Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

Mtetee, na hizo hela kuziweka ktk account binafsi je, inamaanisha nini?

Hahah mbona unanichekesha!! Kwaiyo nani kaziweka!! Na kwanini!!yani ilo ni swali la kuniuliza mimi!! Mnachezewa akili na nyinyi mnajaa tuu kwa chuki binafsi.

*kuhusu izo pesa na upotevu wa mali yapaswa mumulize raisi aliyepo madarakani ndo atumbie zilikwenda wapi sababu aliyekufa ni mtu na sio office, wahusika wote wapo sa kwanini wajifanye hawajui kitu then dhambi wamtupie hayati je angekuepo wangehoji!?, au wangesifia kila kitu[emoji16]. #usiaminisiasa
 
Pengine hajapelekewa malalamiko, unafikiri huwa anaota usiku kuwa kuna malalamiko?
 
Kwa ufupi, Mengi, E. Massawe, Mbuguni na Nyaulawa walikua National Auditing kwa wakat mmoja na inasemekana utajiri wao waliutoa huko haswa kipindi cha maandalizi ya zoezi la ubinafsishaji.
Hata kama walikwapua mahela ya Taifa ni Bora sababu kwa kiasi kikunwa sana walizirudisha kwa jamii.. Mengi na Hawa kina Nyaulawa wamewezesha vijana wengi, walemavu na wamama.. marakumi Yao kuliko hao wanaokwapua hela na kuzipeleka huko ughaibuni kuzificha.,. Yani hao ni malaika Mungu aliwatuma wake wakomboe taifa

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Bado Mtu anasimama kusema Magufuli alikuwa nyenyenye!!
 
Magufuli uendelee kulaanika wewe binafsi watoto wako na mama Janeth hawana hatia ila wewe magufuli KWA uliyoyafanya duniani ulaaniwe milele.
Yaani kati ya mambo yaliyomchafua Magufuli ni pamoja na hiyo yak force yake! Alidhulumu sana watu, inakuwaje unachukua hela za watu unaweka kwenye akaunti binafsi? Hovyo kabisa! Ila nilisikiasikia eti hiyo mitambo ya BTL ilikuwa ya CCM walikodisha hao wamiliki wakawa wamejimilikisha jumla na hawakuwahi kuilipia ndiyo kisa cha kukamatwa!
 
Watu kama mzee Rashid Mbuguni ni hazina ya Taifa, hata kama kafariki ila mchango wake utaendelea kuishi. Kagusa maisha ya watu ambao hata hawamjui na ukute hawatokaa kumjua wala kujua jina lake, a true definition of a Legend
 
Mwendawazimu Jiwe na genge lake walipora na kutumia mitambo ya kampuni yake ya uchapaji
bure kuchapa magazeti yaliyojaa propaganda tu
zile toilet paper za kuchambia za yule taahira Musiba yaani Fahari yetu na Tanzanite zilikua project bubu za jiwe kujipa maujiko!

R.I.P Mbuguni

Root in hell jiwe!
 
Ungemuuliza tu, kwani kusafiri mara kwa mara ni kosa?
 
Una argue kwa "unaweza kuta".

That is uharo. Pure uharo.

Not even solid shit.
 
Huna tofauti na wale wafuasi wa Pastor Mackenzie. Sasa hadi umefunga biashara yako na unaona ni sawa tu una tofauti gani na walioambiwa washinde njaa hadi mauti? Wewe hata haki zako huzipendi.
 
Kimsingi huyo mzee alikuwa Don, kweli Jiwe alikuwa mwehu kabisaaaa, yaani watu wenye akili alikua hataki kabisa kuwasikia na kuwaona, Majira ni moja ya Brand za gazeti ambazo hazitafutika kamwe kwenye tasnia ya Habari, Business Times pia lilikua gazeti mwanana sana kabla hata ya wakina The Guardian na hawa wa agakhan wanaojimwambafai sasahivi. Mwishoni walijaribu pia kuanzisha gazeti la kila siku la Daily Times ikiwa ni mtoto wa business times lakini hawakutoboa, majira likahangaikaaaaa nalo halikutoboa, maisha haya ni magumu sana , media hizo ziliweza kuwapika ma giant wengi sana kwenye tasnia , hata Kipanya masudi alianzia majira na katuni zake, kuna wakongwe kina Karl Lymo, kuna kina Mngazija, kina Maugo etc wote ni product za Business times. Itoshe kusema Bongo Bahati mbaya ndiomaana wengine tukaamua kuwa wabeba boksi tu potelea mbali. R.I.P Mzee Mbuguni.
 
KWA hiyo KWA akili yako unahisi hao waliotaifisha hizo Mali NI Malaika?na pesa wakaagiza zilipwe KWENYE acc binafsi,serikali haikuwa na acc za kuweka pesa za wahujumu uchumi?ikulu NI Mahala patakatifu hatupaswi kupeleka pale MTU tunaemtilia shaka.tuwe Makini sn KWENYE chaguzi zetu
 
Personal nimefanya kazi kwa karibu na Rashid wakat nipo kitengo cha sheria ACB na yeye akiwa director anaewakilisha minority shareholders. Alikua ni mtu mwema sana na alikua ana proffers rastafarian believes japo hakua na rasta
 
He hivi walikua wanajielewa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…