MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Baada ya makundi mengine kutangaza kujiunga, kuongeza nguvu ili rais wa Burundi aondolewe madarakani;
Huku pia waasi wake RED TABARA wakiwa tu umbali wa kilometa 76 kutoka walipo sasa M23,
Rais ameagiza wanajeshi wake hao warudi nchini. Wanaorudi, wanafikia katika bonde la RUSIZI, kwa maandalizi ya kuikabili RED TABARA ikiamuwa kukiwasha.
Kutoka Uvira kwenda Bujumbura, umbali ni chini ya km 35.
Huku pia waasi wake RED TABARA wakiwa tu umbali wa kilometa 76 kutoka walipo sasa M23,
Rais ameagiza wanajeshi wake hao warudi nchini. Wanaorudi, wanafikia katika bonde la RUSIZI, kwa maandalizi ya kuikabili RED TABARA ikiamuwa kukiwasha.
Kutoka Uvira kwenda Bujumbura, umbali ni chini ya km 35.