyi Mwinyi, kisha akaja kuwa rais wa JMT, kwa kumpokea Mwinyi, na Jakaya Kikwete akawa Waziri wa Nje wa Mkapa, akaja kumpokea Mkapa kwenye urais wa Tanzania, hivyo Benard Membe akiwa ndiye Waziri wa Nje wa Kikwete akitegemewa ndiye angempokea Kikwete ile 2015 ila haikuwa hivyo.

Ni kufuatia trends hiyo, Waziri Benard Membe akawa anaongea kwa confidence kubwa sana kwa mamlaka kama rais mtarajiwa.

Kuna wakati kupitia kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na ITV, alitutishia sisi waandishi wa habari kwa kutuambia tuombe asioteshwe kugombea urais mwaka 2015, ikitokea akaoteshwa, kuna maadui zake 11, itawabidi watafute pa kuhamia, kwa kuihama nchi, na akataja, miongoni mwa hao maadui zake 11, wamo waandishi wa habari wawili! Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!

Kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, na niliwahi kuwa very critical kumhusu Membe kwa kumuona kama mtu pompous tuu with nothing of substance, hivyo nilitofautiana nae kwenye mambo mbalimbali ikiwemo Serikali ya Tanzania yatoa tamko, yamlilia Gaddafi na issue hii
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
hivyo kuelekea mwaka 2015 ili nisije kuwemo kwenye ili list ya kuihama nchi, nikajitolea kumsaidia Membe.

Alikuwa mtu wa watu, very social and easy to talk to!
Kuna siku kwenye sherehe fulani ya Send Off ya mdogo wake mwandishi wa habari mwenzetu, Usia Nkhoma Lendama, nilikutana face to face na Benard Membe na nikashusha bandiko humu JF Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"

Economic Diplomacy
Ni kipindi cha Membe ndipo Tanzania ikabadili diplosia yetu kutoka vita baridi, kuwa ni diplomasia ya kiuchumi, economic diplomacy, nilipokutana na Membe, nikampondea, tunafuata vipi diplosia ya kiuchumi wakati kwenye Balozi zetu, bado tunajaza waambata wa kijeshi na wale 'jamaa zetu' wa 'kazi mbili mbili' badala ya kupeleka waambata wa kiuchumi?!. Membe alicheka tuu! Maendeleo ya kweli Tanzania yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!

2015 Ilikuwa Awe Membe, Ilikuwaje Hakuwa?
You can never be sure with politics, ndio maana kuelekea uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, kwanza nilianza na Membe ile 2013 Nitamuunga mkono Benard Membe 2015 kama akioteshwa kugombea urais wa Tanzania
ndipo 2014 nikaja kupenyeshewa hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli toka ile August 2014, but you can't be sure until it happens, hivyo kuelekea 2015 japo nili bank na Edward Lowassa, Benard Membe pia niliweka akiba nikijua pia anaweza kuwa ni Membe, nikamuandalia a video documentary nzuri kumfagilia njia ya 2015, na baada ya kuikamilisha nikawapelekea wadau muhimu wa kutoa mpunga wa maana kuidhamini irushwe ili Membe apae!, wadhamini wakagoma!, ndipo nikaanza kuusoma mchezo wa 2015 kuwa kumbe sio Membe!

Na kweli Membe akaja kutoswa. Japo Mkapa alishindana na Kikwete na Lowassa, baada ya ushindi aliwachukua, na Kikwete akashindana na Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, baada ya kushinda aliwachukua, ila Membe baada ya kutoswa, alitoswa jumla! Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!

Hivyo kuelekea 2020, Membe akaamua kutingisha kibiriti, kuna mwandishi mmoja wa habari kichaa akaamua kumchafua, Membe akaibuka na niguse ninuke, na kweli akakinukisha na kufukuzwa CCM.

Niliandika kitu kumhusu Membe nikamshauri japoameonewa lakini asifanye maamuzi ya hasira Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

Nilimpa ushauri kuwa asihame CCM kwa hasira, haikusaidia, alihama CCM na kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea wake wa urais. Niliendelea kumtetea Membe Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity kumhusu Membe, nilisema

Baada ya uchaguzi, alijirudi na kurejea nyumbani na akapokelewa, akamfungulia kesi yule mwandishi kichaa, akashinda na mwandishi anatakiwa kumlipa Membe mabilioni ambayo hana.

Mwandishi kichaa akawatumia baadhi ya maaskofu kumuombea msamaha kwa Membe, Membe akawagomea, sisi watu wa ushauri wa bure pia tukashauri. Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, hata kichaa anastahili msamaha Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo
Kwenye ushauri huo, kuna mistari Mikhail niliweka

Hatimaye kabla ya kulipwa mabilioni yake, ndio sasa Membe ameitwa mbele ya haki, na leo ndio tunamuaga ukumbi wa Karimjee.

Kitu cha kwanza ninachosema, kuna uwezekano Membe ndani ya moyo wake aliisha samehe zamani tuu, hivyo kama alisamehe, then wadeni wake wako salama, lakini kama hajasamehe amekufa na kinyongo, namshauri yule kichaa, mwandishi mwenzetu wa habari, atafute muda, kwa muda wake, aende kwenye kaburi la Membe, kumlilia na kumuomba msamaha hata kifoni ili amsamehe, asipofanya hivyo, Membe atafidiwa kupitia kitu kinachoitwa fidia za karma, na kiukweli gharama zake huwa ni kubwa kuliko kitu chochote!.

Benard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Rafiki Mwana Diplosia Nguli, Benard Camilus Membe, Buriani na Kwaheri ya Kuonana...

Paskali
Pasco ! Jaribu muda mwingine kuficha japo kidogo tuu uelewa wako finyu!
 
View attachment 2620991View attachment 2620992
Wanabodi, leo katika viwanja vya Karimjee, Watanzania tunamuaga aliyekuwa Waziri wetu kwa kipindi chote cha miaka 10 ya utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwana Diplomasia nguli, Bernard Cammilus Membe, aliyefariki dunia ghafla, juzi Ijumaa asubuhi.

Nilivyomfahamu Membe.
Fani yetu ya uandishi wa habari, inatukutanisha sisi waandishi wa habari na watu mbalimbali, hivyo japo sikumbuki nilikutana vipi kwa mara ya kwanza na Benard Membe, ila nilikuja kupata nafasi ya kuzungumza nae kwa nafasi, wakati wa safari za UNGA, ambapo enzi za Mkapa, mimi ndio mwandishi wa kwanza wa vyombo vya habari binafsi kusafiri na ujumbe wa Tanzania, kwenda kuripoti Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, ndiko nilikokutana na JK kwa nafasi.

Hivyo baada ya JK kuingia Ikulu, niliendelea kuripoti UNGA na kukutana na Membe akiwa Waziri wa Mambo ya Nje.

Kufuatia Benjamin Mkapa kuwa Waziri wa Nje, wa Rais Mwinyi Mwinyi, kisha akaja kuwa rais wa JMT, kwa kumpokea Mwinyi, na Jakaya Kikwete akawa Waziri wa Nje wa Mkapa, akaja kumpokea Mkapa kwenye urais wa Tanzania, hivyo Benard Membe akiwa ndiye Waziri wa Nje wa Kikwete akitegemewa ndiye angempokea Kikwete ile 2015 ila haikuwa hivyo.

Ni kufuatia trends hiyo, Waziri Benard Membe akawa anaongea kwa confidence kubwa sana kwa mamlaka kama rais mtarajiwa.

Kuna wakati kupitia kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na ITV, alitutishia sisi waandishi wa habari kwa kutuambia tuombe asioteshwe kugombea urais mwaka 2015, ikitokea akaoteshwa, kuna maadui zake 11, itawabidi watafute pa kuhamia, kwa kuihama nchi, na akataja, miongoni mwa hao maadui zake 11, wamo waandishi wa habari wawili! Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!

Kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, na niliwahi kuwa very critical kumhusu Membe kwa kumuona kama mtu pompous tuu with nothing of substance, hivyo nilitofautiana nae kwenye mambo mbalimbali ikiwemo Serikali ya Tanzania yatoa tamko, yamlilia Gaddafi na issue hii
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
hivyo kuelekea mwaka 2015 ili nisije kuwemo kwenye ili list ya kuihama nchi, nikajitolea kumsaidia Membe.

Alikuwa mtu wa watu, very social and easy to talk to!
Kuna siku kwenye sherehe fulani ya Send Off ya mdogo wake mwandishi wa habari mwenzetu, Usia Nkhoma Lendama, nilikutana face to face na Benard Membe na nikashusha bandiko humu JF Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"

Economic Diplomacy
Ni kipindi cha Membe ndipo Tanzania ikabadili diplosia yetu kutoka vita baridi, kuwa ni diplomasia ya kiuchumi, economic diplomacy, nilipokutana na Membe, nikampondea, tunafuata vipi diplosia ya kiuchumi wakati kwenye Balozi zetu, bado tunajaza waambata wa kijeshi na wale 'jamaa zetu' wa 'kazi mbili mbili' badala ya kupeleka waambata wa kiuchumi?!. Membe alicheka tuu! Maendeleo ya kweli Tanzania yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!

2015 Ilikuwa Awe Membe, Ilikuwaje Hakuwa?
You can never be sure with politics, ndio maana kuelekea uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, kwanza nilianza na Membe ile 2013 Nitamuunga mkono Benard Membe 2015 kama akioteshwa kugombea urais wa Tanzania
ndipo 2014 nikaja kupenyeshewa hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli toka ile August 2014, but you can't be sure until it happens, hivyo kuelekea 2015 japo nili bank na Edward Lowassa, Benard Membe pia niliweka akiba nikijua pia anaweza kuwa ni Membe, nikamuandalia a video documentary nzuri kumfagilia njia ya 2015, na baada ya kuikamilisha nikawapelekea wadau muhimu wa kutoa mpunga wa maana kuidhamini irushwe ili Membe apae!, wadhamini wakagoma!, ndipo nikaanza kuusoma mchezo wa 2015 kuwa kumbe sio Membe!

Na kweli Membe akaja kutoswa. Japo Mkapa alishindana na Kikwete na Lowassa, baada ya ushindi aliwachukua, na Kikwete akashindana na Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, baada ya kushinda aliwachukua, ila Membe baada ya kutoswa, alitoswa jumla! Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!

Hivyo kuelekea 2020, Membe akaamua kutingisha kibiriti, kuna mwandishi mmoja wa habari kichaa akaamua kumchafua, Membe akaibuka na niguse ninuke, na kweli akakinukisha na kufukuzwa CCM.

Niliandika kitu kumhusu Membe nikamshauri japoameonewa lakini asifanye maamuzi ya hasira Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

Nilimpa ushauri kuwa asihame CCM kwa hasira, haikusaidia, alihama CCM na kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea wake wa urais. Niliendelea kumtetea Membe Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity kumhusu Membe, nilisema

Baada ya uchaguzi, alijirudi na kurejea nyumbani na akapokelewa, akamfungulia kesi yule mwandishi kichaa, akashinda na mwandishi anatakiwa kumlipa Membe mabilioni ambayo hana.

Mwandishi kichaa akawatumia baadhi ya maaskofu kumuombea msamaha kwa Membe, Membe akawagomea, sisi watu wa ushauri wa bure pia tukashauri. Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, hata kichaa anastahili msamaha Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo
Kwenye ushauri huo, kuna mistari Mikhail niliweka

Hatimaye kabla ya kulipwa mabilioni yake, ndio sasa Membe ameitwa mbele ya haki, na leo ndio tunamuaga ukumbi wa Karimjee.

Kitu cha kwanza ninachosema, kuna uwezekano Membe ndani ya moyo wake aliisha samehe zamani tuu, hivyo kama alisamehe, then wadeni wake wako salama, lakini kama hajasamehe amekufa na kinyongo, namshauri yule kichaa, mwandishi mwenzetu wa habari, atafute muda, kwa muda wake, aende kwenye kaburi la Membe, kumlilia na kumuomba msamaha hata kifoni ili amsamehe, asipofanya hivyo, Membe atafidiwa kupitia kitu kinachoitwa fidia za karma, na kiukweli gharama zake huwa ni kubwa kuliko kitu chochote!.

Benard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Rafiki Mwana Diplosia Nguli, Benard Camilus Membe, Buriani na Kwaheri ya Kuonana...

Paskali
Mungu aiweke roho yake mahala panapostahili.
Mkuu Pascal, Membe ameshakata kauli hana tena uwezo wa kusamehe wala kuadhibu,kwa yeyote yule anaehitaji msamaha kutoka kwa Benard Membe (marehemu)amuombe Mwenye-ez-mungu badala yake.
 
View attachment 2620991View attachment 2620992
Wanabodi, leo katika viwanja vya Karimjee, Watanzania tunamuaga aliyekuwa Waziri wetu kwa kipindi chote cha miaka 10 ya utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwana Diplomasia nguli, Bernard Cammilus Membe, aliyefariki dunia ghafla, juzi Ijumaa asubuhi.

Nilivyomfahamu Membe.
Fani yetu ya uandishi wa habari, inatukutanisha sisi waandishi wa habari na watu mbalimbali, hivyo japo sikumbuki nilikutana vipi kwa mara ya kwanza na Benard Membe, ila nilikuja kupata nafasi ya kuzungumza nae kwa nafasi, wakati wa safari za UNGA, ambapo enzi za Mkapa, mimi ndio mwandishi wa kwanza wa vyombo vya habari binafsi kusafiri na ujumbe wa Tanzania, kwenda kuripoti Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, New York, ndiko nilikokutana na JK kwa nafasi.

Hivyo baada ya JK kuingia Ikulu, niliendelea kuripoti UNGA na kukutana na Membe akiwa Waziri wa Mambo ya Nje.

Kufuatia Benjamin Mkapa kuwa Waziri wa Nje, wa Rais Mwinyi Mwinyi, kisha akaja kuwa rais wa JMT, kwa kumpokea Mwinyi, na Jakaya Kikwete akawa Waziri wa Nje wa Mkapa, akaja kumpokea Mkapa kwenye urais wa Tanzania, hivyo Benard Membe akiwa ndiye Waziri wa Nje wa Kikwete akitegemewa ndiye angempokea Kikwete ile 2015 ila haikuwa hivyo.

Ni kufuatia trends hiyo, Waziri Benard Membe akawa anaongea kwa confidence kubwa sana kwa mamlaka kama rais mtarajiwa.

Kuna wakati kupitia kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na ITV, alitutishia sisi waandishi wa habari kwa kutuambia tuombe asioteshwe kugombea urais mwaka 2015, ikitokea akaoteshwa, kuna maadui zake 11, itawabidi watafute pa kuhamia, kwa kuihama nchi, na akataja, miongoni mwa hao maadui zake 11, wamo waandishi wa habari wawili! Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!

Kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, na niliwahi kuwa very critical kumhusu Membe kwa kumuona kama mtu pompous tuu with nothing of substance, hivyo nilitofautiana nae kwenye mambo mbalimbali ikiwemo Serikali ya Tanzania yatoa tamko, yamlilia Gaddafi na issue hii
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
hivyo kuelekea mwaka 2015 ili nisije kuwemo kwenye ili list ya kuihama nchi, nikajitolea kumsaidia Membe.

Alikuwa mtu wa watu, very social and easy to talk to!
Kuna siku kwenye sherehe fulani ya Send Off ya mdogo wake mwandishi wa habari mwenzetu, Usia Nkhoma Lendama, nilikutana face to face na Benard Membe na nikashusha bandiko humu JF Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"

Economic Diplomacy
Ni kipindi cha Membe ndipo Tanzania ikabadili diplosia yetu kutoka vita baridi, kuwa ni diplomasia ya kiuchumi, economic diplomacy, nilipokutana na Membe, nikampondea, tunafuata vipi diplosia ya kiuchumi wakati kwenye Balozi zetu, bado tunajaza waambata wa kijeshi na wale 'jamaa zetu' wa 'kazi mbili mbili' badala ya kupeleka waambata wa kiuchumi?!. Membe alicheka tuu! Maendeleo ya kweli Tanzania yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!

2015 Ilikuwa Awe Membe, Ilikuwaje Hakuwa?
You can never be sure with politics, ndio maana kuelekea uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015, kwanza nilianza na Membe ile 2013 Nitamuunga mkono Benard Membe 2015 kama akioteshwa kugombea urais wa Tanzania
ndipo 2014 nikaja kupenyeshewa hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli toka ile August 2014, but you can't be sure until it happens, hivyo kuelekea 2015 japo nili bank na Edward Lowassa, Benard Membe pia niliweka akiba nikijua pia anaweza kuwa ni Membe, nikamuandalia a video documentary nzuri kumfagilia njia ya 2015, na baada ya kuikamilisha nikawapelekea wadau muhimu wa kutoa mpunga wa maana kuidhamini irushwe ili Membe apae!, wadhamini wakagoma!, ndipo nikaanza kuusoma mchezo wa 2015 kuwa kumbe sio Membe!

Na kweli Membe akaja kutoswa. Japo Mkapa alishindana na Kikwete na Lowassa, baada ya ushindi aliwachukua, na Kikwete akashindana na Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, baada ya kushinda aliwachukua, ila Membe baada ya kutoswa, alitoswa jumla! Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!

Hivyo kuelekea 2020, Membe akaamua kutingisha kibiriti, kuna mwandishi mmoja wa habari kichaa akaamua kumchafua, Membe akaibuka na niguse ninuke, na kweli akakinukisha na kufukuzwa CCM.

Niliandika kitu kumhusu Membe nikamshauri japoameonewa lakini asifanye maamuzi ya hasira Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.

Nilimpa ushauri kuwa asihame CCM kwa hasira, haikusaidia, alihama CCM na kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea wake wa urais. Niliendelea kumtetea Membe Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity kumhusu Membe, nilisema

Baada ya uchaguzi, alijirudi na kurejea nyumbani na akapokelewa, akamfungulia kesi yule mwandishi kichaa, akashinda na mwandishi anatakiwa kumlipa Membe mabilioni ambayo hana.

Mwandishi kichaa akawatumia baadhi ya maaskofu kumuombea msamaha kwa Membe, Membe akawagomea, sisi watu wa ushauri wa bure pia tukashauri. Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, hata kichaa anastahili msamaha Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo
Kwenye ushauri huo, kuna mistari Mikhail niliweka

Hatimaye kabla ya kulipwa mabilioni yake, ndio sasa Membe ameitwa mbele ya haki, na leo ndio tunamuaga ukumbi wa Karimjee.

Kitu cha kwanza ninachosema, kuna uwezekano Membe ndani ya moyo wake aliisha samehe zamani tuu, hivyo kama alisamehe, then wadeni wake wako salama, lakini kama hajasamehe amekufa na kinyongo, namshauri yule kichaa, mwandishi mwenzetu wa habari, atafute muda, kwa muda wake, aende kwenye kaburi la Membe, kumlilia na kumuomba msamaha hata kifoni ili amsamehe, asipofanya hivyo, Membe atafidiwa kupitia kitu kinachoitwa fidia za karma, na kiukweli gharama zake huwa ni kubwa kuliko kitu chochote!.

Benard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Mwendo umeumaliza,
Imani umeitunza,

Sisi tulikupenda, lakini Bwana amekupenda zaidi,
Bwana alileta, Bwana ametwaa.
Jina lake Lihimidiwe

Rafiki Mwana Diplosia Nguli, Benard Camilus Membe, Buriani na Kwaheri ya Kuonana...

Paskali
Mkuu Paskali, mbona unapitwa na basic fact kuwa Balozi Asha Rose Migiro ndiye waziri wa kwanza wa mambo ya Nje wa JK 2007; na BKM alifaidika kurithi nafasi iliachwa wazi baada ya balozi Asha kuteuliwa na Ban Kim Moon kuwa N/Katibu Mkuu UN.
Pia nikukumbushe, Rais Benjamin W Mkapa alikuwa waziri wa Habari na Utengazaji na baadae waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Technology akiwa anachukua form ya kugombea Urais. Kipindi cha pili cha Mzee Ruksa 1990-95; waziri wa mambo ya nje alikuwa Mzenji (balozi Hasan Diria)

So far, kaka mkubwa uko vizuri sana kwenye uandishi wako na nikupe angalizo na kukumbuka small facts ku-decorate uandishi wako hapa na kwenye mainstream media!

Asante kaka mkubwa.
 
Pasco
(1.) usiseme alitegemewa kuwa rais sema alitarajiwa kuwa raisi.
(2) Usilazimishe mwandishi aombe msamaha yeye alisisitiza anauhakika na tuhuma alizotoaga!! Msisitize atimize agizo la mahakama.
(3) Usikazanie Membe alimsamehe Wewe hauko rohoni make na swala la karma sio Kwa membe tuu waliotusiwa na Huyo mwehu niwengi unaowajua na usiowajua.
(4) Mwandishi mwehu aliwasema vibaya watu wengi kumtaka amwombe msamaha marehemu pekee ni uzwazwa na kurukia mambo yawezekana wapo waliokasirika zaidi hawakuamini mahakama wako waliomshtaki Kwa Mungu na wengine Kwa wachawi!
(5) Membe anatajwa Kwa mazuri mengi ukifananisha na mabaya nahilo ndiyo muhimu sikuwa hakuwahi kukosea.
(6) umesoma SHERIA hukumu haikomi pale mshtaki anapokufa wapo next of kin wake so tuwe watulivu gtuone yanayofuata
RIP Membe
 
Back
Top Bottom