Sasa hao followers na subscribers si wanatoka uko uko duniani,kama anauwezo amzidi mondi hivyo vitu viwili,(DIAMOND>BURNABOY).
Yani uyu Mond wako amepitwa na chipu kizi kama REMA kutoka Nigeria asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao followers na subscribers si wanatoka uko uko duniani,kama anauwezo amzidi mondi hivyo vitu viwili,(DIAMOND>BURNABOY).
Acha ujinga na mihemko ya kishakunaku yaani unafananish(DIAMOND MBINGU) na (REMA KUNGUNI WA KUFUGWA),come on lady be seriousYani uyu Mond wako amepitwa na chipu kizi kama REMA kutoka Nigeria asee
Kwani diamond ujui ndo mtanzania wa kwanza na mwafrika kuijaza arena ya ujerumani inayoingiza zaidi ya watu 20,000 mbona hatusemi au unatuona mazuzu sasa unataka tena reality gani..?DIAMOND IS FAR BETTER THAN BURNABOY eboooooohSiongelei porojo za ushabiki kisa tu mtu unamkubali naongelea reality
Watangaze shoo ata apo Senegal tu Mond na Burnaboy afu subiri uone impact itatokea wapi
Burnaboy kajaza uwanja wa Uingereza Arena yenye kuchukua watu takribani 12,500 na ni oneman show mwambie Mondi wako aende apo uone
Ukweli n kua Tanzania inasafari ndefu sana kidunia ata show Mond anazofanya ni kwenye kumbi ndogo za kuchukua watu 1000-3000 nakupa mfano mwingine apo SA kuna mtu anaitwa Casper ashawai jaza uwanja wa mpira watu takribani 80,000 na si mara moja Mond alishawai fanya ivyo?
Ushabiki unaleta na hauna fact toa rejodi ya international show zote za Mond alizowai fanya na kumbi alizotumbuiza nakupe za Burnaboy na kumbi zake alizofanya sold out
Afu linganisha capacity ya kumbi izo kwa idadi ya watu na viingilio then rudi comment
Mond ametoa Album ya A boy from Tandale mpk sasa ina stream ngapi? Imeuza kopy au nakala ngapi?
Afu nambie nikupe za burnaboy
Mondi ananyimbo gani iliyo wai ingia Billboard ata top 200 na ikakaa ata kwa siku 3 ?
Usidhani wenzetu ni wapumbavu wanabweteka na followerz au subscriber endelea mfagilia Mond wako na Kiba mkizani ndo wamefanikiwa
Mkuu umeongea kila KituSiongelei porojo za ushabiki kisa tu mtu unamkubali naongelea reality
Watangaze shoo ata apo Senegal tu Mond na Burnaboy afu subiri uone impact itatokea wapi
Burnaboy kajaza uwanja wa Uingereza Arena yenye kuchukua watu takribani 12,500 na ni oneman show mwambie Mondi wako aende apo uone
Ukweli n kua Tanzania inasafari ndefu sana kidunia ata show Mond anazofanya ni kwenye kumbi ndogo za kuchukua watu 1000-3000 nakupa mfano mwingine apo SA kuna mtu anaitwa Casper ashawai jaza uwanja wa mpira watu takribani 80,000 na si mara moja Mond alishawai fanya ivyo?
Ushabiki unaleta na hauna fact toa rejodi ya international show zote za Mond alizowai fanya na kumbi alizotumbuiza nakupe za Burnaboy na kumbi zake alizofanya sold out
Afu linganisha capacity ya kumbi izo kwa idadi ya watu na viingilio then rudi comment
Mond ametoa Album ya A boy from Tandale mpk sasa ina stream ngapi? Imeuza kopy au nakala ngapi?
Afu nambie nikupe za burnaboy
Mondi ananyimbo gani iliyo wai ingia Billboard ata top 200 na ikakaa ata kwa siku 3 ?
Usidhani wenzetu ni wapumbavu wanabweteka na followerz au subscriber endelea mfagilia Mond wako na Kiba mkizani ndo wamefanikiwa
Hahaha what ???Kwani diamond ujui ndo mtanzania wa kwanza na mwafrika kuijaza arena ya ujerumani inayoingiza zaidi ya watu 20,000 mbona hatusemi au unatuona mazuzu sasa unataka tena reality gani..?DIAMOND IS FAR BETTER THAN BURNABOY ebooooooh
Kwani diamond ujui ndo mtanzania wa kwanza na mwafrika kuijaza arena ya ujerumani inayoingiza zaidi ya watu 20,000 mbona hatusemi au unatuona mazuzu sasa unataka tena reality gani..?DIAMOND IS FAR BETTER THAN BURNABOY ebooooooh
Acha ujinga na mihemko ya kishakunaku yaani unafananish(DIAMOND MBINGU) na (REMA KUNGUNI WA KUFUGWA),come on lady be serious
Hivi unajua unachokiongea wewe?Yani uyu Mond wako amepitwa na chipu kizi kama REMA kutoka Nigeria asee
Mkuu umeongea kila Kitu
Hivi unajua unachokiongea wewe?
Mwaka upi Bro StarBoy aliwahi kuwa nomination au kupitia Album ya Drake-Views. Coz alihusika kwenye One Dance
Wote hao kwa Juma Nature wachumba tuBurna Boy Africa Giant.......Kila mtu ana 'era' yake na miaka ya hivi karibuni ndo anakimbiza yeye....muda wake wake huu...walikuwa kina Patoranking,RunTown,skales,korrede bello,Maleek Berry,Eazy... e.t.c!.
Ila Wiz Kid usimlinganishe na hao!Kila 'era' yupo hajawahi kuyumba...Baba Nla!Star Boy
Juma Nature huyu ambaye Views milion1 tu kwake Ndoto huko Youtube. Au Nature mwingine?Wote hao kwa Juma Nature wachumba tu
Mkuu mi sio wcb na Sina team yoyote ila huyu rema huyu ambaye anaimba Kama hana meno mdomoni ndo amshinde diamond wa hallelujah mkuu jitafakari usiwe unaongea upumbavu.rema huyo amfikiii hata kidogo fireboy[emoji91].Usilete ligi za kijinga apa na Mond wenu
Kama mnaisi amefanikiwa sawa mpeni kichwa asee wenzake wanapambana bado
Mkuu acha kbishana na hao watotoMkuu wa skuizi wanaushabiki mandazi sana usio na fact na wana confidence kubwa wakiwa nyuma ya keyboard wao kusema uongo wa nyeusi kuwa blue hawaogopi na fact hawana
Mkiambiwa muache bangi hamtakiWote hao kwa Juma Nature wachumba tu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] aiseeJuma Nature huyu ambaye Views milion1 tu kwake Ndoto huko Youtube. Au Nature mwingine?
Watanzania mna vichwa vigumu Sana ... Ulichoandika na alichopresent jamaa Ni two different things..Mkuu mi sio wcb na Sina team yoyote ila huyu rema huyu ambaye anaimba Kama hana meno mdomoni ndo amshinde diamond wa hallelujah mkuu jitafakari usiwe unaongea upumbavu.rema huyo amfikiii hata kidogo fireboy[emoji91].
Wasanii wote waliofanya kwenye show kwenye Arena wote walisindikizwa na wasanii,tana Burna boy alisindikizwa na msanii mkubwa wa Jamaica Steflon don ambaye yupo kwenye album hii ya juzi ya Dj Khaleed.Hahaha what ???
Weka hiyo show diamond kajaza ukumbi wa watu 20,000...
Soma hizo Kumbi alizojaa BurnaBoy , Yaani Ticket zilikuwa Outsold ...
Kumbuka jamaa show anapigaga peke yake . Yani Kama ile wasafi festival apige diamond peke yakeView attachment 1269382