Rayvanny ana tuzo ya BET, unataka kusemaje?
Huko juu uliandika point, ila hapa ndo ulipo haribu na hatuna budi kukupuuza
Ko na davido ni mdogo kwa Rema...?Siongelei pesa naongelea kupenya kwa mziki umeelewa REMA uyo chawa kaingiza nyimbo Billboard Baba ako Mond vp ameingiza nyimbo gani uko? Na si Mond tu ata Mfalme wenu na Mmakonde wameingiza lini nyimbo uko?
Tunaongelea tuzo kubwa duniani kama BET mondi anayo? Hakuna msanii aliyewai kuwa nominated Grammy kwenye Mambo ya Album for the first time Burna kawepo ata Davido hajawai Mond vp ashawai
Mwambie Mond wako na mfalme wenu waache kiki kama Burna kama hawajapotea
Punga mwenyewe bwege weweUnaona ulivyo Punga sasa yani ushabiki unakupeleka pabaya ule ukumbi wa Columbiahalle pale german berlin angalia unacapacity ya watu wangapi kama si 3500 iyo elfu 20,000 imetoka wapi acha sifa brother usizani sisi atufatilii show izi za wasanii wetu naweza nkakwambia tu iyo show imefanyika septmber mwaka huu trh 6 kama sijakosea sasa ao watu 20,000 walikanyagana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asee mziki wetu unauliwa na ushabiki mandazi
View attachment 1269383
Kwani one mic,one man =kahama alipiga na nani..?Hahaha what ???
Weka hiyo show diamond kajaza ukumbi wa watu 20,000...
Soma hizo Kumbi alizojaa BurnaBoy , Yaani Ticket zilikuwa Outsold ...
Kumbuka jamaa show anapigaga peke yake . Yani Kama ile wasafi festival apige diamond peke yakeView attachment 1269382
Kwani one mic,one man =kahama alipiga na nani..?
Ko na davido ni mdogo kwa Rema...?
Ahaaaaaaah bogus sana wewe hakuna kama diamond ,hallelujah imeshaingia na pia diamomd kafanya mambo mengi ambayo davido na huyo rema wako hawajafanya na hawatokuja kufanya ko DIAMOND & WCB BABA LAO NA YAKO NA YENU,OK DOGO KALALE SASA NIMEKUPA FACT.Davido kasha ingiza nyimbo nyingi tu billboard na zikadumu kwa majuma mengi tu naisi nimekupa jibu so Davido kafanya vitu mara 2 mpka 3 ambavyo REMA ajafanya ila REMA kafanya vitu vichache ambavyo Mond kwenye Game hajafanya mpka sasa kimojawapo ni icho nlicho kutajia
Ahaaaaaaah kweli shule ni muhimu sana maana hauelewi,ko unajua kama diamond kajaza sana ulaya na nje ya nchi ko unataka kunambia nini..?Hii show ilifanyika kahama au ilifanyika Europe?
Jibu ni hapana ata kina davido uko kwao wanapiga show kama izi na wanajaza utitiri ingia youtube search show zake za africa utaona
Tunataka afanye Europe tuone akijaza ao watu 20,000
Ahaaaaah kigezo cha hao watu kusimama ujue nyomi lilikuwa sio poa ko acha ushamba dogo.Columbia halle Berlin inachukuwa watu 3500 tena wanasimama...Burma boy kapiga show O2 Arena 20,000 capacity sold out..Wiz kid sold out mara mbili na Davido mara moja
Ahaaaaaaah bogus sana wewe hakuna kama diamond ,hallelujah imeshaingia na pia diamomd kafanya mambo mengi ambayo davido na huyo rema wako hawajafanya na hawatokuja kufanya ko DIAMOND & WCB BABA LAO NA YAKO NA YENU,OK DOGO KALALE SASA NIMEKUPA FACT.
Ahaaaaaaah kweli shule ni muhimu sana maana hauelewi,ko unajua kama diamond kajaza sana ulaya na nje ya nchi ko unataka kunambia nini..?
oluwa bona ni fireNi juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Brother kwa era hii Burna ni habari nyingine asee hivi unajua wiki kama mbili zilizopita kaweka rekodi yake ya kujaza Arena huko Uingereza?
Mafanikio ya msanii sio kwenye views, followers na skendo, fuatilia historia ya Burnaboy jamaa alikuepo kitambo tu sema hakuwai wika kiivyo nliwai soma documentary flan wanasema jamaa alianza imba ana 10 yrz na 19 yrz alikuwa anaendesha Range.
Huyu jamaa ana management ya kipekee kwanza mama yake ndio msimamizi wa kazi zake na show kwa ujumla, wanakwambia hata matumizi ya simu kwa jamaa wanacontrol na Management na simu yake wamemuachia Whatsapp tu. Angalia katika account ya Jamaa vitu anavyopost kama sio show na picha za akiwa anatumbuiza au yuko katika harakati za kwenda tumbuiza, kwangu Mimi Burna ni Mkali sana kuliko hata hao kina Davido wanaotumia nguvu nyingi kupambana just imagine jamaa kaja na style yake na kapenya simple tu
[emoji23] [emoji23] nilikuwa nakucheki tu unavyoleta umekiri mwenyewe ngoja nikuache.nimekutana na hili dude aisee nilikuwa sijui kama ni huyu jamaa ingawa nilikuwa nauelewa
Tafuta Gbona.Aaah huyu jamaa ni moto
Unasema?Burna kumlinganisha na wakina Wiz na Obo ni kuwakosea heshima hao jamaa,sema kuchaguliwa grammy na matuzo ya hapa na pale kusifanye muwakosee heshima Star boy na Davido....narudia tena sio vyema kuwalinganisha Wiz,Obo Vs Burna,he is too small to them.
Hasa ule wimbo wake Wa YE hadi Rihanna alishawahi kurecord anaimbwa kwenye inatastory yake.Vanessa mdee kwenye interview na millard kasema nyimbo za burnaboy zinapigwa marekani kuliko za davido na wizkid kuanzia radio stations, clubs hadi kwenye malls hapo inakuaje hapo