Buriani Mzee Ruksa: Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!

Kaka Paskali kwa heshima na taadhima swala Mwembe chai halihusiani na Mwinyi lilitokea 1998 kipindi cha Mkapa, watu wameumizwa pale kwa dhulma si sawa kusema hivi kwa kebehi.
 
Lakini watu walikuwa wanaishi peaceful !
Tena very happy !!
Au nasema uongo ndugu zanguni wahenga wenzangu ???!!!

Vijana wengi wamekaririshwa !!
Lakini ukweli utabaki palepale !
Leo kila kitu kipo lakini hawana peace of mind completely 😅😅😅🙏🙏 !
Maisha ni Rangilangire !
Enzi zile tulienjoy sana 😅🙏🙏
 
Nakumbuka mzee alitoka ulaya alikuja na gari ilibidi gari tuliokuwa nalo tuliuze kwanza, Tumevaa kunfu shoes, chacha cha ugali wa yanga, kupanga foleni duka la ushirika na wauza sigara barabarani eti wana kamatwa eti wahujumu uchumi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…