Buriani: Malika wa Mwisho wa Tanganyika, Elizabeth wa Pili wa Uingereza, amefariki dunia

Buriani: Malika wa Mwisho wa Tanganyika, Elizabeth wa Pili wa Uingereza, amefariki dunia

Kiranga

Platinum Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
78,790
Reaction score
128,275
Malika Elizabeti wa Pili

220908114827-01-queen-elizabeth-2015.jpg


Elizabeth Regina

830862-1537871872.jpg


Elizabeth Regina with Julius Kambarage Nyerere of Tanzania. Royal Tour of Tanzania, 1979.





Malika wa Mwisho wa Tanganyika, Elizabeti wa Pili wa Uingereza, amefariki dunia leo Septemba 8 2022 huko Kasri la Balmoral, Uskochi, Uingereza.

Malika Elizabeti amefariki akiwa mtawala aliyetawala Uingereza kwa muda mrefu kuliko watawala wote.
Amekuwa mtawala wa Uingereza kwa zaidi ya miaka 70, kuanzia mwaka 1952. Akiwaandika mawaziri Wakuu 15 Uingereza.

Ni mkuu wa nchi pekee aliyekuwa amesalia aliyewahi kupigana vita vikuu vya pili vya dunia.

Uingereza inafanya siku kumi za maombolezi za kitaifa.

Mwanamfalme Chale anakuwa Mfalme Chale wa Tatu.

Elizabeti wa Pili alikuwa Malika wa kwanza na wa mwisho wa Tanganyika kati ya mwaka 1961 na 1962 kabla Tanganyika haijawa Jamhuri.

Tunamshukuru kwa mema yote aliyofanya na mifano izuri aliyotuachia.

Kwa makosa yake yote tupate kujifunza.
 
King Charles the Third, Kiswahili anaitwa Chale wa Tatu.
Siwezi kubishana na wewe kwa Sababu unaonekana Hilo vazi la u much know huwezi kuvua pi naomba nikupe ushauri mtu mzima akivuliwa nguo huchutuma na kukusaidia hilo jina CHARLES kuandika CHALE ulikosea ila kwa Sababu hutaki kuabika unashupalia ujuaji.
 
Back
Top Bottom