Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa?

Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa?

Umemaliza nikushushie na takataka za BurnaBoy ... Hivi unajua Burna huwa anamuandikia msanii mkubwa America ??


Don't take Burna So Cheap As You Think.


Kuwa na Heshima Mkuu.
So Drake msanii Mdogo Duniani??? Lkn One Dance ikaandaliwa na Wiz ntajie msanii anaeweza kumsumbua Drake ukimtoa Chris Brown???


Starboy Tani Kumi.
 
Kwahiyo mkuu unafuatilia muziki na huijui Fall ya Davido??

Namkubali Burna Boy lakini hajaweza kutengeneza hitsong iliyoizidi fall..Hii ngoma imeingia hadi kwenye chat za Billboard top airplays.na hii ni chati ya muziki wa dunia sio wa uswekeni

Tunaongelea kwa sasa mkuu 2018/2019
 
Ishu sio tuzo..ishu ni tuzo gani

Yaani ni sawa sawa na tuzo sijui za Afrimma..yaani ni tuzo za uswekeni hazina maana

Grammy ni ishu nyingine..kina Chriss Brown wanazililiaga hizi,sio mchezo
chris Brown aliwahi kuandika kwenye IG yake I don need award to be A king.
 
So Drake msanii Mdogo Duniani??? Lkn One Dance ikaandaliwa na Wiz ntajie msanii anaeweza kumsumbua Drake ukimtoa Chris Brown???


Starboy Tani Kumi.
Mkuu acha kuhamisha magoli .. Hapa mada ni Burnabboy evern thread's tittle speaks out...



Huko kwa wakina Drake na Brown kafungue Uzi mwingine tukuoneshe wasanii tunaowapenda wa rock na pop ambao Huyo Drake hagusi hata robo ...
 
Mkuu acha kuhamisha magoli .. Hapa mada ni Burnabboy evern thread's tittle speaks out...



Huko kwa wakina Drake na Brown kafungue Uzi mwingine tukuoneshe wasanii tunaowapenda wa rock na pop ambao Huyo Drake hagusi hata robo ...
drake anaimba Pop?
 
Wapi nimesema anaimba Pop?? Ukiniquote sehemu nimesema ulichokisema nitaomba Mods wanipige Life Ban.


Acha kuhamisha magoli.
Sio ww?
 

Attachments

  • Screenshot_2019-11-21-21-16-10.png
    Screenshot_2019-11-21-21-16-10.png
    19.7 KB · Views: 1
Brother kwa era hii burna ni habari nyingine asee ivi unajua wiki kama mbili zilizo pita kaweka rekodi yake ya kujaza Arena uko Uingereza?

Mafanikio ya msanii sio kwenye viewz , followerz na skendo, fatilia historia ya burnaboy jamaa alikuepo kitambo tu sema hakuwai wika kiivyo nliwai soma documentary flan wanasema jamaa alianza imba ana 10 yrz na 19 yrz alikua ana endesha Range uyu jamaa ana management ya kipekee kwanza Mama yake ndio msimamizi wa kazi zake na show kwa ujumla, wanakwambia ata matumizi ya simu kwa jamaa wanacontrol na Management na simu yake wamemuachia whatsapp tu Angalia katika account ya Jamaa vitu anavyo post kama sio show na picha za akiwa anatumbuiza au yuko katika harakati za kwenda tumbuiza , kwangu Mimi burna ni Mkali sana kuliko ata ao kina Davido wanao tumia nguvu nyingi kupambana just imagine jamaa kaja na style yake na kapenya simple tu
Nadhan wanigeria music ni nature Yao .

Wasanii hawataisha kamwe
 
Back
Top Bottom