Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Unataka kusema mzee wa push ups nae ana afya mgogoro?Afya mgogoro wote waingie lockup period
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema mzee wa push ups nae ana afya mgogoro?Afya mgogoro wote waingie lockup period
Unachukulia kwamba Sisi ni miongoni kwa watu 10, watakao ruhusiwa kukupeleka nyumba ya milele? Au tupigie wapi huo wimbo wako?Ngoja nijichagulie wimbo kabisa, kama ikitokea nimewatoka mnipigie wimbo wa kamanda wa daz nundaz na parapanda.
Wosia uheshimowe.
gademit, utakufwazii kwa roho mbaya piga kazi uje kula maisha huku down town, ,gademit this case is closedMbona li Lemutuz linadunda tu mtaani?
Inategemea wembamba huo unatokana na nini.wembamba wanakufa pia
Hapo kwenye papuchi kweli una roho ngumuMungu atunusuru, wengine tuligomaga kufa Hadi tuwe matrilionea, tukaacha pombe, tukaacha kula nyama nyekundu, tukaacha papuchi gongaring, tukaacha vyote ili turefushe maisha. Sasa dude vurugavunja limeingia
Unajichulia eeh mbona mzee Chinga yupo anadundaRip wangar[emoji24][emoji24][emoji24]!!
Wallah ukipita Kariakoo hutaamini kinachoandikwa humu, is this a different world? Watu wanaishi na hawana hata wasiwasi, Meko katoa statement ambazo zimefanya watu kuwa reluctant sana. Vijana wanapiga stories huku wakichekeana at <1m apart(wanatemeana mate mdomoni[emoji2307]). Is it not dangerous? Kama ni kufwa, hakika kutakuwa na mass deaths!
Hii kitu, ukiwa mzee, afya yenye mgogoro au mnene, uwezo wa kupona ni mdogo sana. Ukishapata ARDS tuu, ndo imetoka, organ zote muhimu zinakosa oxygen, yanabaki masaa tuu.
Na asichokijua tu ni kwamba huenda hapo baadae Watu ambao watakuja Kufa ( Kutokomea ) na Janga hili la COVID-19 wakawa ni Wapiga Kura wake ( ambao wengi Wao ni Wavivu wa Kufikiri ) wanaoamini maneno yake, hivyo huenda Kundi kubwa litakalobakia ( bila Kufa ) kwa CORONA likawa ni lile lisilomtaka ( lenye Werevu wengi ) na likaja Kumuangusha katika Masanduku ya Kuruka Oktoba 2020 na asiamini pia atakachokiona.
Uongo uliotukukaMkuu kwa mujibu wa bank kuu ya Tanzania,pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza kirusi cha corona,note yetu ni quality sana kirusi kikitua tu kinakufa
Bado kuna mambo mengi ya kujifunza kuhusu ugonjwa huu, hayo niliyoyasema ni kutokana na takwimu zilizokusanywa mpaka wiki jana.Boss huku tulipo inaua hata wasiokuwa na changamoto za afya mgogoro. Mfano tu kuna mtoto wa miaka 13 kafa na hakuwahi na tatizo lolote la afya.
Wanasayansi wanasema inategemea pia na sijui genetics/dna (sijui hasa kipi ni kipi) inaweza kuwa na madhara.
Kwa ufupi no one is safe, hivyo wewe unayedhani una afya njema jilinde ili kulinda wenzako wenye afya "mgogoro" na pia wewe mwenyewe kutokana na kwamba huijui afya yako kwa 100%.
Utafiri kajibu lemutuz nyenyenye lemutuz mobimbagademit, utakufwazii kwa roho mbaya piga kazi uje kula maisha huku down town, ,gademit this case is closed
Sifi mimi kwa corona..uzembe gan huo!!Unajichulia eeh mbona mzee Chinga yupo anadunda