Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Jamaa alikuwa hakamatwi na polisi kirahisi kwa sababu alikuwa haendani na anayoyafanya.
Nina picha zake nikiweza nitaziweka.
Jamaa tena ni dogo tu.
Alimkimbiza baba yake na panga. Baba yake ikabidi ahame nyumba amuachie kambale .
Mwezi uliopita tu walitoka kumzika kaka yake kambale naye alikuwa jambazi
Duuh aisee!! Huyu alikuwa na laana hadi baba yake alimfukuza......
 
Kama anaye-deal na bodaboda anaitwa jambazi, na wale ambao kuna siku walituvamia benki wakiwa na AK47 pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono tuwaitaje?!

Huyo ni mwizi tu anayetumia silaha dhidi ya raia wasio na silaha... pumbavu zake!
Jambazi maana yake ni nini???
 
Mshana Jr je damu ya huyu jamaa haitawalilia?
Kingine je huyu akitubu anaweza akaona pepo(" hapa kwa kuquote kile kifungu cha wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho) ?
Aendaye mbinguni ni siri ya MUNGU, yeye ndiye anahukumu. Ila alisema, ukitubu dhambi, ukadhamilia kuziacha, unasamehewa. So kama jamaa alicheza kama pele hapo, unaweza kuta yupo mapumzikoni

Kama yule aliye sulubiwa pemben na YESU
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova

Mzee wa viwanja vya bui bui, karibia kwa mzee songambele, na yule walter..
 
Mind you, mtoa hoja amesema kuwa jamaa alishaua watu kadhaa katika huo "wizi" wake. Sina uhakika sana wa utenganishi kati ya mwizi na jambazi unaanzia wapi.... Ila mtu ambae anafanya matukio ya uuaji wakati anatimiza lengo lake la wizi, mimi ningemuita JAMBAZI. Chige
Jambazi maana yake ni nini???
Mngenisoma kwa vituo, mngegundua kwamba concern yangu sio kuua watu au kutumia silaha bali unafanya tukio wapi!!

Mtu anayewafungia kazi madereva wa bodaboda au raia wasio na silaha kwangu huyo ni mporaji mpumbavu tu... na ndio maana nikatoa mfano na mtu au watu wanaoenda benki huku wakijua kabisa kwamba hapo kuna askari wenye silaha na mafunzo ya kiaskari!

Hao madereva wa boda boda na wananchi wa kawaida hata wewe unaweza kuwafungia kazi tena ukiwa na kisu tu mkononi!!!
 
Huyu kambale amenikumbusha Jambazi moja sugu alikuwa anaitwa Ramadan ngonji!
Enzi za kova rpc alimpigaga wanted,
Ngoji alihukumiwa Miaka 8 jela ila alikaaga Ndani miezi 2 akatoka kimipango hku hukumu yke inaendelea..... Cha ajabu aliendelea kufanya uhalifu na wazee walikuwa Wanamtafuta
Ila Mimi nlikuwa na zali ya kukutana naye usiku mnene maana mm siku zote ni mtu wa nightmare
Ngonji alikuwa anatumiaga pikipiki kubwa 250
Kna siku nlikuwa narudi nko mtungi nakutana naye kwenye open space jirani na de mug hotel Kino...... Kalala juu ya pikipiki huku iko on inanguruma......akaniita Jina langu la mtaa(----) kuchek ngonji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndy mwanzilishi wa uwizi wa kutumia pikipiki..... Sema siku yke ilifika wazee walimuaa
Maana walimchokaga

Ova
Bora Ngonji walimuua angekuwepo na hili rumba watoto wengi wa Kino wangeshika silaha
 
Mngenisoma kwa vituo, mngegundua kwamba concern yangu sio kuua watu au kutumia silaha bali unafanya tukio wapi!!

Mtu anayewafungia kazi madereva wa bodaboda au raia wasio na silaha kwangu huyo ni mporaji mpumbavu tu... na ndio maana nikatoa mfano na mtu au watu wanaoenda benki huku wakijua kabisa kwamba hapo kuna askari wenye silaha na mafunzo ya kiaskari!

Hao madereva wa boda boda na wananchi wa kawaida hata wewe unaweza kuwafungia kazi tena ukiwa na kisu tu mkononi!!!
Soma hapo. Usitoe maana kulingana na uonavyo , toa maana kulingana na Uhalisia wa neno.
Screenshot_2019-11-09-23-37-36-57.jpeg
 
Soma hapo. Usitoe maana kulingana na uonavyo , toa maana kulingana na Uhalisia wa neno.View attachment 1259024
Una kazi ngumu sana ya kuelewa!! Nimeshakuambia concern yangu ni nini, wewe unahangaika ku-Google kutafuta tafsiri inayofahamika hata na mtoto wa darasa la pili!

Kwani hata Panya Road si walikuwa wanatembea na silaha wale... je walikuwa na ubavu wa kuingia walipo wanaume na vya moto vyao?!

Jambazi w ukweli anabeba silaha kwa sababu anajua kabisa anaingie eneo la wanaume wenye silaha! Na usually ataua only when necessary Lakini mjinga mjinga mmoja unawabebea silaha madereva wa Bodaboda... sasa si boya tu huyo!
 
Bora Ngonji walimuua angekuwepo na hili rumba watoto wengi wa Kino wangeshika silaha
Ngonji alihamaga mitaa hiyo muda ila mitaa hiyo ilikuwa a napendaga Kuja
Wazee wenyewe wanakuambia Ngonji alikuwa na sifa mbili (1)ana shaba hatari (2)alikuwa anajua kutumia pikipiki balaa

Ova
 
Back
Top Bottom