Buriani

Ngoja nijichagulie wimbo kabisa, kama ikitokea nimewatoka mnipigie wimbo wa kamanda wa daz nundaz na parapanda.
Wosia uheshimowe.
... unazikwa na manispaa ndugu tena wakiwa ndani ya full combat! Hao ndio watakupigia nyimbo? Hata majeneza sidhani ni wote wanazikwa ndani ya majeneza kwa wale wanaozikwa kwenye majeneza! Hata sanda hawavalishwi Mkuu.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]wewe lazima mjeshi .!...yaan ninanenepa coz sina heka heka dah kifo kama nakiona kilee[emoji6][emoji6]!nyama mbuzi zipo? Maana mie napenda mbuzi jaman
[emoji2] [emoji3] , hizo zipo za kutosha huku ondoa hofu kabisa.

Kuna rafiki yangu alikuwa mnene lakini nimeonana nae juzi kapungua bile byahatari namuuliza alikuwa gerezani au kaumwa anasema eti mawazo ya corona....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... unazikwa na manispaa ndugu tena wakiwa ndani ya full combat! Hao ndio watakupigia nyimbo? Hata majeneza sidhani ni wote wanazikwa ndani ya majeneza kwa wale wanaozikwa kwenye majeneza! Hata sanda hawavalishwi Mkuu.
Daah, kama ni hivyo ngoja nianze kuzisikiliza sasa hivi angalau nifaidi kidogo.
 
jamaa walituonya mkawaita 'mabeberu' na sasa yanatokea ingawa bado 'tunaficha uchi' wetu, time will tell....
 

Hhahahhaa....mie nimejikuta nimerudi kwenye comfort zone...nakula tu sina wala hata presha! Sipend hii hali kbs yaan! Niko relaxd sana...sina heka heka...uwiii...!Mungu atuondolee huyu mdudu jamani turudi kwenye maisha yetu
 


MKuu hili lipo wazi,
Kwasasa TZ sote ni marehamu watarajiwa.
Tuombeane tu!
 
Yeah, Kariakoo sio sehemu ya kujiachia. Ukifika pale hakikisha una njia zote za kujikinga na maambukizi.
 
Hata Mimi nampa hongera saana sababu nimefanikiwa kuacha vyote hivyo isipokua Papuchi pekee nimeshindwa.
 
Epukeni kushika karasi wanaoshika karasi sana wako hatarini wanasheria na waofisa ni kupokezana karatasi pesa pia japo mnazipenda kwa level ya maambukizi ilivyo pesa usishike
Mkuu kwa mujibu wa bank kuu ya Tanzania,pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza kirusi cha corona,note yetu ni quality sana kirusi kikitua tu kinakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…