Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

Nilikwambia mzee wako unajua kwanini nyumba zake ziliuzwa umebaki kubwabwaja jibu hilo kwanza.
Bado hujui kuandika sentensi iliyonyooka ya Kiswahili.

Mzee wangu ana nyumba Oysterbay, Mbezi Beach anazo nyumba mbili, nyingine Kigamboni na nyingine Mwanza.

Hajawahi kuuza nyumba yake hata moja, anaongeza nyumba tu.

Nimekwambia wewe hujui kusoma kwa ufahamu.
 
Lile Shetani bora lilikufa; sijui yule hayawani na mkia wake aliwezaje kuvaa sura ya binadamu hata akapenya na kuwa Kiongozi wa Nchi.

Natumaini bado anaungulia makali ya moto kule kuzimu, yule ilitakiwa ahukumiwe asisubirishwe Kiama.
 
Sasa wewe mbona unatumia ID fake au ndo Msomi dizaini ya Propesa Kabudi🤗
 
kwanini upore watu mali zao kienyeji sana badala ya angalau kuwafikisha kisutu na kupiga zile simu za maelekezo alizosema Rostam walau ionekane haki imetendeka
 
kwanini hakutumia njia za kisheria kukamilisha hiyo mipango ?
 
Story ya upande mmoja hii, hata kama Magu alikua konyo ila lazima kuna sababu eidha za kipuuzi au za maana kufanya hivyo.
Hakuna lolote, Shetani Magufuli alifanya vile kwa kusudi la kudhibiti Uhuru wa Habari hakuna kingine; Shetani yule alikuwa mwoga kukosolewa. Ningekuwa na jina baya zaidi ya Shetani ningemwita pumbavu yule
 
Bado unatapatapa
 
He hivi walikua wanajielewa?!
Yaani wao walikua wanamvamia kila mtu sasa wapo wanaokufahamu hawawezi kusema kitu wakiamini wale wametoka daslm kwa hiyo ilikua pia sio salama kwa kazi zao yule dogo nilikua namkubuka nilipopita baadae nikaja kuuliza nikaamniwa alitolewa pale KIA alikua kavu sana..
 
Huna tofauti na wale wafuasi wa Pastor Mackenzie. Sasa hadi umefunga biashara yako na unaona ni sawa tu una tofauti gani na walioambiwa washinde njaa hadi mauti? Wewe hata haki zako huzipendi.

Hata hao machinga saivi wamefunga biashara zao sema kwakua haikuhusu huwezi kuona pain walopitia pia baada ya kupata hope ya muda mfupi, inshot nilifunga biashara nikaanza kuuzia vyombo machinga kwa jumla na nilipata pesa japo sio sana ila maisha yalisonga na nilifix hasara, sina ushabiki na hua napenda kutambua ukweli ilikua wao pia wapate kwa wakati ule huwezi kuforce maisha yawe upande wako tuu kilasiku!! na maisha hayana formla kila wakati na namna yake hupaswi kua solid zaidi unapaswa kua smart tu inatosha
, kuanguka au kuangushw kupo tuu ni swala la kua frex na maisha.

Kwaiyo maisha yako yote utaishi kumtukana mfu kisa kakufirisi!!! Pesa bado ipo kama unamaarifa utaipata tuu bilatabu ila kama ulikua mwizi au ulibahatisha na ukashidwa kujiongeza kweli itakupa shida.
 
Bado unatapatapa
Wewe bado hujui kusoma, umechanganya madesa.

A wise man once told me, don't argue with fools.

Cause people from a distance, can't tell who is who.

I am sending you straight to my ignore list.

I haven't sent someone there in a few weeks now.

From here I will no longer see your posts.
 
Frex = flexible, kakufirisi = kakufilisi. Wewe unaongea uharo mtupu. Mtu aliyekufilisi ukimtukana ni umemsamehe sana. Unaona kufilisiwa ni jambo dogo? Wewe ni mpumbavu wa mwisho.
 
Mzee Mbuguni apumzike kwa amani,Mojawapo ya watu wenye upendo na watenda haki.Mimi binafsi amewahi kuyagusa maisha yangu kwa namna ya pekee.Pole kwa Imma na Agha.
 
Magufuli alikuwa mnyama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…