Burudani: Tundu Lissu akisakata rhumba kufurahia ushindi wa Mwabukusi

Burudani: Tundu Lissu akisakata rhumba kufurahia ushindi wa Mwabukusi

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
 
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
CHADEMA hongera sana kwa hatua hii! Mmeonesha nguvu kubwa ya kisiasa na kiweledi, kuwa CDM ni chama cha wasomi, CCM ni chama cha wajinga.
 
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
TLS haina katiba na hawatendi kwa mujibu wa...?!Wanasema tu jambo lolote bila utaratibu!!Hamnazo..weye
 
Tusihukumu mapema sana, tusubiri kazi zake wajameni ................. Jana tu amechaguliwa tayari tumeanza kulialia
 
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Uwe muelewa.Hawapo hapo kupigana.Ni kwa ajili ya kuisaidia nchi.
 
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Kama angeshindwa Nkuba TLS ingekuwa tawi la chama Gani??
 
Back
Top Bottom