Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576

View: https://x.com/bless_link/status/1890707010196586948

Pichani, ni video. Inasemekana watu hao wanapelekwa uwanjani chini ya ulizni wa vyombo vya dola.

Msako mkali mjini Bujumbura, unaendelea. Wanaokamatwa, ni wale wenye lafudhi za Kinyamlenge na kinyarwanda, wanaohisiwa kuwa watutsi.

Kama ikitokea taarifa hizo zikadhibitishwa kikamirifu, Basi Burundi na kwenyewe kutakuwa na jambo.
 
Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
 
Hawana lolote nao hao Burundi..Badala wapambane na umasikini uliotawala kwenye kanchi kao wanaingilia watu wasiowamudu.

Ofisi ya Raisi tu ya kwao ni kama Ofisi ya mkuu wa shule hapa kwetu.
 
Waache Upuuzi ?!!! Hatutaki kurudia kilichotokea katika Vita vya Kimbari, kwa binadamu hio ilikuwa ni aibu kwa jambo kama hilo kutokea katika karne ya 21 (Yaani niliona aibu kwamba katika Bara la Afrika nina vinasaba sawa na watu wenye mawazo mgando kama hao)...; Kama vipi wangeenda kule Bosnia wakaungana na wenzao wenye mawazo mgando...
 
Waafrika kutwa kuwaza ukabila na udini tu
Vita hawaviwezi ila ukiherehere hawajambo
Sasa tutashuhudia tena wakimbizi wa kila aina na hivi Wazungu wanaona Waafrika ni mzigo basi hapo kipindupindu, ukimwi, ujambazi ndio utarudi kwa kasi sana
Halafu majitu na serikali zao yanakopa hela ili yanunue silaha badala ya maendeleo
Poor people
 
Waangalia hao Mulenge wasije wakapata sababu yakufika Bujumbura Kwa utetezi wa kwenda kuwalinda Mulenge wenzao.
 
Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
Acha tuone
 
Naelewa hilo lakini na wewe jaribu kuelewa andiko langu inahitaji tena nikueleweshe mkuu?
Hoja mtambuka hapo ni: Wataendelea kusakana na kukamatana na kuuana hadi wapi?? Jamii hizo mbili hasimu zimeenea hadi Tanzania na kwingineko. Je; watauana mpaka wafike wapi na lini itakuwa ndo mwisho?
 
Tayari imepatikana hoja nzito kuingia Burundi kutwaa viwanja vyote vya ndege ili kuikaba FARDC jeshi la serikali la DR Congo isiweze kuitumia Burundi kuwa kichaka cha logistic ( yaani kutumika kama kitovu cha ugavi wa chakula, silaha, zana, askari wa serikali ya Congo, na kuzuia kasi ya M23 kwenda Kinshasa
Hiyo ni red line mkuu
 
Back
Top Bottom