Buriani

Buriani

Duh...!.
P

Mkuu Paskali wa JF, ndipo tulipofikia - zama za buriani na kutakiana "moyo wa subira, uvumilivu na ustahimilivu" -:

1.jpg
 
Ngoja nijichagulie wimbo kabisa, kama ikitokea nimewatoka mnipigie wimbo wa kamanda wa daz nundaz na parapanda.
Wosia uheshimowe.
Unachukulia kwamba Sisi ni miongoni kwa watu 10, watakao ruhusiwa kukupeleka nyumba ya milele? Au tupigie wapi huo wimbo wako?
 
Mungu atunusuru, wengine tuligomaga kufa Hadi tuwe matrilionea, tukaacha pombe, tukaacha kula nyama nyekundu, tukaacha papuchi gongaring, tukaacha vyote ili turefushe maisha. Sasa dude vurugavunja limeingia
Hapo kwenye papuchi kweli una roho ngumu
 
Wallah ukipita Kariakoo hutaamini kinachoandikwa humu, is this a different world? Watu wanaishi na hawana hata wasiwasi, Meko katoa statement ambazo zimefanya watu kuwa reluctant sana. Vijana wanapiga stories huku wakichekeana at <1m apart(wanatemeana mate mdomoni[emoji2307]). Is it not dangerous? Kama ni kufwa, hakika kutakuwa na mass deaths!

Na asichokijua tu ni kwamba huenda hapo baadae Watu ambao watakuja Kufa ( Kutokomea ) na Janga hili la COVID-19 wakawa ni Wapiga Kura wake ( ambao wengi Wao ni Wavivu wa Kufikiri ) wanaoamini maneno yake, hivyo huenda Kundi kubwa litakalobakia ( bila Kufa ) kwa CORONA likawa ni lile lisilomtaka ( lenye Werevu wengi ) na likaja Kumuangusha katika Masanduku ya Kuruka Oktoba 2020 na asiamini pia atakachokiona.
 
Hii kitu, ukiwa mzee, afya yenye mgogoro au mnene, uwezo wa kupona ni mdogo sana. Ukishapata ARDS tuu, ndo imetoka, organ zote muhimu zinakosa oxygen, yanabaki masaa tuu.

Boss huku tulipo inaua hata wasiokuwa na changamoto za afya mgogoro. Mfano tu kuna mtoto wa miaka 13 kafa na hakuwahi na tatizo lolote la afya.

Wanasayansi wanasema inategemea pia na sijui genetics/dna (sijui hasa kipi ni kipi) inaweza kuwa na madhara.

Kwa ufupi no one is safe, hivyo wewe unayedhani una afya njema jilinde ili kulinda wenzako wenye afya "mgogoro" na pia wewe mwenyewe kutokana na kwamba huijui afya yako kwa 100%.
 
Na asichokijua tu ni kwamba huenda hapo baadae Watu ambao watakuja Kufa ( Kutokomea ) na Janga hili la COVID-19 wakawa ni Wapiga Kura wake ( ambao wengi Wao ni Wavivu wa Kufikiri ) wanaoamini maneno yake, hivyo huenda Kundi kubwa litakalobakia ( bila Kufa ) kwa CORONA likawa ni lile lisilomtaka ( lenye Werevu wengi ) na likaja Kumuangusha katika Masanduku ya Kuruka Oktoba 2020 na asiamini pia atakachokiona.


Ukisikia kipindi ambacho WATANZANIA wanatakiwa kupima umuhimu wa KURA zao, ndio huu.

Ingekuwa watanzania ni werevu basi wangeamua vema, wale WAZEE WA VETTING na VYOMBO VINGINE VYA USALAMA ingekuwa wanang'amua mambo kwa kina na kwa maslahi mapana ya nchi (sio mtu wala chama) basi wangekuwa GAME CHANGER.

Nchi bila wananchi sio nchi, maslahi ya nchi bila kuonesha kujali kwa hao wanaoifanya kuitwa nchi hayana maana.
 
Boss huku tulipo inaua hata wasiokuwa na changamoto za afya mgogoro. Mfano tu kuna mtoto wa miaka 13 kafa na hakuwahi na tatizo lolote la afya.

Wanasayansi wanasema inategemea pia na sijui genetics/dna (sijui hasa kipi ni kipi) inaweza kuwa na madhara.

Kwa ufupi no one is safe, hivyo wewe unayedhani una afya njema jilinde ili kulinda wenzako wenye afya "mgogoro" na pia wewe mwenyewe kutokana na kwamba huijui afya yako kwa 100%.
Bado kuna mambo mengi ya kujifunza kuhusu ugonjwa huu, hayo niliyoyasema ni kutokana na takwimu zilizokusanywa mpaka wiki jana.

Hiyo ya genetic na kiasi cha viral load kama kigezo cha kuambukizwa Corona, CDC ya hapa US walikuwa wakiliongelea majuzi tuu. Hata hivyo haimaanishi watu wajibweteke, hata mtu mwenye afya nzuri katika mazingira fulani fulani, corona inamwondoa.
 
Ukiiona kesho, shukuru kisha jichunge mno na omba sana uione keshokutwa, alamsiki.
 
Back
Top Bottom