Sasa ndg yangu kaka yangu diwani mnyonge
Mbn ume shindwa kumshauri mpaka anajenga bwawani pale[emoji23][emoji23][emoji23] mvua zkija zinamtesa
Ova
Ila ule mtaa si ilikuwaje ukawa na mijambazi maana ukigeuka huku Mashaka humo ndani kwa kina Ngonji kwenyewe balaa zaidi ya mmoja ila askari wakikuchoka wanakugeuza chujio tuNgonji alihamaga mitaa hiyo muda ila mitaa hiyo ilikuwa a napendaga Kuja
Wazee wenyewe wanakuambia Ngonji alikuwa na sifa mbili (1)ana shaba hatari (2)alikuwa anajua kutumia pikipiki balaa
Ova