Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti zinazo fanana hahahahaNomination ya Grammy haimfanyi kuwa bora kuliko Wizkid na Davido. Tumpe 5 years ili tuone kama ataweza kukaa kwenye peak na style ya nyimbo zake ambazo zinafanana
nimekutana na hili dude aisee nilikuwa sijui kama ni huyu jamaa ingawa nilikuwa nauelewa
Hivyo vi akina Kolede Bello sio vya kumlinganisha BurnaSoma vizuri utaelewa. Kasema kila mtu na wakati wake.
Patoranking?Hivyo vi akina Kolede Bello sio vya kumlinganisha Burna
5 years ?? Burna Boy yupo kwemye game zaidi ya miaka 10 ...au umemjua leo ?Nomination ya Grammy haimfanyi kuwa bora kuliko Wizkid na Davido. Tumpe 5 years ili tuone kama ataweza kukaa kwenye peak na style ya nyimbo zake ambazo zinafanana
Hahahahahaha Amka Bro.Sijui burna boy,wizkid au davido hao viumbe wakali lakini hawamfikii mfalme chibu dangote
Hahaha mkuu unanipa wakati mgumu Sana ... Umetaja kichwa ambacho huwa nakikubali Sana ...moja ya vichwa ambavyo Africa kmebarikiwa Ni Patoranking....Patoranking?
Jamaa uimbaji wake umetulia yaani anaimba karelax kama hataki hivi. 😀 Halazimishi. Ila kwenye wimbo wa Harmonize nilimchukulia poa.tafuta Moja inaitwa Ye.
Nomination ya Grammy haimfanyi kuwa bora kuliko Wizkid na Davido. Tumpe 5 years ili tuone kama ataweza kukaa kwenye peak na style ya nyimbo zake ambazo zinafanana
5 years ?? Burna Boy yupo kwemye game zaidi ya miaka 10 ...au umemjua leo ?
Bro Patoranking ni nyoko sanaaa Jamaaa Anajua Since namuona kwenye Ngoma zake za Kwanza.Hahaha mkuu unanipa wakati mgumu Sana ... Umetaja kichwa ambacho huwa nakikubali Sana ...moja ya vichwa ambavyo Africa kmebarikiwa Ni Patoranking....
Patoranking na StoneBway ni tunu ambayo tumebarikiwa Africa kwenye Raga & Dancehall.
Jah'Bless Up
Tafuta show zake , usipozipenda njoo hapa unidai Bando lako...Jamaa uimbaji wake umetulia yaani anaimba karelax kama hataki hivi. [emoji3] Halazimishi. Ila kwenye wimbo wa Harmonize nilimchukulia poa.
Eti eeehSijui burna boy,wizkid au davido hao viumbe wakali lakini hawamfikii mfalme chibu dangote
Hahahaha West Afrika nyoko sana kule watu hawatanii kwenye mziki.Jamaa uimbaji wake umetulia yaani anaimba karelax kama hataki hivi. 😀 Halazimishi. Ila kwenye wimbo wa Harmonize nilimchukulia poa.
Ile No kissing, no touching lile jiwe langu bora la wakati wote.Bro Patoranking ni nyoko sanaaa Jamaaa Anajua Since namuona kwenye Ngoma zake za Kwanza.
Another Level,Make Am,
Such Different,Kid of love, Acha izo kuna mkwaju yupo na Sarkodie wa Ghana hatariii
Mkuu Muache alikuwa kaamka usingizini