Buriani: Malika wa Mwisho wa Tanganyika, Elizabeth wa Pili wa Uingereza, amefariki dunia

@Kiranga umenifurahisha kwa huo usimulizi.
Kongole.
 
GrimmeyMagombe yuko wapi siku hizi? Mtoto wa mjini huyo!!
 
Moja ya sababu nikwamba alitumia Kijapan cha awali sana, cha daraja la juu sana, Wajapani wa kawaida wa muda huo hawakumuelewa.
Kwa hiyo ujumbe uliotarajiwa haukuwasilishwa! Na lengo la hotuba yake hiyo halikutimia kama hotuba yake haikueleweka.

Aliona aibu /soni kusema watu wamuelewe, kwamba wameshindwa vita? Mbona matokeo yalikuwa ni yaleyale, na hakuna kilichobadilika!

Najuwa pale Upanga kuna mtaa wa "Malik", hata mie si mgeni sana pale mahala.
 
Kwa hiyo ujumbe uliotarajiwa haukuwasilishwa! Na lengo la hotuba yake hiyo halikutimia kama hotuba yake haikueleweka.

Aliona aibu /soni kusema watu wamuelewe, kwamba wameshindwa vita? Mbona matokeo yalikuwa ni yaleyale, na hakuna kilichobadilika!
Labda alitaka kufundisha watu Kijapani cha asili.
 
Siwezi kubishana na wewe kwa Sababu unaonekana Hilo vazi la u much know huwezi kuvua pi naomba nikupe ushauri mtu mzima akivuliwa nguo huchutuma na kukusaidia hilo jina CHARLES kuandika CHALE ulikosea ila kwa Sababu hutaki kuabika unashupalia ujuaji.
Ni kama Mohamed na Mud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…