Sasa ndg yangu kaka yangu diwani mnyonge
Mbn ume shindwa kumshauri mpaka anajenga bwawani pale[emoji23][emoji23][emoji23] mvua zkija zinamtesa
Ova
Ila ule mtaa si ilikuwaje ukawa na mijambazi maana ukigeuka huku Mashaka humo ndani kwa kina Ngonji kwenyewe balaa zaidi ya mmoja ila askari wakikuchoka wanakugeuza chujio tuNgonji alihamaga mitaa hiyo muda ila mitaa hiyo ilikuwa a napendaga Kuja
Wazee wenyewe wanakuambia Ngonji alikuwa na sifa mbili (1)ana shaba hatari (2)alikuwa anajua kutumia pikipiki balaa
Ova
Songoro sijui nani alimdanganyaga kuna siku kitu kilikuwa usawa wa geti lakini wala hajali,ila diwani mtu poa sana kwa kweliSasa ndg yangu kaka yangu diwani mnyonge
Mbn ume shindwa kumshauri mpaka anajenga bwawani pale[emoji23][emoji23][emoji23] mvua zkija zinamtesa
Ova
Alikuwa mwanangu Miaka 100Songoro sijui nani alimdanganyaga kuna siku kitu kilikuwa usawa wa geti lakini wala hajali,ila diwani mtu poa sana kwa kweli
Ngonji naona Ile ilikuwa kwenye damu na familiaIla ule mtaa si ilikuwaje ukawa na mijambazi maana ukigeuka huku Mashaka humo ndani kwa kina Ngonji kwenyewe balaa zaidi ya mmoja ila askari wakikuchoka wanakugeuza chujio tu
Nakumbuka kuna siku alikuja mahali na kifuko kumbe ndani kimejaa pesa hakuna mtu alijua,wakati anaondoka ndo akazionyesha kama kawaida vijana wakaanza tamaa unajua aliwaambia nini "anayetaka kesho saa kumi tukutane ...... tuyapange" uzuri kipindi kile neema sidhani kama aliwapata ila vijana wamechoka sasa hivi nakuambia wote wangekuwa wahanga wa Ngonji kwa kweli polisi walitusaidia sanaNgonji naona Ile ilikuwa kwenye damu na familia
Ngonji alimuaga mshikaji mmoja alafu tulikuwa tuna jua tangu siku hyo ngonji sijawahi ongea naye wala msalimia,
Kuna dogo moja jimy jo ngonji aliwaingizaga kwenye kund lake..... Msala waliupata
Ile mitaa sijui ilikuwa je alafu watu wenyewe ukiwaona utasema walookoleeee
Ova
Mtu wa watu diwani ila kujenga pale ndo uzwazwa wake unapoonekanaAlikuwa mwanangu Miaka 100
Mpk Leo tuko poa licha hatujawasiliana kitambo
Mazab Zab yngu mengi alikuwa anayazima[emoji23][emoji23]
Ova
R.i.H rest in hellWale huandika RIP huwa hakuna neno lingine kama marehemu yuko upande wa pili?
Yule alikuwa nyokNakumbuka kuna siku alikuja mahali na kifuko kumbe ndani kimejaa pesa hakuna mtu alijua,wakati anaondoka ndo akazionyesha kama kawaida vijana wakaanza tamaa unajua aliwaambia nini "anayetaka kesho saa kumi tukutane ...... tuyapange" uzuri kipindi kile neema sidhani kama aliwapata ila vijana wamechoka sasa hivi nakuambia wote wangekuwa wahanga wa Ngonji kwa kweli polisi walitusaidia sana
Kuna mangi mmj alikuwa anamuachiaga kiroba kakifunga, anamwambia niweke mzgNakumbuka kuna siku alikuja mahali na kifuko kumbe ndani kimejaa pesa hakuna mtu alijua,wakati anaondoka ndo akazionyesha kama kawaida vijana wakaanza tamaa unajua aliwaambia nini "anayetaka kesho saa kumi tukutane ...... tuyapange" uzuri kipindi kile neema sidhani kama aliwapata ila vijana wamechoka sasa hivi nakuambia wote wangekuwa wahanga wa Ngonji kwa kweli polisi walitusaidia sana
Hahaa mzee big john unapapata?ndo ilikuwa night club yang kipind nipo ukongaNlikutana naye siku moja
Nlikuwa natoka big John alafu nlikuwa mitungi
Kuna jamaa akanionesha Ukisikia kambale ndy hyo
Ova
Oy Mashaka yule wa somewhere Gongo la Mboto??Ila ule mtaa si ilikuwaje ukawa na mijambazi maana ukigeuka huku Mashaka humo ndani kwa kina Ngonji kwenyewe balaa zaidi ya mmoja ila askari wakikuchoka wanakugeuza chujio tu
Pale bwana Nisha piga sana mtungiHahaa mzee big john unapapata?ndo ilikuwa night club yang kipind nipo ukonga
Sio huyo yeye alikuwa jambazi la silaha aliuliwa kitambo kidogo kwenye tukio,ukimuona humdhanii aisee aliumizwaga mguu tukajua kaacha kumbe ndo kwaaaanza wanambeba wanaenda nae kwenye tukio.Hajawahi kuwa na mtoto inasemekana walimhasiaOy Mashaka yule wa somewhere Gongo la Mboto??
Hivi yupo wapi siku izi??
Ilikua 2016...tulimkamata maeneo ya Mnazi mmoja ...tulimpa kipigo cha mbwa mwizi.....piga sana karibu tuue...tukampeleka Central...ndugu zake wakaja kumtolea fidia ya 1m tukamuachia....
Mtoto wake wa kike alikua analia kama mtoto.....
Hajafaga kweli yule?
Hana tofauti na CCM inayopola haki za watanzaniaDuh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.
Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.
Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
Hana tofauti na CCM inayopola haki za watanzaniaMarehemu alikua mtu mzuri sana
Marehemu alikua hapendi ugomvi na mtu
Tutamkumbuka marehemu kwa jinsi alivyojitoa kwa jamii
Hakika tumeondokewa na kijana tulie muhitaji sana
Eeeh baba tusaidie maana tunapitia kpindi kigumu
Siku ya mazishi yatasikika hayo maneno
Hahaa. Pale java au?Pale bwana Nisha piga sana mtungi
Ila nlikujaga pashindwa
Alafu kun chimbo moja Hivi kona ya kuelekea banana Kuna sehemu liuwanjaaaa kna vibar kama 100 pale ukiwa tungi ukitoka ukirudi unaweza sahau kituo chako aisee ulichokuwa
Ova
Pana night club but ni ndogo sana,ukizunguka kwa nyuma kama car wash,kuna kipindi madem walikuwa wanakuja hapo kudanga ,yaan ukitaka kucheza nae lazima ulipie mzeeBig Johhns pana club pale au ki pub tu cha kawaida
Pale tuliporudi mjni tuliwashuliikia kdgMPWA MRANGI
NAONA NA PALE DARAJANJ KUMETULIA AMA MLIWAPIGA AK47 MPWA