TANZIA Buriani mwalimu Florence Michael Mavunde

TANZIA Buriani mwalimu Florence Michael Mavunde

Mbona watu wa humu siyo waelewa? Hakuwa informer na Wala hakuwa na issue hizo.Alifanya kazi maalum kwa muktadha wa kazi ya ualimu.Mna nini lakini?
Huo msamiati kwa wasiohusika haueleweki!
Mgesindikizia habari hii ngumu na picha,walao walioshiriki kazi maalum kwa nyakati tofauti wamfahamu.
 
sizungumzii jite na mkuranga.

nazungumzia kazi maalum/unande mbona walimtelekeza mpaka kodi ikawa kizungumkuti?
Hakuwahi kuwa unande.I was with him since year one at the Hill and we spent some years together as friends
 
Back
Top Bottom