google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Jina la mtu halina Lugha chale ni kitu kingine kabisa sio Charles hata siku moja, kiranga ni kiranga akiwa china au huko kwenu mwanalumangoKing Charles the Third, Kiswahili anaitwa Chale wa Tatu.
Manerumango...mwanalumango
Hakuwa na sababu ya kupiganaAlifanya bendera ya Tanganyika isiwe na doa jekundu. Alimpa JKN ndege ya Rais, Royol class Landrovers kila wakati. Nk nk nk
Chars ukiwa na hela kapuku utaitwa chaleSiwezi kubishana na wewe kwa Sababu unaonekana Hilo vazi la u much know huwezi kuvua pi naomba nikupe ushauri mtu mzima akivuliwa nguo huchutuma na kukusaidia hilo jina CHARLES kuandika CHALE ulikosea ila kwa Sababu hutaki kuabika unashupalia ujuaji.
Apumzike kwa AMANIMalika Elizabeti wa Pili
Elizabeth Regina
Elizabeth Regina with Julius Kambarage Nyerere of Tanzania. Royal Tour of Tanzania, 1979.
Malika wa Mwisho wa Tanganyika, Elizabeti wa Pili wa Uingereza, amefariki dunia leo Septemba 8 2022 huko Kasri la Balmoral, Uskochi, Uingereza.
Malika Elizabeti amefariki akiwa mtawala aliyetawala Uingereza kwa muda mrefu kuliko watawala wote.
Amekuwa mtawala wa Uingereza kwa zaidi ya miaka 70, kuanzia mwaka 1952. Akiwaandika mawaziri Wakuu 15 Uingereza.
Ni mkuu wa nchi pekee aliyekuwa amesalia aliyewahi kupigana vita vikuu vya pili vya dunia.
Uingereza inafanya siku kumi za maombolezi za kitaifa.
Mwanamfalme Chale anakuwa Mfalme Chale wa Tatu.
Elizabeti wa Pili alikuwa Malika wa kwanza na wa mwisho wa Tanganyika kati ya mwaka 1961 na 1962 kabla Tanganyika haijawa Jamhuri.
Tunamshukuru kwa mema yote aliyofanya na mifano izuri aliyotuachia.
Kwa makosa yake yote tupate kujifunza.
Mkuu.Siwezi kubishana na wewe kwa Sababu unaonekana Hilo vazi la u much know huwezi kuvua pi naomba nikupe ushauri mtu mzima akivuliwa nguo huchutuma na kukusaidia hilo jina CHARLES kuandika CHALE ulikosea ila kwa Sababu hutaki kuabika unashupalia ujuaji.
Kwetu wote tumeanza makapuku. Hata hao watoto wa machifu. Na Nyerere mwenyewe kwaweka wote sawa, tuwe na nchi ya watu sawa.Chars ukiwa na hela kapuku utaitwa chale
Njoo mtaani kwetu Charles wote ni chale
[emoji38][emoji38][emoji38]Tunaomba mfano wa mema yake aliyotufanyia Tanganyika.
"Tanganyika imejivika koti la muungano."Bahati mbaya Tanganyika ilikwishakufa
Nimejaribu kuhesabu ni mara ngapi umetumia hili neno. Hivi inawezekana kuna 'key' kwenye 'keyboard' inayosababisha hili, au ni 'software' inayotumika?Elizabeti wa Pili alikuwa Malika
Moja ni hii:Tunaomba mfano wa mema yake aliyotufanyia Tanganyika.
Wakati Mfalme Hirohito wa Japan aliyetambuliwa kama Mungu-Mtu na watu wake wa Japan alivyohutubia taifa lake kuwaelewesha kwamba wameshindwa vita viikuu vya Pili Vya Dunia alipolihutubia taifa hilo, kulielewesha kwamba taifa hilo limepigwa kivita na kuliambia taifa lake kwamba amekubali kushindwa vita, watu wengi wa Japan walimsikiliza, lakini wachache sana walimuelewa.Nimejaribu kuhesabu ni mara ngapi umetumia hili neno. Hivi inawezekana kuna 'key' kwenye 'keyboard' inayosababisha hili, au ni 'software' inayotumika?
On the other hand, kuna watu wamenufaika na uwepo wa Commonwealth iliyoshiriki katika kuwezesha kupata wataalam katika nyanja mbalimbali toka nchi zinazoendelea.
Hili litakumbukwa daima kwa shukrani nyingi.