mbape kaenda kuitia mkosi madridNafurahi sana kwa sasa barca tumeanza kurudi kama mwanzo na bila uwepo wa messi tumekubali maisha
Hawa vijana watakuja kusumbua sana chamsingi tusibadili makocha hovyo
Kule Madrid wamejaza mastaa sana kiasi kwamba hakuna maelewano
kisinda alieko ulaya😁mbape kaenda kuitia mkosi madrid
sijawahi kumkubali dogo. ana mambio hana ufundi.
basi tu wazungu wakikupenda utafanywa staa. yule mtoto hafikii watoto kibao tuko nao mitaani kwa kipaji. basi tu wamezaliwa tanzania nchi ambayo u serious hauhitajikikisinda alieko ulaya😁
Hata mimi huwa najiuliza. Hivi hao jamaa wanafanya sana mazoezi mana mwanzo mwisho wachezaji wanakimbia uwanjani! Mpira wa Ulaya una ushindani mkali sana!Kila nikitazama mechi za nje huko ulaya Huwa najiuliza kipi kinatufanya tutambiane eti Simba na Yanga wakati mpira wanaocheza ni duni kabisa.
Mechi ya Athletic Bilbao na Atletico Madrid ilikuwa ya kasi sana. That's real football 💪
Jana Azam walionyesha mechi ya Aston villa na Leicester city saa kumi na Moja jioni sasa sijui hii imekaaje?Kumbe unaweza kuburudika kwa kutazama futbol bila hata mechi za EPL.
Binafsi nilikuwa natamani sana EPL ingekuwemo kwenye king'amuzi cha Azam lakini ndiyo hivyo tena.
Pamoja na kukosekana kwa EPL ndani ya Azam, lakini kwa sisi wapenda soka, angalau nafsi inaridhika kwa kutazama mechi live ndani ya Azam-Serie A, Laliga, Bundesliga, Carabao Cup na baadhi ya mechi za EPL mfano leo ilioneshwa ya Leicester vs Aston Villa.
Aloo! Huko Italia mpira unapigwa jamani.
Azam tegueni mtego mliowekewa wa kuonesha EPL. Mkifanya hivyo tayari mtakuwa wafalme rasmi wa burudani ya soka Tanzania
Ahahah ila kumuona mtu kariba ya messi ni jambo gumu kidgoNi zaidi ya hao, it's a promising team!
Azam kila Jumamosi kwenye Chanell ya UTV huwa wanaonyesha Live mechi moja ya EPLNi kweli. Yaani kama wikendi ya jana wamerusha mpaka kupitia UTV, palikuwa pamechangamka haswa. Wao waongeze channel na wajitahidi waoneshe EPL hapo watakuwa wamemaliza kazi.
Hata Pelle hajawahi kutokea na mpira unaendelea kama kawaida.Ahahah ila kumuona mtu kariba ya messi ni jambo gumu kidgo
Pale wengi wamwcheza style zake inshu n mtu mwenye uwezo km wa messiHata Pelle hajawahi kutokea na mpira unaendelea kama kawaida.