mbape kaenda kuitia mkosi madridNafurahi sana kwa sasa barca tumeanza kurudi kama mwanzo na bila uwepo wa messi tumekubali maisha
Hawa vijana watakuja kusumbua sana chamsingi tusibadili makocha hovyo
Kule Madrid wamejaza mastaa sana kiasi kwamba hakuna maelewano
sijawahi kumkubali dogo. ana mambio hana ufundi.