Buriani Rafiki Yangu Waziri ''Maestro" Ally

Buriani Rafiki Yangu Waziri ''Maestro" Ally

Pole sana
Nafurahi tu kusoma makala zako , maisha yako yana kumbukumbu nyingi sana za picha , hakika ulikuwa makini sana kwa kila kitu ulichokuwa ukifanya enzi zako,
T...
Baba alinipa camera ya Kodak nikiwa na miaka 12 na kuanzia hapo nikapena sana kupiga picha.
Kwana nikipenda kujipiga mimi mwenyewe siku hii napenda kuwapiga wengine.

Sisi tulizaliwa katika kipindi muhimu sana cha historia ya Tanganyika hasa sisi ambao tuliozaliwa au kukulia Dar es Salaam.

Nimeshuhudia mengi sana udogoni.
 
Pole sana Mzee; nimefarijika jinsi unavyoeleza details za namna unavyomfahamu Waziri na urafiki wenu wa muda mrefu. Pole kwa kupoteza rafiki mliodumu na hongera kwa uandishi uliotukuka.
Masupio,
Nishapoa.
Ahsante sana ndugu yangu.
 
T...
Baba alinipa camera ya Kodak nikiwa na miaka 12 na kuanzia hapo nikapena sana kupiga picha.
Kwana nikipenda kujipiga mimi mwenyewe siku hii napenda kuwapiga wengine.

Sisi tulizaliwa katika kipindi muhimu sana cha historia ya Tanganyika hasa sisi ambao tuliozaliwa au kukulia Dar es Salaam.

Nimeshuhudia mengi sana udogoni.
Hakika baba alikufanyia jambo jema kabisa kukuoatia kamera
Niseme tu ulikuwa na hobby pia .kutunza kumbukumbu za picha si kitu kidogo.
Mwezi juni nilipatwa na msiba wa mjoba wa mke wangu huko Tanga vijijini, katika mkusanyiko ule akatokea mzee mmoja akiwa na picha pamoja na marehemu , miaka 43 iliyopita ,wakiwa vijana baro baro kabisa , full of energy na matumaini Kibao. sehemu ilikuwa ni hiyo hiyo tuliyokusanyika ila muda ndo ulikuwa na tofauti ya miaka 43 , hakika picha ni kumbukumbu nzuri sana
 
Tek...
Thanks for the generous, very generous compliment.
Indeed there are many, many regrets but you cant turn back the clock.

It was fun while it lasted.
My kids would sneak into my photos and ask me, ''Dad is this really you!''

''Why?''
''Dad you were cool!''
Mkuu kusema kweli wewe ni muhandishi mzuri sana kwenye mambo ya zamani na uzuri wake habari zako zote mara nyingi unaweka picha.

Inaonekana una mambo mengi ambayo kwa njia moja au nyingine sisi vijana wa siku hizi tunaweza kujifunza.

Nakushauri kila wiki utuletee historia/jambo lolote lile linaweza kutusaidia. Mimi binafsi namjua Waziri kupitia Kilimanjaro band na naamini kwamba kwa ukaribu wako na yeye ungeweza kufanya interview nzuri ya maisha yake kabla ya kufariki kuliko mtu yoyote.

Kama kuna watu maarufu wengine uko nao karibu ni vizuri kuanzisha makala ya kila mwezi kama sio wiki tupate kujua walipoanzia sio mpaka wanapo fariki.
Na usichoke kuweka taarifa hapa kutokana na changa moto unazopata kwamba wewe ni mdini. Hapana wote tumekulia maisha tofauti, kama umekulia maisha ya uislamu basi tunategemea utuletee habari/historia zinazoendana na malezi yako. Na wengine nao wataleta habari/historia zao kuendana na malezi Yao.

Nakutakia kila la kheri, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na tuendelee kujifunza kutoka kwako.
 
Nimejifunza kitu.picha ni ushahidi mzuri sana bila picha humu jf ungeonekana story za kutunga
 
Nimejifunza kitu.picha ni ushahidi mzuri sana bila picha humu jf ungeonekana story za kutunga
Mdukuzi,
Kuna mambo hata mimi yananishangaza sana.

Inakuwaje leo nikiangalia nyuma kuweza kujuana na watu wengi kiasi hiki?

Nashukuru.
 
Mkuu kusema kweli wewe ni muhandishi mzuri sana kwenye mambo ya zamani na uzuri wake habari zako zote mara nyingi unaweka picha.

Inaonekana una mambo mengi ambayo kwa njia moja au nyingine sisi vijana wa siku hizi tunaweza kujifunza.

Nakushauri kila wiki utuletee historia/jambo lolote lile linaweza kutusaidia. Mimi binafsi namjua Waziri kupitia Kilimanjaro band na naamini kwamba kwa ukaribu wako na yeye ungeweza kufanya interview nzuri ya maisha yake kabla ya kufariki kuliko mtu yoyote.

Kama kuna watu maarufu wengine uko nao karibu ni vizuri kuanzisha makala ya kila mwezi kama sio wiki tupate kujua walipoanzia sio mpaka wanapo fariki.
Na usichoke kuweka taarifa hapa kutokana na changa moto unazopata kwamba wewe ni mdini. Hapana wote tumekulia maisha tofauti, kama umekulia maisha ya uislamu basi tunategemea utuletee habari/historia zinazoendana na malezi yako. Na wengine nao wataleta habari/historia zao kuendana na malezi Yao.

Nakutakia kila la kheri, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na tuendelee kujifunza kutoka kwako.
Ox...
Ahsante sana.
Unaweza kupata mengi hapa:

mohamedsaidsalum.blogspot.com
mohamedsaidsalum.com
 
Mdukuzi,
Kuna mambo hata mimi yananishangaza sana.

Inakuwaje leo nikiangalia nyuma kuweza kujuana na watu wengi kiasi hiki?

Nashukuru.
Niliwahi kusoma kitabu kinaitwa how to win people bila shaka unafua yale yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu bila kujua
 
Shukraani mno mtoa mada hii,yaani nchi hii kila kitu kinaharibika na kupotea,mziki wa dansi wenye ladha ya kitanzania umekufa,hii uozo wa sasa hauna tofauti na muziki wa magheto kule Harlem,pls mtoa hoja elezea kwa faida ya hii new generations ni jinsi gani Maestro huyu aliyetutoka alipojiunga na bendi ya Juwata na Rehani Bitchuka amemsifia kipaji chake.
 
Back
Top Bottom