Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mkuu unadhani kwanini Mpaka kifo Bibi kidude alikuwa anapiga show ulaya ??? African Genre Ni muziki Super .... Ndicho anachofanya Burna ...Bro Patoranking ni nyoko sanaaa Jamaaa Anajua Since namuona kwenye Ngoma zake za Kwanza.
Another Level,Make Am,
Such Different,Kid of love, Acha izo kuna mkwaju yupo na Sarkodie wa Ghana hatariii
Patoranking namkubali Sana coz anaimba muziki ninaoupenda.