Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa?

Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa?

Bro Patoranking ni nyoko sanaaa Jamaaa Anajua Since namuona kwenye Ngoma zake za Kwanza.


Another Level,Make Am,

Such Different,Kid of love, Acha izo kuna mkwaju yupo na Sarkodie wa Ghana hatariii
Mkuu unadhani kwanini Mpaka kifo Bibi kidude alikuwa anapiga show ulaya ??? African Genre Ni muziki Super .... Ndicho anachofanya Burna ...


Patoranking namkubali Sana coz anaimba muziki ninaoupenda.
 
Burna Boy ndiye artist number 1 Africa kwa sasa. Ngoma zake ni moto haswaa tena ana hits nyingi kumzidi huyo Wizkid na Davido.

Najua wengi mtabisha lakini huo ndio ukweli. Real is real. Jamaa anajua haswaa.

Kama hauamini kasikilize hii playlist:


1. Check and Balance

2. Ye

3. Gbona

4. Anybody

5. Collateral Damage

6. On the Low

7. Dangote

8. Killin Dem

Unforgetable
Hit nyingi kuliko Wiz na Davido?? Hapa umeongopa Hao viumbe viwili wana kete nyingi mno kaliii
 
Burna hajaanza leo mziki kaka ameanza zamani sana since ana 10 yrz sema wewe ndo umemjua karibuni coz hana mambo ya skendo kama wengine ili kupush mziki
Amekuepo apo juu sinsi zaman sema mass kubwa ilikua haimtambui watakuja wengi wataimba mziki wa dunia ila jamaa atabaki why “ coz ya style yake kua Pure African beat”

Najua alikuwepo muda mrefu ila hakuweza kupata spotlight hadi alivyokuja kivingine. Kingine mimi sisikiliziki tu nyimbo za mainstream maana kuna wengi tu hupigiwa promo while hawana uwezo..

Pia Burna sikuwahi kumuweka kama msanii the best maana hata yeye anaimba pongolo music na katika category ya Pure African sounds namuweka Simi na Mr flavour (japo huyu nae huwa anaimba pongolo).
 
P
Mkuu unadhani kwanini Mpaka kifo Bibi kidude alikuwa anapiga show ulaya ??? African Genre Ni muziki Super .... Ndicho anachofanya Burna ...


Patoranking namkubali Sana coz anaimba muziki ninaoupenda.
Patoranking yule noma Anaimba mno. Ngoma zake zina Tani nyingi
 
Acha kulinganisha hizo takataka na Egbe Egbe Burna Boy .... Yaani unamlinganisha Korede Bello Na Burna .. Wewe Jamaa acha mambo yako humjui Burna Wewe...
Sijalinganisha...nimesema Kila mtu ana era yake....simjui Burna unamjua wewe ndugu yako wa damu!
 
Najua alikuwepo muda mrefu ila hakuweza kupata spotlight hadi alivyokuja kivingine. Kingine mimi sisikiliziki tu nyimbo za mainstream maana kuna wengi tu hupigiwa promo while hawana uwezo..

Pia Burna sikuwahi kumuweka kama msanii the best maana hata yeye anaimba pongolo music na katika category ya Pure African sounds namuweka Simi na Mr flavour (japo huyu nae huwa anaimba pongolo).
Pongolo Ni nini ??
 
Hahaha mkuu unanipa wakati mgumu Sana ... Umetaja kichwa ambacho huwa nakikubali Sana ...moja ya vichwa ambavyo Africa kmebarikiwa Ni Patoranking....



Patoranking na StoneBway ni tunu ambayo tumebarikiwa Africa kwenye Raga & Dancehall.


Jah'Bless Up

Ila patoranking ana kichwa cha kutengeneza hit songz. Halafu anavyoimba Dancehall unaweza hisi ni mjamaica 😂😂😂

Pato namkubali
 
Back
Top Bottom