inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wewe mtusi,congo pana vurugu kabla hata pk hajajua kusoma na kuandika,yeye kaja kuwa toilet paper tu kwa kutumia watutsi kupora congoMTZ 💯 hapa just FYI, na Kagame aendelee kuwanyoosha wakabila nyie na mawazo yenu ya kijima, mmepeleka sumu zenu Congo ndio maana matatizo hayaishi, na Uber driver Tshesekedi ana IQ ndogo sana kuelewa mchawi wa Congo
Tena wako vizuri kabisaHivi Burundi nayo ina jeshi lake, au wamekopa kutoka Congo wakawavalisha sare mpya?
Ndo hilo tatizo linalozikumba baadhi ya nchi za Afrika. Na wabunge wakifika huko,kukemea yaliyopo hawawezi,wanachojali ni pesa tu. Nadhani bunge la South Afrika lilitakiwa liwe mfano. Kiongozi yeyote anawatumikia wananchi, wasijisahau. Ila ulevi wa madaraka sasa ndo hivoUongozi wa kurithi si tatizo kwani umetamalaki ukanda huu wote kuanzia Tz, Rwanda, Uganda,...
tunatofautiana kidogo kwenye kurithishana. Mfano angalia yule "mfalme" wa Uganda na kijana wake Muhoozi. Tanzania kuna ufalme wa CCM unaotoa wafalme kila baada ya muda flani, lkn pia na hoa wafalme hupatikana kwa namna ya kujuana kama ndugu kigogo flani, anatoka kambi flani, huyu ni mwenzenu,.......
Fuatilia kuanzia ujio wa wakoloni. Makabila hayo kwao yalikuja kama tabaka tu. Badhi wakaaminishwa ndo wana uwezo na akili kuwatawala wenzao. Baada ya muda na wao wakaona wanaotaka kuwatawala hawawazidi chochote.Hii ni by the way. Kwa uelewa wangu neno kabila ni kundi la watu wenye lugha na utamaduni unaofanana.
Ukienda Rwanda na Burundi utakuta jamii yenye sifa hizo. Je ñi kwanini wanajitanabaisha kuwa na kabila zaidi ya 1?
Pale kuna kabila 1 kwakweli. Wanazungumza lugha moja, mila zile zile.Fuatilia kuanzia ujio wa wakoloni. Makabila hayo kwao yalikuja kama tabaka tu. Badhi wakaaminishwa ndo wana uwezo na akili kuwatawala wenzao. Baada ya muda na wao wakaona wanaotaka kuwatawala hawawazidi chochote.
Kagame jana alisema: na ukweli ndo ulivyo. Kinachoendelea ni vita ya ukabila. Rais wa Burundi alionya kuwa baada ya Congo likahamia kwake. Nchi moja kiongozi ni mhutu, hawataki watutsi. Unategemea jirani yake amchekee? Nchi nyingine kiongozi ni mtutsi. Unadhani yule mhutu anafurahia?! Hatimae ni nchi hizo mbili Iongozwe na kabila moja. Mwenye kifua sasa ndo atawin
Watu wanatekwa na kuuwawa mchana kweupe 😎Enjoy uhuru tz,kule kwenu uhuru huu hakuna
HIvi kwanini Tshisekedi na Ndayishimiye wa Burudi hawakuja kwenye meeting ya wakuu wa EAC na SADC? kuhudhuria kwa online comference haikuwa maazimio yao. Itakuwa ni dharau kwa wakuu wenzao au nikukosa la kusema mbele ya viongozi wenzao?MTZ 💯 hapa just FYI, na Kagame aendelee kuwanyoosha wakabila nyie na mawazo yenu ya kijima, mmepeleka sumu zenu Congo ndio maana matatizo hayaishi, na Uber driver Tshesekedi ana IQ ndogo sana kuelewa mchawi wa Congo
Wakabila tuu, viongozi wa SADCC wameanza kuwashtukia ndio maana wameanza kutoa majeshi yao CongoHIvi kwanini Tshisekedi na Ndayishimiye wa Burudi hawakuja kwenye meeting ya wakuu wa EAC na SADC? kuhudhuria kwa online comference haikuwa maazimio yao. Itakuwa ni dharau kwa wakuu wenzao au nikukosa la kusema mbele ya viongozi wenzao?
Kwamba Kagame ndo lidude kuliko Burundi siyo?? Msimkuze sana Kagame. Ni wa kawaida sana na mwizi mwizi wa rasilimali za Congo na mkabila fulani hivi mwenye roho ya madaraka na mwoga wa kufa.Burundi asipoacha kiherehere PK ataipa kichapo direct kutokea Kigali tena mchana kweupe.
Kuna crip nimeona badala ya rais wa burudi kuja kwenye kikao cha marais wa SADC na EAC yeye alikwenda US nakuhudhuria siku ya kuiombea USA ndani ya Copital Hill, inafikirisha sanaWakabila tuu, viongozi wa SADCC wameanza kuwashtukia ndio maana wameanza kutoa majeshi yao Congo
Mkuu, mie ni mtanganyika halisi nilizaliwa Tanga huko ndanindani ni Tanga-line.Tutatoa dozi nzito mwezi mzima?
Naona umeshindwa kujificha sasa mrwanda.
Sasa ulikuwa unakataa nini uraia wako?
Richard
Wewe ni mnyarwanda mkuu, uliezamia Tanzania.Wewe umekomaa kuniita Mnyarwanda sasa naona ngoma ni droo...🤣😂
Mhutu Mtutsi?!Wewe ni mnyarwanda mkuu, uliezamia Tanzania.
Mtutsi brother, acheni kuona mko juu ya wahutu. Walichokifanya wahutu ndicho mnachofanya nyinyi. Kwahio msije mkategemea matokeo tofauti.Mhutu Mtutsi?!