Burna Boy awasili Marekani na kupokelewa na P. Diddy

Aaaaw our very our Burna boy has done it again, a boy from Moshi has done it for our nation, #NoBETforsadala
 
Reactions: BAK
Ni kama kule kwenye uzi za magari, huyu anamtambia mwenzie kuwa gari X ni ya kike mara mwingine anasema wewe hujui gari. Yani vurugu kama zote, yote tisa kule kila mtu ana gari tena Audi, BMW, Escalade, Benz, and the likes.[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa comment yako inaonesha una chuki binafsi na Diamond wala sio kwasababu unampenda Sana Burnaboy.Hii tabia ya kuwa na wivu na watu wenye mafanikio mtaacha lini?
You get it wrong, hunijui wala sikujui, you should not judge me from your own perspectives besides i have the right to chose whichever side i want, suala la mafanikio ya daimond hayana impact yoyote kwenye maisha yangu, it adds nothing on my plate, i am neither his competitor nor his rival, sio lazima kila mtu achague upande unaoutaka wewe na mtu anapokua tofauti na upande wako haimaanishi kwamba ana chuki
 
Mbona kama umepanick bi mdada.[emoji23][emoji23]
 
Nenda kakojoe ulale sawa mtoto?
 
Unafikiri wachawi wote wanapepea na ungo tu?. Huo wako nao ni uchawi maarufu wa kiteknorojia. Ukiongeza speed unapewa ungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…