mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Duh basi hakuna mtu alyenyooka kama mmMrangi: wanasema nionyeshe rafiki zako, nizijue tabia zako. Nasema tu lakini.
Sema tu naonekanaga mpigaji fulani kumbe walaa.....
Sema mishe zangu nlikuwa nakutana na vimbwanga vingi
Ova