Burundi leader Nkurunziza died of Covid-19 — diplomats

Kumpangia MUNGU amuweke wapi Marehemu......, kana kwamba hajui pakumuweka ama atamuweka kutokana na Wishes zetu NIKUPOTEZA MUDA. anaekufa Anawekwa anapostahili KWISHA.
Rest In Peace Nkurunzinza,
Haya kunywa sumu na wewe kama unaona anafaidi kutakiwa kheir.
 
Ahaaaa! Nilikuomba urudishe hiyo avatar ukanitolea nje eti sasa ni zamu ya Rosa Parks nikakuangalia tu kwa sababu nakuheshimu vinginevyo ningekufuata PM nikushushie BONGE YA NENO, leo naiona tena.😜. Kuna miamba miwili COVID inawasarandia kwa karibu sana. Mwamba mmoja alishapigwa kashika adabu uchakarammu wote umemtoka. Usiniulize ni kina nani hao.

 
Hotuba zao zinafanana. Sema Peter yeye alizidi. Yaani hata zile primary measures sijui kunawa mikono,social distancing havikuwepo.
 
Covid-19 haipendi kabisa dharau.
 
Reactions: BAK
Hotuba zao zinafanana. Sema Peter yeye alizidi. Yaani hata zile primary measures sijui kunawa mikono,social distancing havikuwepo.
Amesababisha maambukizi na vifo vya wengi akiwemo mama yake mzazi.
 
hahahahaha Yaani we acha acha kuna watu kauli zao zinafanana mpaka unaogopa. Utadhani ni Baba moja mama moja LOL!

Hotuba zao zinafanana. Sema Peter yeye alizidi. Yaani hata zile primary measures sijui kunawa mikono,social distancing havikuwepo.
 
Ni aibu unaweza kuamuru mpaka jeshi eti unaenda kufa kwa mafua. Ningekua mi sikubali
 
Waafrica ni wataalam wa kuchapana/kuzalisha wakimbizi halafu hawana uwezo wa kujilisha,so wanajua kikinuka Burundi mabeberu itabidi yaingilie kati kuwalisha.
Hao mabeberu wanajikomba Komba Tu. kwanini wasiwaache wachapane wenyewe... Wanamaslahi yepi na ugomvi huo
 
Anzisheni cheni kiwe cha kimataifa
 
Mataga wanashambulia BBC badala ya vyanzo vya habari. Hawajui kuwa hii habbari hata BBC wamechukua kutoka kituo cha habari cha burundi
 
Hivi kuna wanaobisha kwamba Nkurunzinza hajaondoka na KOVID KUMI NA KENDA? Hilo ni FUTA limemuondoa tuwe MAKINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…