Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

kukubali kwamba we unaujinga fulani ni hatua nzuri kuelekea kwenye ufahamu. Ukifanya hivyo angalau utakuwa umetumia akili yako vizuri.
 
Huyo mama mtansingizia kila kitu, watoto wa singo mother" ndivyo mlivyo.

Mama mwema hakimbii lawama, huzitatuwa ajuwavyo kama mama.

Hata "kama" alisema hivyo, Ma Shaa Allah huo ndiyo Uislam.
Huu mlima mrefu kuupanda Shekhe wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…