Burudani ya soka bila EPL

Burudani ya soka bila EPL

Kila nikitazama mechi za nje huko ulaya Huwa najiuliza kipi kinatufanya tutambiane eti Simba na Yanga wakati mpira wanaocheza ni duni kabisa.

Mechi ya Athletic Bilbao na Atletico Madrid ilikuwa ya kasi sana. That's real football 💪
Hata mimi huwa najiuliza. Hivi hao jamaa wanafanya sana mazoezi mana mwanzo mwisho wachezaji wanakimbia uwanjani! Mpira wa Ulaya una ushindani mkali sana!
 
Kumbe unaweza kuburudika kwa kutazama futbol bila hata mechi za EPL.

Binafsi nilikuwa natamani sana EPL ingekuwemo kwenye king'amuzi cha Azam lakini ndiyo hivyo tena.

Pamoja na kukosekana kwa EPL ndani ya Azam, lakini kwa sisi wapenda soka, angalau nafsi inaridhika kwa kutazama mechi live ndani ya Azam-Serie A, Laliga, Bundesliga, Carabao Cup na baadhi ya mechi za EPL mfano leo ilioneshwa ya Leicester vs Aston Villa.

Aloo! Huko Italia mpira unapigwa jamani.

Azam tegueni mtego mliowekewa wa kuonesha EPL. Mkifanya hivyo tayari mtakuwa wafalme rasmi wa burudani ya soka Tanzania
Jana Azam walionyesha mechi ya Aston villa na Leicester city saa kumi na Moja jioni sasa sijui hii imekaaje?
 
Ni kweli. Yaani kama wikendi ya jana wamerusha mpaka kupitia UTV, palikuwa pamechangamka haswa. Wao waongeze channel na wajitahidi waoneshe EPL hapo watakuwa wamemaliza kazi.
Azam kila Jumamosi kwenye Chanell ya UTV huwa wanaonyesha Live mechi moja ya EPL
 
Hata Pelle hajawahi kutokea na mpira unaendelea kama kawaida.
Pale wengi wamwcheza style zake inshu n mtu mwenye uwezo km wa messi
Hata pele hawezi fanya hiki alichofanya messi. Anapigwa buti akiwa juu ila ajabu hajadondoka
 

Attachments

  • 1724494187755_1724494187758.mp4
    354 KB
Back
Top Bottom