kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Mbowe ni Mungu???Huyo Lissu amshukuru Mbowe bila mbowe saa hizi asingesakata hilo RHUMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni Mungu???Huyo Lissu amshukuru Mbowe bila mbowe saa hizi asingesakata hilo RHUMBA
Hakika furaha haijifichi. Baada ya kunfanyia endorsement Wakili Mwabukusi kuwa Rais wa TLS na hatimaye kushinda uchaguzi huo, furaha ya Mwanasheria nguli nchini na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu haikufichika.
Hapa anasakata lumba kama kawaida. Mcheki!
View attachment 3060390
Li Etwege likiona hii video linamaind kichizi nakubaki kung'aka mbona hatujapelekwa miGA.Hakika furaha haijifichi. Baada ya kunfanyia endorsement Wakili Mwabukusi kuwa Rais wa TLS na hatimaye kushinda uchaguzi huo, furaha ya Mwanasheria nguli nchini na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu haikufichika.
Hapa anasakata lumba kama kawaida. Mcheki!
View attachment 3060390
Ccm mmejaa uchawi uchawi tuHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Nani kasema nchi inahitaji msaada?Uwe muelewa.Hawapo hapo kupigana.Ni kwa ajili ya kuisaidia nchi.
CCM walitaka kutwaa TLSKama angeshindwa Nkuba TLS ingekuwa tawi la chama Gani??
CCM ni kusanyiko la majangili tupuCHADEMA hongera sana kwa hatua hii! Mmeonesha nguvu kubwa ya kisiasa na kiweledi, kuwa CDM ni chama cha wasomi, CCM ni chama cha wajinga.
Chuki, hasira na kisirani hawa ndio maadui zako!Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Ni kweli kabisa CHADEMA ni chama cha wasomi na CCM ni cha wajinga ila msije kulalamikia nguvu ya wajinga kwenye sanduku la kura mwaka 2025. Endeleeni na hizo dharau ila tukutane kwenye chaguzi.CHADEMA hongera sana kwa hatua hii! Mmeonesha nguvu kubwa ya kisiasa na kiweledi, kuwa CDM ni chama cha wasomi, CCM ni chama cha wajinga.
Huu ndo ushindi pekee wa CHADEMA. Tutawaburuza kwenye serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Hii ni fikra mbovu kabisaHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Mwambie chura kiziwi ajipangeHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Tundu ni wakili piaHii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Uko sahihi sana, maaana wivu na hila ndio nguzo zenu kuu za maisha. Mnaruhusiwa kukwamisha lolote maana hilo tunalitegemea, kwani mkifanya kinyume na hivyo mtatushangaza sana.Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Sio RPC wa Dodoma tu, mnaweza kumuagiza hata IGP afuatilie kabisa.Walipata kibali cha kupiga mziki huo, maana wanaleta usumbufu usiku kwa majirani na ni kosa sana hilo, tena RPC wa Dodoma inabidi aliangalie hili, maana tulisikia kelele za muziki usiku sana, kumbe ndio hawa wanapiga muziki bila kibali
Hauwezi kugombea jambo ukiwa peke yako bila watu nyuma yako, CCM wamekwisha andaa chawa, viroboto na yale madudu ya Arusha ndiyo sababu CCM inategemea Chadema ipate viongozi huku hayo magarasa yamekaa tu yakikodoa macho kama mjijusi iliyobanwa na mlango.Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema