Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Wachezaji wa timu ya taifa ya Burundi wakifanya mazoezi katika Uwanja wa michezo wa kimataifa wa Benjamin Mkapa ambao unatumiwa na nchi kadhaa za jirani baada ya viwanja katika nchi hizo kutokidhi vigezo vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).
Burundi itachuana na Namibia siku ya Jumatano Juni 20, 2023 katika Uwanja huo ikiwa ni mchezo wa kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).
Burundi itachuana na Namibia siku ya Jumatano Juni 20, 2023 katika Uwanja huo ikiwa ni mchezo wa kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).