Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Mbona unanitisha Mkuu??Pafu moja ya shisha ni sawa na pakiti 20 za Sigara
Kuanzia leo nitapunguza kuvuta Kiko ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unanitisha Mkuu??Pafu moja ya shisha ni sawa na pakiti 20 za Sigara
Tunaweka tumbaku kavu na kuwashaKwani kiko huwa mnaweka nini huko ndani?
Hazina madhara kiafya?
Shisha Mkuu sio KikoMbona unanitisha Mkuu??
Kuanzia leo nitapunguza kuvuta Kiko ๐
Nilidhani umesema Kiko, maana Mimi ni mdau wa kuvuta Kiko tu kutokana na Umri wangu ๐๐คShisha Mkuu sio Kiko
Wa kupimwa akili wewe..!!Hii ni ishara tosha kwamba sasa TLS ni tawi la chadema, na lazima wakisema jambo lolote, tujue wametumwa na chadema, linatakiwa lichukuliwe kisiasa, na kujibiwa kisiasa, na ikibidi kukwamisha chochote kitakacholetwa na TLS kwa kuwa ni mdomo wa chadema
Burudani ya mapafu kivipi kwani haina madhara?Tunaweka tumbaku kavu na kuwasha
Baada ya hapo ni burudani ya mapafu ๐ค
Madhara yapo Mkuu.Burudani ya mapafu kivipi kwani haina madhara?
Kumbe sisi wa kimoja chali tupo sahihi sana kiafya ๐Madhara yapo Mkuu.
Kila kitu Chini ya jua kina madhara...
Hata kumtandika Mkeo Kila Siku 3 tatu Kuna madhara, wajuvi wa mambo wanasema inafaa uende mbili tu ama kamoja ๐
Hata ningekuwa mm ningesakata rhumba tena sana tu. Mwabukusi ni mtu na nusu.Hakika furaha haijifichi. Baada ya kumfanyia endorsement Wakili Mwabukusi kuwa Rais wa TLS na hatimaye kushinda uchaguzi huo, furaha ya Mwanasheria nguli nchini na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu haikufichika.
Hapa anasakata lumba kama kawaida. Mcheki!
Pia soma:Boniface Mwabukusi ashinda kesi dhidi ya Tanganyika Law Society. Ruksa kugombea Urais wa Chama hicho
KabisaKumbe sisi wa kimoja chali tupo sahihi sana kiafya ๐
๐ถ๐ต๐น๐น๐บ๐ป๐ช๐ช๐ฅ๐ผ๐๐๐umenikumbusha mbali mno.Kuruka Majoka
๐ watu mna hesabu kaliKabisa
Maana ukipiga mahesabu ni kama 23 shots per monthly, wakati Kuna watu Kwa Mwaka wanagusana mara 10 tu ๐
Hahaha............ umekumbuka kuruka Majoka??๐ถ๐ต๐น๐น๐บ๐ป๐ช๐ช๐ฅ๐ผ๐๐๐umenikumbusha mbali mno.
Bora tumezeeka sasa ๐๐ watu mna hesabu kali
Ng'ombe hazeeki maini ๐Bora tumezeeka sasa ๐
Kumbe anasakata rumba, asitonyeshe mahali, awe makini.Dah mbona kma naskia wanamshangilia Tundulisu kuwa (Rais,Rais,Rais๐ ๐ )
Hatari ๐คNg'ombe hazeeki maini ๐