Tuzo ya Rayvann ilikuwa ni viewers choice..haina lolote hiyo tuzo..i.e hadhi ndogoHivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Kwani si alikua DISQUALIFIED?? Umesahau ile petition yenu?Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.
Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀
View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
Chuki inakutafunaaaaaa...maamake!Leo msanii kutoka Nigeria ambae anatamba duniani kwa sasa Burna Boy amewasili nchini Marekani na kupokelewa na mkongwe wa muziki nchini humo P. Diddy. Hii inaonesha wazi mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act ni Burna Boy. Na kwa sasa yupo nchini Marekani akisubiri kukabidhiwa tuzo yake jumatatu.
Hongera sana Burna Boy kwa kuwa mshindi unastahili sana. Na pole za dhati zimuendee bwana Diamond Platnumz na washiriki wengine walioshindwa. Asiekubali kushindwa si mshindani 👀
View attachment 1830036
P. Diddy na Burna Boy wakisalimiana kwa furaha na upendo 😉
The best challenges the best...hajajiweka yeye hapo bali kawekwa na panel ya BET...Nilipoona ile video mikaona mmmmhhh....hapa maji yashakuwa mengi unga kidogo kwakweli.
Tatizo domo anataka kushindana na kila mtu badala ya kushindana na watu wa levo zake au waliomzidi...lkn mara kiba mara harmonize sijui mwijaku[emoji3525][emoji3525][emoji3525]...anasahau kwamba ana vipengele na wa[emoji1184]
Issue sio kusagiana kunguni Bali ni uhalisia Diamond bado kinda sana kwa wasanii kutoka Nigeria labda angekuwa anaimba kwa kiingereza au kihisipania labda angejulikana.I hope haters wake watafanya sherehe… wakidhani pesa zake zinapubgua benki na anarudi Tandale [emoji3][emoji3]
Pole sana MondHivi rayvan alishachukuaga hii tuzo kama upcoming artist BET nakumbuka, dai hii tuzo anaitamani nusu kufa lakini ndiyo hivyo alijichanganya kuingia kwenye siasa na kuchagua upande ule wa manjano
Alipoteza kwa nyumbu tu, mtu mwenye akili timamu hajihangaishi na nyinyi.Diamond baada ya kukubali kushirikiana na maovu ya BLADIFAKENII alipoteza kila kitu.
View attachment 1830339
Bladifakenii!Alipoteza kwa nyumbu tu, mtu mwenye akili timamu hajihangaishi na nyinyi.
Acha kuteseka kwa lifestyle ya mtu mwingine, ni matumizi mabaya ya maisha yako.Nipo bandugu wangu
Za uzima Rafiki!
Huyu akavune mawese bana amekuwa msumbufu mjini
Akirudi mjini atakuwa na heshima kha
Sikushangai, maana zaidi ya matusi kichwa yako imejaa urojoBladifakenii!
Goma la nani?..unju au nacha?Fungu la kupata, ndio la unju mazafaka.../
La kukosa la mazuzu zumbukuku wanafyata.../
UnjuGoma la nani?..unju au nacha?
Duh..[emoji16][emoji16][emoji3064]Bladifakenii!